Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

4th Business and Economic Development Conference. Theme: Business and Investment Environment for Economic Development. Guest of Honour: Hon. Dr. Ashatu Kijaji (Minister for Industry and Trade)...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
NAIBU WAZIRI KIGAHE - SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA KWA KUPUNGUZA TOZO NA KODI ZINAZOKUWA KERO Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe amesema Serikali...
2 Reactions
0 Replies
318 Views
Waziri Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji awataka Wakulima kuongeza kasi ya uzalishaji wa Malighafi za Mafuta. Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji(MB) amewataka wakulima hususani wanaozalisha...
0 Reactions
0 Replies
334 Views
Naibu Waziri Kigahe: Ni Muhimu Kuongeza Thamani Mazao ya Wakulima Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Exaud Kigahe (Mb.) amesema ni muhimu kuwa na Viwanda vidogo, vya kati na vikubwa ili...
0 Reactions
0 Replies
414 Views
Wakuu habari zenu, Nataka kuanza biashara ya vinywaji, maandalizi yote tayari. Naomba msaada kwenu wadau najua mna uelewa mpana wa haya mambo, hivi Kwa wingi wa creti ninazotaka kuanza nazo...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
MHE. CONDESTER SICHALWE - "KARIBUNI MTEMBELEE BANDA LETU LA MOMBA NANENANE MBEYA 2023" Mbunge wa Jimbo la Momba Mkoa wa Songwe, Mhe. Condester Mundy Michael Sichalwe ametembelea Banda la Momba...
0 Reactions
0 Replies
539 Views
Who are the richest people in Tanzania? Or who are the wealthiest people in the republic of Tanzania? Are some of the many questions asked by the people of Tanzania who want to know the kind of...
0 Reactions
111 Replies
71K Views
Jamani natafuta saccos yenye kuaminika nijiunge. Inayotoa mkopo kwa wanachama wake kw riba nafuu. Mimi ni muajiriwa sekta binafsi. Asanteni
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba msaada kuhusiana na biashara ya dagaa. Nataka nianze kufanya nanunulia mwanza nauza huku Dar lakini sijapata soko. Nalipataje soko, wazoefu naomba mnisaidie kwa hili.?
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari, NATAFUTA NAMBA ZA AGENTS WAFUATAO: 1.SABUNI ZA MCHE 2.SABUNI ZA UNGA 3.SABUNI ZA KUOGEA 4.DAWA ZA MENO 5.MISWAKI 6.DAWA ZA MBU 7.TISSUE 8.SIAGI ZA AINA ZOTE 9.MAFUTA YA KULA 10.TAMBI...
0 Reactions
2 Replies
481 Views
Habari Mimi si muandishi sana humu lakini ni msomaji mmbobezi, muajiliwa toka 2008. Katika maisha yangu sijawai kufanya Biashara yoyote au shughuli yoyote ya kuniingizia kipato zaidi ya Mikopo...
2 Reactions
19 Replies
30K Views
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Dkt Ashatu Kijaji(Mb.) ameushauri uongozi wa Mkoa wa Tanga kushirikiana na Taasisi husika kutatua changamoto za wanazopata wafanyabiashara wa Jiji la Tanga. Dkt...
1 Reactions
4 Replies
353 Views
Habarini wanajamvi. Nimekua nikisumbuliwa na wadudu wanaofukua udongo na kutengeneza mashimo kiasi ambacho jiran yangu ukuta wa nyumba yake umebomoka kwa kutitia, maana wale wadudu wanafukua chini...
0 Reactions
0 Replies
596 Views
Habari za siku nyingi wakuu, katika watu wakongwe hapa JF mimi pia mmojawapo sema nilipotea hapa kati. Naomba mwenye kujua vizuri namba ya kuagiza vitu uganda kama nguo, viatu begi n k anipm...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini watanzania wezangu? Poleni na majukumu. Naomba msaada wenu, nataka nifungue studio hivyo wazoefu mnipe mchanganuo wa vifaa pamoja Bei zake. Mtaji ni not less than 4m.
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Hizi ni gauni za mtumba zipo tegeta Kibo, zilikuwa dukani ila duka limefungwa kwa sababu mhusika anahamia mkoani. Kama upo serious karibu uje uzione. Kuna gauni zaidi ya 60. Bei hiyo ni kwanzia...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
INTRODUCTION Dah, mwaka huu nimechelewa kuingia Nanenane Mbeya. Badala ya kuingia tarehe 30/07 ""as usual"" ila mwaka huu nimeingia juzi tarehe 02/08/2023. Ila haina mbaya, Kazi iendelee. BODY...
5 Reactions
11 Replies
677 Views
Habari za Jumapili wakuu! Napenda tujuzane mahali pa kupata mikopo kwa njia ya simu. Binafsi nimekuwa mnufaika mzuri wa mifumo hii ya ukopeshaji kwa njia ya simu. Nimekuwa mteja wa makampuni...
7 Reactions
117 Replies
55K Views
Habari Wakuu, Nakusudia kununua ka gari ili nianze biashara ya kutoa huduma ya usafiri(uber,bolt nk) Je nikiwa na driving license class D nitaweza kukubalika au ni mpk niwe na class C3 kama...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habarini ndugu zangu nimekuja kwenu nahitaji ushauri nina milioni 5 nahitaji kufanya biashara moja kati ya hizo. Je, ipi inaunafuu wa kuniingizia kipato kwa urahisi zaidi, changamoto za...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…