Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Samahani sana wakuuu mimi ni graduate ambaye nimekutana na changamoto hii na najua wapo wengine ambao wanaendelea kukutana na hichi kitu. Mimi ninakakibanda kangu ka uwakala wa mitandao ya simu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kujua namna ya kupata hizi Mashine za kuuzia maji wanayouza kwa Lita sh.200/- na ni bei gani na wapi napata? NB: Nahitaji mpya dukani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kama unajiona una mtaji kuanzia m2 hivi njoo nikusaidie ujipatie eneo la mgodi ujiingizie m3 hadi nne kwa siku hiyo ni baada ya kuwekeza ndani ya mwezi mmoja Kikubwa ambacho nitakusaidia...
30 Reactions
130 Replies
9K Views
Natafuta kampuni hapa Dar inayojishughulisha na uchapaji wa vitabu vyenye ubora kama utaweza kunisaidia pia mawasiliano yao itakuwa njema zaidi ! Asanten
0 Reactions
4 Replies
603 Views
Benki za Tanzania zipo kwenye mambo mawili ambayo wateja kutunza pesa na mikopo ili kupata faida. Kuna sinema nyingi zinaonesha benki nyingi zinaweza kutunza nyaraka, madini na n.k na leo kama...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ningefurahi sana kama ningeshikwa mkoni. Ili niweze pata laini za uwakala bila changamoto
0 Reactions
3 Replies
478 Views
Habari wazee wa business. Kwenye kuzurura mtandaoni nimekutana na business idea ambayo inaweza kutumia ata hapa bongo na kufanya vizuri, nimegundua hili baada ya kwenda kkoo kununua vitenge vya...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye Mada. Napendekeza aina hii ya tozo kwamba kila mwenye gari alipie tsh 1,000/= kila mwezi kwa mwaka tsh 12,000/= kwa kila gari moja, INALIPWAJE? Ilipwe katika vituo vya...
4 Reactions
31 Replies
1K Views
Kuna msemo maarufu sana unasema "Ukitaka kuwa tajiri jifunze kuweka akiba" ila mimi nakwambia kuweka akiba hakukufanyi uwe tajiri. Ukitaka kuwa tajiri jifunze kuzalisha pesa Kuweka akiba si jambo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wadau hivi hawa DSTV wana watu wabunifu na competent kwenye biashara ya visimbuzi kweli? Yaani kwanini uweze kujiunga na huduma ya DSTV BUSINESS halafu ukitaka kujitoa ishindikane yani kwamba ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Omar Shaaban (wa pili kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi Mtendanji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela tuzo ya...
1 Reactions
0 Replies
400 Views
Rais wa Jamhuri ya Burundi, Evariste Ndayishimiye akiwa kwenye mazungumzo na ujumbe wa Benki ya CRDB, ulioongozwa na Mwenyekiti wake, Dkt. Ally Laay na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya CRDB...
2 Reactions
1 Replies
736 Views
Nahitaji msaada wa vifaa na gharama zinazohitajika ili kuanzisha sehemu ya kuzalisha mikate Naombeni msaada wenu Wana forum Tanzania ya Viwanda kama anavyosema Rais Dk John Pombe Magufuli...
4 Reactions
45 Replies
34K Views
Habari wanna jf, Tafadhali ninaomba msaada wa anayefahamu taratibu za kufungua ofisi za court brokers. Nipo interested kufungua hizo ofisi kutokana na changamoto nilizoziona mkoani kwangu...
0 Reactions
2 Replies
808 Views
Ninabiashara ya duka la chakula nilihitaji MKOPO KUTOKA BANK ni ipi Branch nawezafanikiwa mkopo ikizingatia Vigezo hivi nilivyo navyo-: -TIN NUMBER -LESENI YA BIASHARA -HATI YA KIWANJA -NYUMBA...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Naombeni wazo la bidhaa ipi inauhitaji mkubwa katika jamii ambayo matumizi yake hayakwepeki Kama CHUMVI Je ni bidhaa gani yenye high demand mtaani au madukani au magengeni ambayo haihitaji mtaji...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kabla ya yote niwasalimu kwa wale Wakristo, Bwana Yesu asifiwe, na Waislamu Assalamualaikum. Natanguliza shukran zangu kwa yule atakaye fikiria na kuamua kunishika mkono. Katika maisha yangu...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ndugu wadau nimeleta uzi huu ili mimi na wale wote wanao ifahamu vizuri hii fursa. Maana kila kukicha kuna sherehe kuanzia birthday mpaka harusi na mikutano.Nina maswali kadhaa; 1. Ukubwa(sq...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwanini simu ni cheap ukilinganisha na bara?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habarini wakuu, naomba niongeze maarifa, hivi mfadhili wa kitu fulani mfano NBC walivyofadhili ligi kuu wanafaidikaje, au unasikia mwanasiasa fulani kafadhili kitu. Nia yangu nataka kujua faida...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…