Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Tusipotezeane muda niingie moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu, nilikuwa nanunua LUKU nikawa nimekosea namba moja nikawa nimenunua kwa mita namba nyingine. Nimepiga simu nirejeshewe fedha...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Sent from my CPH2083 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Directory ni Sehemu ambayo inaorodhesha majina ya biashara mbalimbali za eneo husika. Mara nyingi hizi Directory za biashara huonesha Sehemu biashara yako ipo, namba za Simu na tovuti yako...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu hivi inaruhusiwa kuuza seashells nje ya nchi? Kuna mtu kanipa deal ya kumtumia seashells kila mwezi, seashells 100-400. Ila wasiwasi wangu upo kwenye utumaji,naona hiyo idadi ni kubwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kwa yeyeto anayefahamu kuhusu airpods naomba ajisaidie kujua kuhusu bei zake, asanteni.
3 Reactions
10 Replies
1K Views
1. Ndugu zangu naomba kufafanuliwa mchanganuo wa gharama za kununua mashine ya kusaga unga wa mahindi na machine ya kukoboa na Ni ,a,bo gani ya msingi ya kuzingatia katika ununuzi wa mashine hizo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauliza wadau wapi ni pazuri ambapo soko kwa sasa lipo. Kuna rafiki yangu yupo Canada ana wazo la kufanya hiyo biashara.
7 Reactions
32 Replies
4K Views
Mshahara wangu Take home ni laki nane kwa sababu nina mkopo NMB ambao bado saa uishe ulikuwa na miaka 6 Hapo hapo nina biashara ya duka la hardware napata mia mbili mbili ,na vyumba viwili vya...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wanajamii, narudi tena. Bei ya dagaa imepungua maana giza limeanza na uvuvi kuendelea kama ilivyo kawaida. Bei zilizopo muda huu. Japo huwa mabadiliko yapo kutokana na uvuvi ukiwa mzuri au...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Je, unatafuta muuzaji wa water pump Tanzania? National commercial Directory ndio mahali pa kwenda! Tuna orodha kamili ya wauzaji na wasambazaji wa water pump nchini Tanzania. Unaweza kuchuja...
1 Reactions
1 Replies
826 Views
Natafuta hela na zinapotea kwa mkupuo mkupuo ivi nitaendelea kweli najitahidi sana kufanya mahesabu sahihi ila nachoshangaa nikiwa sina pesa nakuwa na amani Wala hakuna anayeniomba. Lakini...
4 Reactions
18 Replies
826 Views
Bismillah... Nimeanza biashara ya kiepe yai. Chipsi zege Dar es Salaam ila nachoomba kutoka kwa wadau wazoefu ni namna gani naweza kuongeza return per day kwa maana hapa gharama za mafuta ni...
5 Reactions
23 Replies
20K Views
Wadau, Katika kupambana na 45 Million sasa kuna benk imeniahidi kuwa nawezaweka fixed kwa 13%kwa annum. Sasa najiuliza sijui niweke huku au UTT ambapo naambiwa ni pazuri ingawa sijapata ushahidi...
3 Reactions
138 Replies
21K Views
je haki imeshatengeka? na sheria za madini je? Dhahabu ya damu' ya Bulyanhulu haki itendeke kwa damu iliyomwagika MIAKA 15 imepita, lakini sauti za wachimbaji wadogo wa dhahabu waliouawa kwa...
5 Reactions
34 Replies
5K Views
Should the nonprofit attempt to target all potential charity donors with its fundraising, or should it focus on specific groups of donors, particular types of people, particular types of...
0 Reactions
1 Replies
556 Views
Wanajamvi zipo changamoto nyingi kuhusiana na mikopo inayotolewa kupitia Application za simu kama Umoja Loan, Premium, Branch na wengineo ikiwemo mteja kubambikiziwa riba kubwa sana zaidi ya...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari za jioni wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Jamani sikia, omba yasikukute. Baada ya kupigika na kupoteza mtaji wangu wote kwenye uchimbaji nilikuwa najishughulisha na uchimbaji madini...
7 Reactions
21 Replies
3K Views
HABARI WANAJAMVI, Naomba kuuliza kuhusu chimbo zuri la kununua mitumba balo za mitumba za nguo mbalimbali hapa Tanzania na nje. Connection naomba na kwa ushauri pia nipo tayari kupokea kwasababu...
2 Reactions
138 Replies
31K Views
MBUNGE MAHAWANGA AZINDUA KIWANDA CHA USHONAJI KATA YA WAZO Mbunge Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dar Es Salaam, Mhe. Janeth Elias Mahawanga ameungana na mamia ya Wanawake wa Tawi la Kisanga Kata ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajf natumai mpo poa, Naomba anayejua duka ambalo naweza pata mota kwa bei nzuri ukiachana na autosokoni. Nawasilisha kwa msaada.
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom