Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

"Kuwa mtumishi wa serikali unatoboa maisha, sasa sielewi wewe unakwama wapi" Haya ni maneno niliyokua nikisikia kipindi cha awali but unfortunately ukweli wake umekuwa mdogo kama Mbegu ya Bamia...
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Katika ulimwengu wa kidijitali unaobadilika kwa kasi, sekta ya benki ya Marekani inakabiliwa na wakati mgumu, ikifikiria kuanzisha dola ya kidijitali. Mradi wa Dola ya Kidijitali, mpango unaolenga...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Asasi za Kiraia (AZAKI) katika nchi nyingi zinazoendelea, ikiwemo Tanzania, zinategemea ufadhili wa ndani na nje ili kutekeleza miradi na mipango. Vipaumbele vya wafadhili vimekuwa vikibadilika...
1 Reactions
0 Replies
437 Views
Hi, natakununua pikipiki za miguu mitatu,ila na Hela nusu na nilisikia Kuna kampuni zipo kariakoo unalipa nusu and then unapatiwa pikipk and then nyingine unalipa kidogodogo,ukimaliza kulipa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari, mimi ni kijana ninaye jihusisha na kuunda software mbalimbali ikiwemo za simu(mobile apps) na webstite. Katika kazi zangu zilizopita, nilipata fursa ya kufanya kazi katika kampuni ya...
7 Reactions
18 Replies
3K Views
MBUNGE DKT. CHAYA - "MSIKUBALI KUPOTOSHWA NA WAZUSHI, BANDARI HAIUZWI" Mbunge wa Manyoni Mashariki Mhe. Dkt. Pius Chaya, amewataka wananchi wake kupuuza upotoshaji unaoendelea mitandaoni kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
326 Views
Natafuta watu wanaofanya huduma ya kukamua mbegu za alizeti Dar.
0 Reactions
0 Replies
578 Views
"Nataka tuwekane sawa maana tayari watu wameanza kupotosha na kazi ya Serikali ni kuelimisha wananchi, mjadala wa bandari umekuwa ni mkubwa sana kuliko Mijadala mingine yote na hii ni kwasababu...
0 Reactions
0 Replies
554 Views
"Katika Mkoa wa Tanga tumebarikiwa kuwa na Bandari ambayo ilianza kufanya kazi tangu miaka ya 1880 enzi za Utawala wa Mkoloni (Ujerumani) ikijulikana kama Marines Gent. Mwaka 1914 wakajenga geti...
0 Reactions
0 Replies
385 Views
Changamoto za biashara ya Delivery Ni zipi?
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Ili niweze kuwekeza nje ya nchi yangu jama inatakiwa nizingatie nini haswa nje na mtaji wangu? Na Sheria zinapoje katika uwekezaji wa nje ya nchi yangu?
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Habari za humu? Nahitaji mashuka meupe ya bei ya kiraia kabisa ya mtumba au dukani Shuka za vitanda vya 5*6 Napatikana Ubungo, Makuburi
1 Reactions
1 Replies
495 Views
VANILLA Ni zao namba moja kwa kuzaa sana na kuuzwa Bei kubwa kuliko mazao mengine, kilo moja ya vanilla kavu inauzwa shilingi 1,500,000 hadi 2,000,000. Kilo moja ya vanilla mbichi Ni sh 220,000...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu, Kheri ya mwaka mpya 2023. Mwaka umeanza na nimepata wazo la kufanyiankazi kama biashara. Kuna vijana wengi wana briefcase companies, hawana uwezo wa kupanga ofisi maana hata hivyo hawana...
1 Reactions
11 Replies
773 Views
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Exaud Kigahe (Mb) akikabidhiwa maua ya pongezi na watumishi wa Wizara hiyo alipowasili katika Ofisi za Wizara, Mtumba Dodoma, Julai 18, 2023 , baada ya...
0 Reactions
1 Replies
356 Views
Habari zenu, Kuna hili suala nataka tujadili. Kuna hii hali ya wateja wanaokuja kwako mara kwa mara kununua bidhaa lakini kila wakija lazima waulizie bei. Je, hii ni sahihi?
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Kuna post humu jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji kwa kutumia caustic soda na salfonic acid pekee Kwa mwenye uelewa naomba atufafanulie vizuri
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari wana JF, Nimeanza kujifunza kuhusu soko la hisa na wakati nasoma ripoti ya DSE kuna maneno nimeyaona ambayo sijaelewa maana yake hivyo ningependa kupata ufafanuzi kwa anayeyafahamu. 1...
1 Reactions
0 Replies
372 Views
Wakuu, nipo hapa kupata mawazo kuhusu hii biashara kwa watu ambao washawahi kuifanya au ambao wanaijua vizuri. Kuna dogo yupo yupo tu hapa nyumbani kwaio nataka nimpe kazi kwa kufungua hili duka...
6 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello guys naomba kwa anaejua huduma ya hii kununua, kuagiza,vitu kupitua [emoji117] jiji
1 Reactions
1 Replies
546 Views
Back
Top Bottom