Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

ASL ALKM Ndugu wana JF, Kufungua guest house process yake iko vipi? yaani vibali, kodi za serikali nk Je kuna limit ya vyumba, yaani hata kama nyumba ina vyumba viwili self-contained yaweza kuwa...
0 Reactions
148 Replies
51K Views
Wengi wetu tukitaka kuanza biashara wazo la kwanza kabisa tunawaza faida! Ndio ni faida mtu wangu! Lakini kwa mfanyabiashara aliyekomaa kabla hajaanza biashara anafikiria kwanza ni kwa namna gani...
5 Reactions
12 Replies
955 Views
Wakuu kwema , natumaini mpo pouw , huku tukiendelea na msiba kdog mdogo.... Nimeona fursa sehemu ya kuweka depot Kwa ajili ya kuuza maji haya ya chupa Kwa bei ya jumla ..... Kwa wale wazoefu...
1 Reactions
21 Replies
14K Views
Hello wapendwa wa JF nilikuwa nauliza ni wapi kwa hapa Tanzania naweza pata mjasiriamali mdogo au kama ni kiwanda kinachotengeneza jam ya kwenye mkate tufanye biashara.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
1. Find a higher paying job. 2. Ask for a raise or promotion at your current job. 3. Start a side hustle or business. 4. Invest in income-producing assets. 5. Look for new sources of income...
2 Reactions
0 Replies
496 Views
Wanajukwaa habari za muda huu! Anataka kuhamia Kagera(muleba) kutoka Arusha mjini. Ni mfanyakazi wa serikali mambo ya mifugo na uvuvi, Yeye anaona akienda huko atapata fursa nyingi zaidi...
0 Reactions
4 Replies
827 Views
Jamani naombeni ushauri nimekopa kwa watu binafsi na tasisi za kifedha paka sasa na Deni langu limepanda sana na kufika 7700000 milioni Saba na laki Saba Mzigo dukani kwangu upo ila siyo mkubwa...
8 Reactions
32 Replies
2K Views
Habari wakuu, Naomba kukutana kwa wadau wote wajasiriamali na wafanyabiashara wa vyuoni ili kujadiliana masuala mbalimbali kuhusiana na michongo ya pesa na fursa kibao za kibiashara. As well as...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Salam zangu na zisambae kwenu nyote. Matumaini yangu mu buheri wa afya tele, na hata walioteteleka mwenyezi Mungu awajaalie wepesi wa kupona haraka. Ahadi ni deni. Nami tangu nimeanza mbio zangu...
30 Reactions
71 Replies
14K Views
Mwenye idea kuhusu biashara ya nguo za watoto za mtumba, yaani jinsi ya kupata mzigo, capital ya kuanzia na operation cost, msaada please.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Panapo majaaliwa ya mwenyezi Mungu tumekutana tena kwenye kikao cha wapambanaji. Wakuu wa jukwaa hili hususani vijana nawasalimu kwa Salam adhimu ya mama yetu Samia Suluhu Hassan...... Bila...
54 Reactions
170 Replies
71K Views
Wakuu habari za jioni? Samahanini kwa usumbufu nilikuwa naomba kujua mchanganuo wa hii biashara uko vipi? Je ni biashara ambayo bado inalipa au ishakuwa saturated? Nauliza hivyo coz kuna jamaa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta business partner wa kushilikiana nae kuchukua frame. Frame ina ukubwa wa 35sqm tunaweza kufanya partition au kufanya biashara zinazoendana pamoja . Mimi nataka kufungua ice cream parlor...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari wana JF, Naomba nikili kuwa hali yangu kiuchumi sio nzuri, na hasa baada ya kuingia white house huyu mzee wa Geita. Naona mambo kama vile yamefungwa kwa makufuli yasiyofunguka. Kwa kawaida...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari ya jumapili wakuu! Kwa heshima zote naomba msaada nisaidiwe maeneo yanayouza vitu vifuatavyo kwa jumla Kariakoo I. Viatu simple na slippers ii. Nguo za ndani, yaani chupi, boxer night...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Kuna gari nnayo hapa sasa natafuta tenda za nyama au kubeba mboga mboga au vitu ambavyo vinahitaji friji na tenda iwe ya Kila siku au mwezi au hata alie na Connection ya kazi hizo tunaweza kuwa...
8 Reactions
27 Replies
3K Views
NB: Unaweza pia soma > Biashara za kufanya kwa mtaji mdogo wa elfu 10 mpaka 50 ====== Ni muda sijaandika uzi katika jukwaa hili, nimepata msukumo leo baada ya kisa kilichotokea apa katikati na...
116 Reactions
243 Replies
84K Views
Niende moja kwa moja kwenye mada, mwezi wa 6, 2022 kuna jamaa aliniuzia gari Mkoa wa Mwanza (Crown 2010). Tukaandikishiana vizuri kabisa nikatoa hela nikapewa kadi, nikakamilisha taratibu kama...
16 Reactions
114 Replies
9K Views
Hello jmni naomba kujua maduka ambyo yapo Dubai ambayo yanauz vitu especially viatu, nguo mikoba kwa bei ya jumla nzuri ambayo naweza nikaagiza nakuleta dsm nakama kuna mahali wanauza mtumba grade...
0 Reactions
5 Replies
914 Views
Maada hii haihusiani na forex, kubeti, michezo ya upatu, n.k. Dunia ya sasa imekuwa sana kiteknolojia hasa kwenye upande wa internet na kuna fursa zipo za kupiga hela za uhakika, Fursa hizi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom