Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Dar es Salam ni jiji ambalo biashara nyingi ni za kubangaiza tu kwa mtu mwenye mtaji chini ya million 5, maana gharama ya frame, stoo ni kubwa sana. Mfano ukifungua duka la accecories za simu...
15 Reactions
87 Replies
7K Views
(1) Biashara ya kuunza Magazeti Hii ni biashara ambayo imewatoa watu wengi sana kama akina ERICK SHIGONGO mf. gazeti lake la ijumaa,Sun etc. But now days watu weng wanapata habari kupitia kwenye...
13 Reactions
47 Replies
4K Views
Bila shaka kila Mtu ameshawahi kununua kitu alafu baadae akajihisi kama anajutia kukinunua Aidha Kwa sababu hakina umuhimu au kimemuingiza gharama zisizo za msingi.Hapa mara nyingi vitu kama...
10 Reactions
29 Replies
2K Views
Wakuu kichwa cha habari hapo juu kimezingatiwa Kumekuwa na shida kubwa katika malipo ya parking katika jiji la Dar es salaam. Nilifuatwa na watu wa parking juzi tarehe 28 August 2023 katika...
1 Reactions
6 Replies
950 Views
M-pesa till number huchukua muda gani kutoka?
0 Reactions
1 Replies
306 Views
Many non-profits, particularly smaller charities and start-ups, operate without a fundraising plan. When someone has an idea for an event or a campaign, these organizations simply put together a...
0 Reactions
0 Replies
269 Views
Wasalaam Waungwana, Naomba kupata msaada wa jinsi ya kupata control number mpya kwaajili ya kulipia leseni ya biashara, baada ya control number ya awali kuisha muda wa matumizi kutokana na tatizo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hapa majuzi gazeti la Mwananchi liliripoti juu ya safari za anga kusishwa na shirika la ndege la Air Tanzania! nilileta uzi humu kuonesha jinsi Gazeti la Mwananchi limekuwa likichapisha habari za...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Tanzania Breweries Limited the largest alcohol manufacturing company in Tanzania and a subsidiary of AB InBev global, has voluntarily incorporated consumer-guidance labels across all its portfolio...
0 Reactions
8 Replies
782 Views
Anaandika Kenge, Nimeshaandika nyuzi kadhaa nikielezea na kuwasogezea michongo mbalimbali inayopatikana nchi jirani. Sasa naendelea kuwaletea hapa ndugu zangu wanajamvi hasa sisi vijana ambao...
9 Reactions
24 Replies
4K Views
Thamani ya Tsh kwa sasa, nani amechangia kwa kiasi kikubwa, vita vya wakubwa au sisi wenyewe?
0 Reactions
3 Replies
758 Views
Leo nimeguswa niandike kidogo kuhusu vipimo Kuna baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wanapunja watu kwa maksudi kabisa wakiwemo masikini kupitia vipimo mbali mbali kwa; Kuharibu mizani au yale...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari za jioni guys Now days kila mtu anataka kufanya biashara kutokana na mabadiliko ya mfumo wa maisha kuna baadhi ya watu wameaza kusemea tangu mwaka 2009 up to day hawajafanya wengine pesa...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Ninahita gari used Nina milioni sita mwenye nalo tafadhali tuma picha ya Hali yake
3 Reactions
5 Replies
881 Views
Hellow members, kama kichwa cha uzi kinavosema. Je, ni huduma gani inayotolewa kibaishara na kampuni au taasisi flani ndani ya jiji la Dar es salaam ungetamani iboreshwe? Taja jina la huduma...
1 Reactions
2 Replies
357 Views
Wakuu Habari, Kama heading inavyosema, nahitaji watu wa kushirikiana nao katika utekelezaji biashara ya madini aina ya dhahabu. Biashara hii nimeifanyia utafiti wa masoko hasa Dar es Salaam na...
7 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari, Naamini Kupitia uzi huu watu wengi Sana tutakwenda kunufaika Kupitia majibu yatakayotolewa katika swali langu: Naamini kwa wakaazi wengi wa Arusha -Moshi, Zanzibar watakuwa ni shahidi wa...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kama nilivoandika hapo juu anayeajua ratiba za hii MINADA inayokuwepo ndani ya hii MIKOA naomba anisaidie na maeneo inayo patikana na siku gan ndan ya wiki. Hasa Dodoma 🙏🙏🙏🙏
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa yeyote mwenye connection na Soko linalo jengwa nyuma ya bus station ya kuelekea Kitunda (maeneo ya ukonga banana), tafadhari anisaidie mawasiliano na wahusika.
2 Reactions
0 Replies
329 Views
Back
Top Bottom