Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari Wana jamii naombeni ushauri Mimi ni mjasiriamali na Nina akaunti Benki tofauti tofauti kama CRDB , NMB na NBC lakini nahitaji kuchagua Benki Moja kati ya hizo kuhifadhi pesa nyingi yaani...
2 Reactions
5 Replies
827 Views
Salama wakuu samahani wakuu naomba kuuliza anaejua thamani ya fedha hizi ambazo ni fifty dirham na 5 us dollar zote za zamani
1 Reactions
0 Replies
285 Views
Motivations for donors vary as widely as there are donors. As you begin to develop your appeals, you’ll want to understand why donors give so you can craft an appeal that speaks to the primary...
0 Reactions
0 Replies
992 Views
WANANCHI WA LUDEWA KULIPWA FIDIA KUPISHA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewahakikishia watanzania kuanza kwa utekelezaji wa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, naombeni msaada na ushauri juu ya biashara ya kusafirisha makaa ya mawe. Nataka kununua gari ili nianze usafirishaji wa makaa ya mawe. Natanguliza shukrani kwa wote watakao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani Mimi ninako ishi nimeona biashara nyingi lakini nikafuatilia biashara ya kujumlisha vinywaji nikaona inafaida pia shida Ni mtaji tu kwaiyo yeyote mwenye mtaji ambaye amekosa biashara ya...
0 Reactions
3 Replies
924 Views
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu, nipo Dar es Salaam mitaa ya Magomeni, nmekaribia kumaliza chuo. Hapa nilipo ninak kiasi cha shilingi Laki sita na nusu na PC. Naomba ushauri nifanye mishe au...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari wakuu, mimi ni mtumishi wa Umma ambapo nina fursa za kukopa benki mkopo wa muda mrefu na mfupi na siku hizi benki nyingi zimeongeza muda wa mkopo hadi miaka 8. Nilikuwa naomba mawazo yenu...
1 Reactions
70 Replies
9K Views
Umu kuna wajuzi na wadau wa mambo mbalimbali naona mtaweza saidia katika hili. Shilingi milioni 5 ya kitanzania mtu anaweza akafanya biashara gani ya kumuingizia kipato kizuri. Msada wenu wakuu.
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu naombeni msaada wa kujua betri za kampuni gani za solar ambazo ni heavy duty, betri nayotaka Iwe kuanzia N100 sola ninazo watu 600W Nahitaji kujua bei yake pia
1 Reactions
8 Replies
7K Views
Habari JF Natafuta chimbo la mifuko ya kg 50 kwa bei ya 200 au 300 Aina hii hapa chini Nipo moshi
1 Reactions
4 Replies
588 Views
Habar, Moja.....natarajia kufungua enterprise ya kutoa mikopo, naomb kupata ufafanuz wa Kodi mbali mbali ambazo nitazilipa and naomb kujua Kam Kuna mtu anajua kikokoto kizur Cha Cha riba...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
MBUNGE CONDENSTER SICHALWE AWAASA WANANCHI KUUZA MAZAO YA CHAKULA KWA UTARATIBU, NJAA BADO IPO Mbunge wa Jimbo la Momba Mkoa wa Songwe Mhe. Condester Mundy Michael Sichalwe leo tarehe 22 Julai...
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Habari ya muda huu GreatThinkers Hili ni shamba la dhahabu lenye zaidi ya heka 35. Mwenye eneo ameshapata nyaraka zote zinazotakiwa toka wizara husika na upande wa geologist report - anayo...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Wakuu nipeni jina nzur litakalofaa kutumia kwenye bucha ya kuuza samaki na nyamba ambalo litawavutia wateja[emoji120]
2 Reactions
62 Replies
6K Views
Naomba kujua changamoto hasa ni nini maana mimi ni wakala wa wa Airtel Money ila sasa kuna baadhi ya wateja namba zao ukiwa unaziwekea hela yaani umeweka namba ya mteja na kiasi ukishakubali tu...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi ni mfanyabiashara wa biashara flani ambayo sitamani kuisema kwa kila mtu aijue kwani inabeba 90% ya identity yangu hapa JF nikiisema tu kila mtu atajua mimi ni nani. Kwasasa sina pesa hiyo...
7 Reactions
39 Replies
3K Views
Hello JF members, Mimi ni mwalimu na nina familia tayari hivyo kama mtu anataka kujipanua kibiashara huku mkoani nipo tayari kushirikiana naye Ili niwe msimamizi wake huku maana wife yupo kwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Tv yangu ya SONY BRAVIA imepata tatizo ghafla nikiiwasha inajizima,nahitaji fundi nipo,napatikana UBUNGO
1 Reactions
4 Replies
419 Views
Habari, Naomba kujua zile mashine za kushonea mifuko ya safleti ukiwa una packaging unga za mkono zinauzwaje naweza kuzipata wapi.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom