Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu hivi kwa location ya Songea kwa mtaji huo anaweza akafanya bize gani? Mi niliwaza afungue salon lakini yeye hajui kunyoa. Ndo ilipo changamoto hapo.
2 Reactions
64 Replies
4K Views
Nimeweka pesa fixed account CRDB je naweza katisha muda kisha niitoe pesa yangu? Au ni strict lazima ningoje muda ufike? Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MBUNGE CHEREHANI AISHAURI SERIKALI IPUNGUZE KODI ZINAZOWABANA WANUNUZI WA TUMBAKU Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ameiomba serikali kuendelea kupunguza kodi zinazowabana wanunuzi wa...
0 Reactions
0 Replies
687 Views
MBUNGE MHE. SANGA - KUSHUSHA KODI YA NGANO INAYOTOKA NJE NI KUIFANYA YA NDANI IKOSE SOKO Mbunge wa Jimbo la Makambako Mkoani Njombe, Mhe Deo Sanga ameiomba serikali kutopunguza Kodi Kutoka 35...
0 Reactions
1 Replies
617 Views
Wakuu habari za jioni Naomba msaada wa kufahamishwa sehemu zinapopatika karatasi kubwa zinazotumika kutengenezea vifuko vya kufungia dawa (dispensing envelopes) kwa maeneo ya Dar es Salaam. Au...
1 Reactions
6 Replies
877 Views
Wanajamvi naomba ushauri, nataka kuanzisha biashara itakayonipatia faida mtaji 10M, location - Arusha Note 1. Biashara ambayo haitahitaji usimamizi wangu wa karibu 2. Itakayonipa urahisi wa...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Wafanyabiashara wa electronics wanapitia changamoto kubwa ya bidhaa zao kutouzika kwa haraka kwasababu ya thamani kubwa ya bidhaa hizo mfano Refrigerator, Tv, Cooker, Washing Machine za kuanzia 1M...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie nawezaje kupata faida kwenye utengenezaji wa sabuni ya mche,nizingatie vitu gani?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu Nimenunua mahitaji haya: Printer epson l850 Compyuta Meza na kiti Limu paper Stapler Counrer book kwaya 2,3 na 4 NAOMBA MNITAJIE VIFAA VINGINE ILI NIWEZE KUJAZA STESHENARI...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Hellow wazima wakuu, karibuni kwenye uzi wangu wa kujadili fursa za kiuchumi na uwekezaji kwa Mkoa wa Pwani na hususani maeneo ya Kibaha. Napenda kufahamu fursa za uwekezaji maeneo hayo je ni...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Bei zake na mauzo yake jumla
0 Reactions
2 Replies
375 Views
MBUNGE BONIVENTURA KISWAGA AISHAURI SERIKALI KUONGEZA KODI KWENYE MAFUTA YANAYOZALISHWA NJE Mbunge wa Jimbo la Magu (CCM), Mhe. Boniventura Destery Kiswaga ameishauri Serikali kuongeza kodi...
0 Reactions
1 Replies
526 Views
Money (Pesa) ni njia ya kubadilishana ambayo kwa ujumla hukubalika katika biashara za bidhaa, huduma, au madeni. Inaweza kuwa katika fomu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na sarafu halisi (kama noti na...
0 Reactions
1 Replies
682 Views
Ni broker gani anaetoa bonus up ya $100 ukiachana na FBS kwa sasa
0 Reactions
9 Replies
512 Views
Wadau nimeona serikali ikipokea gawio la hisa za Nmb bank na CRDB bank hivi karibu kama billion 45 hivi wadau kwa anayejua haya maswala ya hisa za hizi bank mbili ningeomba anifafanulie kidogo na...
3 Reactions
5 Replies
4K Views
Salamu, Naomba kujua namna ambavyo Mzabuni anaweza kupanga Bei ya bidhaa wakati wa tendering. Je, Kuna Mwongozo WOWOTE wa kisheria au Kanuni? Mfano ..Kama Bei ya nyama sokoni ni Sh.8000/ ,au...
0 Reactions
5 Replies
563 Views
Alikuwa mwajiriwa wa ATC, sasa anamiliki hoteli 5 za kitalii WANAWAKE kwa muda mrefu wamekuwa wakiaswa kujituma na kujiamini ili waweze kufanikiwa katika kutimiza ndoto zao. Kujiamini huko...
12 Reactions
90 Replies
23K Views
Kama ujumbe unavyojieleza nipo north Mara,natafuta mtu ambaye anamiliki krasha tuingie naye share,eneo la kuchimba Niko nalo na dhahabu inapatikana ,aliyeko serious anipm
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Digital Marketing - moja ya mada zinazotajwa sana haswa katika fursa za mtandaoni. Wafanyabiashara wengi wanasifu kuwa ni njia muhimu sana katika ukuzaji wa biashara. Kitu ambacho vyuo vingi...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Haiwezekani kampuni iwakeze roughly $1trion kwenye uchumi wako wenye GDP $54bn wenye annual budget close to $2bn mtu afunge mitambo na mifumo yake ya kimataifa worthy $500m robo ya bajeti yako kwa...
0 Reactions
0 Replies
232 Views
Back
Top Bottom