Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nimefanya huduma ya uwakala wa CRDB kwa takribani miezi 8 sasa na hizi ndio kero zangu; Kero nyingi ziko based na ubovu wa mtandao/Customer Care Sijajua kama tatizo ni hizi machine mpya...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Mtazamo ni picha/tafsiri tunazojenga katika fikra zetu kuhusiana na watu, vitu, mawazo, vitendo n.k. Mtazamo ni kipengele muhimu sana katika mchakato wa kutafuta ufadhili, na kila mhusika katika...
1 Reactions
0 Replies
353 Views
Wadau Habari Za Muda Huu. Natumaini Nyote Wazima Wa Afya. Nahitaji Ushauri Nilikuwa Nina Wazo La Kufanya Biashara Ya Kukopesha Watu Fedha Kwa Kwa Riba Ya 20% Kwa Wafanyakazi tu na Sio...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau karibuni tupeane fursa mbalimbali mtaani na hata kwenye mitandao ili tuweze kusogeza siku na kupeleka mkono kinywani. Binafsi nina fursa mbili ambazo huwa nazifanya napata angalau kamshiko...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
Nishaurini mliopo ktk kilimo Cha Tumbaku. Nataka kulima mwaka huu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, Mimi ni mfanyabiashara , nina duka la rejareja( fremu) na store, nipo mabibo Dar Nahitaji kununua Mchele na maharage kutoka mbeya, au tunaweza kufanya makubaliano ya kukuuzia maharage...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Kujiajiri bila mtaji inawezekana, lakini mara nyingi inahitaji kujitolea, ubunifu, na bidii ili kufanikiwa. Kutumia Ujuzi wako: Tumia ujuzi na uzoefu ulionao kufanya kazi au kutoa huduma kama...
6 Reactions
50 Replies
3K Views
Wadau wenzangu ninatatizo limekuta mwenye uelewa naomba anisadie nina duka lipo mjini mwanza linafanya biashara ya rejareja, Juzi nimepigiwa simu TRA mwanza kwamba ninadaiwa kodi nikaombwa...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Wazoefu tufahamishane yafuatayo kuhusu biashara ya asali mbichi: Ipi njia ya kuifahamu asali nzuri? Upatikanaji wa asali, wapi inapatikana nzuri na kwa wingi? Bei ya kununua kwa mzalishaji sh...
5 Reactions
37 Replies
10K Views
MBUNGE NDAISABA RUHORO - UZENI KAHAWA KWA BEI ILIYOPO ILI KUEPUKA HASARA Wakulima wa kahawa Wilaya ya Ngara mkoani Kagera wamemtwisha Mbunge wao zigo la kuwasaidia kutatua tatizo la kuporomoka...
0 Reactions
0 Replies
551 Views
Ninataka kufungua Driving school maeneo ya Boko, Dar es Salaam nina nyumba ambayo nitaifanya ofisi na baadhi ya vyumba nitavitumia kama madarasa kwa ajili ya wanafunzi. Vitu nilivyonavyo: 1...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Wana JF naomba kufahamishwa taratibu za kufuata kuanzisha shule ya kufundisha madereva(Driving School) hapa nchi. Kama ifuatavyo. 1. Ni mamlaka gani inatoa usajiri 2. Idadi ya chini ya magari...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Natumaini hamjambo, na wengne mnajitahidi allah atufanyie wepesi katika afya na maeneo yetu ya ridhiki. Kimsingi nataka kujarbu kufanya biashara ya bodaboda, nimejarbu kufanya tafiti ndogo...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
WAZIRI JENISTA MHAGAMA ASEMA SERIKALI KUJENGA MASOKO MATANO YA MAZAO HALMASHAURI YA SONGEA Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) Peramiho awaomba...
1 Reactions
3 Replies
421 Views
Habari wanajamii wenzangu. Je, ukipata hela ni wazo lipi bora kulifanya kati ya mawazo yafuatayo? 1. Kununua kiwanja au viwanja kwaajili ya uwekezaji wa baadaye. 2. Kufanya biashara ya mazao...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Inahitajika kifaa cha kutunza pesa na nyaraka zikiwa sehemu salama (Safe). Naomba kufahamu: 1. Kinachofaa (kilicho bora) kina sifa zipi? 2. Bei yako ikoje? 3. Kinapatikana wapi? Ikiwezekana...
4 Reactions
1 Replies
804 Views
Nataka kufanya biashara ya dagaa wa Mwanza kupereka Dar nilikua naulizia Kama kunamwenye uzoefu wa soko la dagaa Dar sasa hivi wana bei gani !!!
2 Reactions
26 Replies
19K Views
Kama heading inavyojieleza, Tangu nipate TIN Number, Haijawahi kutumika kwa biashara isipokuwa tu ilitumika kipindi nahitaji leseni ya udereva, Je TIN hiyo naweza kuitumia kufungulia biashara...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimefungua biashara mpya na nimetengeneza ajira kwa mtaaalmu mmoja lakini katika mwezi wa kwanza ananiibia kama tuna hisa naye. Tufanyeje wajasiriamali?
13 Reactions
41 Replies
3K Views
Wakuu kwema? Poleni na majukumu leo Mimi nilienda Kariakoo japo mimi ni mgeni hapa dar nazunguka hivyo hivyo kwa kuulizia. Nilikuwa naomba ushauri nilikuwa Nina wazo la kuuza mayai ya chemsha...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom