Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Utalii wakutembelea mbuga za wanyama huenda ukawa haupendwi sana Duniani ukilinganisha na utalii wa Fukwe, utalii wa kutembelea mambo ya kale na hata kutembelea miji, au utalii wa matamasha...
5 Reactions
6 Replies
810 Views
NAIBU WAZIRI EXAUD KIGAHE - SERIKALI IMEANZISHA MFUKO & PROGRAM KUWAWEZESHA KIUCHUMI WANAWAKE WASIOJIWEZA Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda Na Biashara Mhe Exaud Kigahe amesema Serikali...
0 Reactions
0 Replies
440 Views
Ukienda kukopa kwa hawa watu sharti lao la kwanza uwe unalipa kila siku ndani ya siku 29. Then riba ni 18%. Hawataki kwa mwezi wala kwa wiki ni daily. Dhamana ya vifaa vya nyumbani kwako ni...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari zenu, Nauliza hivi; wamiliki wa Makampuni ya Ulinzi Binafsi wao wanapataje faida? Nimeuliza hivyo kwasasabu usajili wa Makampuni ya Ulinzi Binafsi unaongezeka kila kukicha na inavyoonekana...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni matumaini yangu hamjambo wakuu, Moja kwa moja kwenye mada, nimefanya utafiti karibu biashara zote kubwa na ndogo aisee my friend biashara haitaki usamalia. Hakuna mfanyabiashara kafanikiwa...
25 Reactions
49 Replies
4K Views
Ninaomba kufahamu kuhusu mradi wa miti ya mbao, ninawazo la kununua shamba na kupanda hiyo miti. Ninaomba kufahamisha kuhusu chochote kuhusiana na mradi huo kwa wenye uzoefu.
0 Reactions
3 Replies
750 Views
Inakaribia sasa wiki sasa bila taarifa kwa wateja channel za Upendo na Joy Tv zimeondolewa king'amuzi cha Azam. Hii imetokana na nini? Anayejua atujuze tafadhali maana hiyo ilikuwa sababu...
0 Reactions
6 Replies
675 Views
Hello Waungwana wanaoishi nchini China, Nana mpango wa kuagiza gari Aina ya HOWO tractor Truck used pamoja na flatbed trailer , issue inakuja swala la uaminifu kwenye company ambazo ziko China ...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Rais Samia amesema mazao ya Mahindi na Mpunga Sasa ni rasmi mazao ya biashara sio ya Kilimo pekee kama hapo awali hivyo Serikali inayachukulia kama mazao ya kimkakati yanayoweza ingizia Serikali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana Jamvi, ni matumaini yangu mpo salama kabisa, mnaendelea kuchapa kazi na kutafuta tonge Katika uzi wangu uliopita nilizungumzia mbinu mbalimbali ambazo unaweza kuzitumia katika...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari, Naomba msaada kwa yeytote anaeweza kunitumia katiba ya kikundi au Saccos soft copy kwa whatsap 0747848885 au email munally14@gmail.com
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni jamii ambayo ilikuwa haijulikani lakini hivi karibuni kutoitambua ni sawa na kusema hakuna kitu kwenye chumba mlichomo na tembo, hata kwa wanaofunga mizigo yao soko kubwa kuliko yote nchini...
16 Reactions
14 Replies
3K Views
MAMBO YA MSINGI KABLA YA KUINGIA KATIKA FOREX TRADING Ajira ni changamoto na tatizo linalokuwa siku hadi siku.Miongoni mwa vijana na watu wengi wamejiingiza katika biashara ya forex.JE HII AJIRA...
7 Reactions
44 Replies
20K Views
Habari ndugu zangu, mimi ni kijana nilijikita kwenye Software development sasa kuna app yangu nimeitengeneza sasa nina tafuta wawekezaji, nilikua nina uliza naweza kujiunga vipi na hawa sahara...
1 Reactions
4 Replies
624 Views
SERIKALI INA MKAKATI WA KUWAWEZESHA WAZALISHAJI WA POMBE ZA KIENYEJI KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA KISASA "Hadi kufikia mwezi Oktoba 2022 jumla ya leseni 43 za ubora zimetolewa kwa bidhaa mbalimbali...
1 Reactions
5 Replies
745 Views
Habari wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nina nyumba yangu ya kuishi sehemu ilipo nimeona panafaa kufanyika biashara ya lodge/ Gesti hivyo nipo kwenye mpango wa kumtafuta msanifu aje...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Je, unafahamu kuwa kupitia simu yako unaweza kupata msaada wa kufahamu ghalama mbalimbali za malekebisho ya simu bila hata kufika katika kituo chetu cha matengenezo CARLCARE SERVICE CENTER...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Nauza subwoofer aina ya mrUk Tzs125000 Bagamoyo. 0623716448.
1 Reactions
2 Replies
417 Views
Habari wakuu, Bila kuwapotezea muda kwa maneno mengi, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada tajwa. Naomba kupata ufafanuzi kwa anayejua namna ama hatua mpaka kupata kibali cha kufungua butcher...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari. Mi mwenzenu sijui nikoje haya maimani ya ajabu ajabu yananipa shida sana huku duniani yaani huwa hata siwazagi haya mambo. Sàsa mimi nina ela yangu msimbazi safi nahitaji kitu kwenye...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom