Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Huwa watu wengi wakitaka kuanza mradi uwe wa hoteli au Kilimo au Ufugaji basi wataanza Ziara za kutembelea watu walio fanimiwa. Mtu atatembelea migahawa inayo jaza watu ili apate Busta au pate...
13 Reactions
13 Replies
4K Views
Wakuu za weekend? Kwa masikitiko makubwa tumeamka kwa kupokea taarifa za msiba wa Michael Shirima, founder wa Precision Air. Ikani sukuma kutaka kupata kitabu chake alicho andika wakati wa uhai...
3 Reactions
1 Replies
994 Views
Je mkataba unaojadiliwa Bungeni kuhusu bandari zetu ni huo huo uliopo mitandaoni au mwingine? Je ni kosa kwa wananchi kujadili mkataba huu? Je wabunge wamejikita kiasi gani kwenye mada iliyopo...
0 Reactions
0 Replies
347 Views
Habari jF Nina mtaji kama 1m. Nataka kuanza biashara ya mabaibui ya mtumba. Nipo Dar es Salaam Naomba anaejua ABC za biashara hii anisaidie
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa mahitaji ya graohics Kama vile logo design, Posters, Flyres, .... Karibuni sana
1 Reactions
1 Replies
382 Views
Niaj wadau, Najua saivi life liko mbaya sana pesa zimekuwa adimu michongo imekuwa adimu sana kuna wazo nilipata juzi nilipewa na rafiki angu ambae yupo Lindi akanipa mchongo wa kwenda lindi...
3 Reactions
23 Replies
10K Views
Frame ipo Arusha Stand kubwa, mwenye frame anabadilisha biashara. Bei ni mil 6. Number: 0693177725
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu habari poleni na majukumu! Twende moja Kwa moja kwenye Mada tajwa hapo juu. Je, siku yako ya Kwanza kwenye biashara ilikuaje? Changamoto gani ulipitia? Kwa upande wangu jana ilikua siku...
14 Reactions
31 Replies
3K Views
Jaman habarini Kwa wazoefu wa bajaji naomba kujua jambo hili... Nimejikusanya pesa kama million tano nahitaji kununua bajaji TVS King used. Je, nikiwa dereva mwenyewe, itaweza kunipa faida hata...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa wale wanaopiga mishe na awamu hii watakuwa mashuhuda mfumo wa malipo zikienda huko hazirudi huku hii ni mara 3 au zaid Shida nini? Lakini tumeona hata kwa wafanya kazi mwezi uliopita mambo...
4 Reactions
4 Replies
499 Views
Nimekua nasoma baadhi ya comments na kusikiliza mawazo ya watu mbali mbali hasa wateja wanaonunua bidhaa mbalimbali kwamba vitu vya China ni FEKI Napenda kasema ya kwamba kwa China unachoomba...
4 Reactions
34 Replies
6K Views
Hapo zamani wafanyabiashara wengi wakifika kariakoo kujumua / kufunga mizigo kwajili ya kwenda kuuza mikoani ama nchi zilizotuzunguka walifikia maduka makubwa ya wachaga na wapemba ukiachana na...
16 Reactions
133 Replies
15K Views
Habari wadau, Naomba kuelekezwa ama kufahamishwa yalipo maduka ya jumla ya vifaa vya masaluni..eg dryer etc.. Asante kwa ushirikiano
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini wakuu, kama uzi unavyojieleza naomba kujua utaratibu wa kuhamisha Tin number ya biashara kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, natanguliza shukrani
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari ya asubuhi, Nataka kupata uzoefu wa biashara ya. Nazi kuna jamaa yangu alinambia kule Kilwa nazi bei yake ni Tsh. 650-700. Natamani nifanye biashara hiyo nikachukue kwa bei ya jumla...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mnamo mwaka jana 2022, Serikali ilitangaza maboresho ya mfumo wake wa manunuzi. Je, tayari wameshatangaza mfumo mpya utakuwaje na utaitwaje na kupatikana vipi? Naomba msaada.
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwanini vijana wengi wanashindwa kuendesha biashara zao pindi tu wanapoziansha? Ni lipi tatizo?
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu poleni na majukumu na ugumu wa maisha wa mitano tena, Kuna biashara ya mitubwi ya uvuvi nafanya yapata mwezi mmoja sasa nina mitumbwi 10 yenye thamani ya TSH 1.5M yote na nahisi...
5 Reactions
12 Replies
5K Views
Nina mzigo kutoka Lusaka kwenda Dar. Natafuta gari ya kuusafirisha kama Loose Cargo. Uzito: Tani 2.5 Ujazo: Kama nusu ya Ujazo wa Canter Aina ya mali: Bomba za mpira za 1/2" zilizoviringishwa...
0 Reactions
2 Replies
391 Views
MBUNGE NORAH MZERU ASISITIZA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NA USALAMA MAHALI PA KAZI KIWANDA CHA NGUO CHA MAZAVA MOROGORO Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro, Mhe. Norah Waziri Mzeru mnamo tarehe 05...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom