Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Yani unakuta mtu akiwa anatangaza biashara yake ana ongea kwa uchangamfu hadi anapepesekua na kuwaomba wateja wamchangie. Ila sasa ikifika wakati wa kumtafuta huyo either kumpigia simu au face to...
3 Reactions
10 Replies
666 Views
Tanzania ni nchi isiyotaka kuenda sawa na Dunia ya kileo. Bado uswahili mwingi mno , Niende kwenye mada. Leo nilitumiwa kihela kidogo tu kutoka huko nchi za wenzetu, basi nikaenda bank ya karibu...
8 Reactions
14 Replies
1K Views
Maonyesho ya kilimo 2023 yamehitishwa jana nimeshuhudia mazao kadhaa yakipigiwa chapuo kama ilivyokuwa nyuma kwa zao la Vanilla tuliaminishwa bei mpaka Tsh.100, 000/@ lakini mwaka huu imenunuliwa...
1 Reactions
1 Replies
616 Views
Nafurahi na napendezwa sana kuwa kuwa ndani ya jukwaa hili Binafsi nafanya kazi ya kusajili laini za mitandao yote, kurudisha line zilizopotea na kutatua matatizo mbalimbaki ya simu za wateja...
1 Reactions
1 Replies
953 Views
Habari wanazengo, Nilikuwa naomba msaada kuhusu kupata kadi ya Latra kwa ajili ya kufungua akaunt za Uber na bolt gharama yake ni sh ngapi kufanikiwa
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kati ya share za NMB na CRDB zipi ziko stable, kwa kipindi Cha miaka 60 ijayo kuanzia sasa hivi? na ipi itakuwa na uhakika wa kupata gawio Kila mwaka?
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana BUU, kwenye harakati za kujikomboa kiuchumi mwenzenu nimepata idea yakufungua biashara ya kununua na kuuza vyuma chakavu. Natamani kujua; *Faida yake iko vipi? *Hasara ipo angle ipi...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Naombeni process, mchakato mzima mtu anapaswa kufanya anapotaka kuagiza sukari nje. Kwa kiwango Cha small scale
1 Reactions
4 Replies
917 Views
Ukiingia kwenye mtandao wa SPLASH 247.COM utaona makampuni ya usafirishaji wa mizigo duniani yanavyoshidana kumiliki pia bandari maeneo mbalimbali duniani. Hii inaashiria kuwa kila mwenye mizigo...
2 Reactions
62 Replies
5K Views
Jirani tu hapo leo imepiga 150 ksh kwa dollar moja, na kutoka kwao kuja kwa madafu ni 18.5 mpaka 19 oi.
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Wadau kama Uzi unavojieleza,nina hitaji TV ,je kwa offer hiyo unanipa tV aina ipi na inchi ngapi?
1 Reactions
5 Replies
428 Views
Habari zenu, natumaini ni wazima wa afya. Nipo na fremu ya nguo za mtumba ila sina mzigo wa kutosha. Anehitaji kuniwezesha kwa mzigo namkaribisha, mitumba ya baibui, abaya za kikubwa na kitoto...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Made in Turkey [emoji1250] 100% cotton wool materials ✓✓ Slim fit suit ✓✓ Price Suit: Tsh 180,000/= (koti, kizibao na suruali) Shirt: Tsh. 30,000/= Cheni: Tsh.10,000/= Tie & pocket square...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, watu wa sido na wajasiriamali salaaam. Nina uhitaji na mafuta ya kupaka ndoo moja kwanza lita kumi hadi lita ishirini kwa ajili ya project. Mambo yakikaa sawa nitaagiza hadi mapipa kwa...
2 Reactions
2 Replies
575 Views
Inaelekea hata Benki Kuu yetu haina lengo kwenye ajira. Angalieni wenzetu, kuna upungufu mkubwa wa dollar lakini hakuna maelezo ya kueleweka mpaka leo. - Mapendekezo kutatua tatizo la Dollar...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF Naomba kwa mtu ambaye ameshapata visa ya Marekani anipatie maelezo kidogo ya jinsi alivyofanikisha kupata visa hio? Leo nmekosa visa na nimeshatumia gharama tayari zimeenda bure...
5 Reactions
74 Replies
10K Views
Naandika haya kutokana na yanayojiri katika biashara zangu Niliwahi kufanya biashara Kimara na nilipata maendeleo mazuri kibiashara ila nilihama kwakuwa ndio home boi Sasa baada ya kuhama...
3 Reactions
97 Replies
21K Views
Habari za kazi wakuu !! Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uhai na kuendeleza harakati za maisha, niko hapa kutafuta mtu aliye serious tufanye biashara ya Online Media. Mimi nina uzoefu wa miaka...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari, Naomba tuelimishane kuhusu mikopo ya bank kwa wafanyakasi na wafanya biashara. Pale umefanikisha kurudisha mkopo wao wote, wanatakiwa kukupa nini Je, utarudisha mkopo uondoke zako bila...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari Naomba kujua machimbo ya maduka makubwa ya jumla ya pipi ili niweze kununua nami nikauze jumla
4 Reactions
19 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…