Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kwa wale ambao wana trade forex karibuni tujadili pamoja pair za kutrade, kushare signals, kufanya analysis na kujadili kuhusu take profit and stop loss. Wazee wenzangu karibuni sana tu share...
1 Reactions
81 Replies
22K Views
Wakuu naomba kuuliza nimepokea pesa kimakosa bila ya Mimi kuikagua je?hii benki wataikubali ?maana Kuna mtu kaniambia sitobadilishiwa kutokana na kwamba hakuna zile namba nyekundu.
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za Leo wanaJF, Nilitamani kuanzisha duka la simu, kwenye utafiti wangu, Kuna watu wakaniambia ninaweza kuuza cash na kuuza kwa mkopo. Sasa hii biashara ya kuuza simu kwa mkopo...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu, Nilikuw napenda kuwa wakala wa sukari au mafuta kutoka kiwandani. Yaani kuwa mfanyabiashara yoyote mwenye abc za kuwa uwakal wa bidhaa hizo na mtaji wa kuanzia.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kabla sijazungumzia kuhusu nidhamu na motisha ( discipline and motivation) Nianze Kwa kutoa mfano, Hapo zamani kidogo nilipokuwa nasoma sekondari nilikuwa napenda Sana kuangalia filamu za akina...
5 Reactions
4 Replies
866 Views
WADAU Salamu sana kwenu. Awali nilifanya biashara kama proprietor na Kwa kuwa nilizihudumia taasisi za serikali basi nililazimika kununua EFD machine. Changamoto ni kwamba unaweza ku supply...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Kilimo kina madoni Uchimbaji madini una madoni Vitenge kuna madoni Car wash zina madoni Bar zina madoni, samaki zina madoni restaurant zina madoni hii ni mifano kwamba pana uwezekano (sio...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Waungwana nataka kufungua biashara hii maeneo kama Tabata au Goba naomba msaada wa mawazo mtaji mdogo kiasi gani naweza kuanza nao na being za fremu maeneo hayo. Wenye uzoefu naomba msaada went...
1 Reactions
35 Replies
7K Views
Natafuta mtu anaeweza kuandika "Business plan/Andiko la mradi" kwajili ya kupata mkopo wa trekta benki. Mwenye samples au mwenye ujuzi plse check me on +255717217520
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau wafanyabiashara leo nilikuwa Ofisi za TRA mkoa flani kwaajili ya kufunga biashara kutokana na kodi kuwa kubwa na gharama za uendeshaji kuwa kubwa nilijaribu kuongea nao naona wako mbali na...
1 Reactions
3 Replies
433 Views
Niko Dar, nataka kujua biashara ya mgahawa KAHAMA ikoje? Wateja wapo wa kutosha?
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba mwenye uzoefu na hii Biashara jamani anieleze A-Z. Nataka kuianza
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, Ndoto yangu ni kumiliki hii mashine na kufungua kiwanda changu kidogo cha kukaushia dagaa kanda ya ziwa. Nimeangalia ina kost $3,000 tu jumlisha na shipping cost kama $2,000...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Inaelezwa kila mtu anazaliwa tajiri lakini pia masikini. Utajiri au umasikini wake unategemea na mazingira anayokulia, lakini inategemea zaidi na yeye mwenyewe. Wapo matajiri wengi duniani...
5 Reactions
18 Replies
3K Views
NAIBU WAZIRI KIGAHE - TAASISI ZA UMMA ENDELEENI KUTOA HUDUMA KWA WELEDI NA UADILIFU ILI KUTIMIZA MALENGO YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe...
0 Reactions
0 Replies
291 Views
Habari wakuu, Naomba kuuliza mwenye uelewa kuhusu hizi private cars (Uber, Bolt etc) unaweza kuwa unaingiza kiasi gani kwa siku faida na hasara zake anisaidie au kama kuna dereva ana uzoefu na...
6 Reactions
12 Replies
9K Views
Habari wanandugu, Nimependa kuwashilikisha jambo, najua nitaweza kupata mawazo mazuri kutoka kwenu na ushahuri pia. Ni njia gani nzuri ambayo unatumia kuweka akiba juu ya kipato chako. Najua...
1 Reactions
42 Replies
7K Views
Wakuu habari, Mtaji wa kuuza accessories za simu kama vile. Earphones, Battery, Cover, Screen protector na Charger. Unahitaji mtaji wa shingapi yaani kianzio
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Why watu flani huharibu pesa kwa makusudi? Nlikutana na hili jambo pia mwaka jana nlienda Mtwara kwenye Mgahawa mmoja karibia kila change waliyotaka kunipa ya note imechanwa pembeni. Nlikataa...
0 Reactions
4 Replies
624 Views
Je, unahitaji mtaalamu wa kusimamia mitandao yako ya kijamii na tovuti? (Social media manager) Pata ongezeko la wateja, brand awareness, kuza biashara zako na mtaalamu wa mitandao ya kijamii na...
3 Reactions
4 Replies
961 Views
Back
Top Bottom