Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari WanaJamvi, Kuna ishu moja inanitatiza nataka kuuliza. Hivi kwenye biashara tukisema "MTAJI" tunaamisha nini? Ni hela ile inayozunguka tu katika biashara kwa mfano umenunua Mzigo wa laki...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari Ndugu Zangu Naimani Wote Ni Wazima Wa Afya.🙏 Ndugu Zangu Nimepata Wazo La Kufanya Biashara Ya Library Yani Kuban Movies Kwa empty CD Na Music Pia Kuuza Flash Na Memory Card Pia Kuuza...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu habari Baada ya kutafakari kwa muda nimeona nijaribu forex trade, ndio inaweza kuniletea uhuru kamili, ambao nimekuwa nikiusaka tangu nizaliwe, kujiriwa niliacha kwa kukosa uhuru ila hata...
12 Reactions
79 Replies
13K Views
Kumekuwa na tabia ya ajabu ya biashara za aina flani kuibuka kibongo bongo na kuwa hyped ila ghafla zinakufa kibudu 😂! Hebu tuzitambue na tuelewane shida hasa huwa nini mbona hazi prosper kama...
15 Reactions
85 Replies
9K Views
Wakuu Wenzetu Waarabu na Wahindi Wanawaandaa Watoto Wao kuwa na uwezo wa ku manage Biashara kubwa kama hii ya mabus wakiwa vijana wadogo. Huyu Anaitwa Amran Ally Mohamed Said au Amran Kifaru ndio...
14 Reactions
81 Replies
8K Views
Hii ni ofisi ya wanaochimba mgodi wa utajiri kwenye Forex. Yale mambo ya ma Bitcoin, na kadhalika, ku trade na kila aina ya utajiri rahisi ndio hapa training centre yao, namna ya kuupata utajiri...
17 Reactions
32 Replies
3K Views
Kwa wale wenye malengo yakuja kumiliki taasisi za kifedha n.k au ulisoma 'economics & investment' au 'Finance and investment' na hujui wapi pa kuitumia taaluma yako; huu ni uwanja wako. Lakini...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu habari za mida hii.? Naamini kuna nguvu ya mapinduzi kutoka kwenye mawazo za watu (ideas) "Wazo" Mungu akasema na tumfanye mtu kwa sura na mfano wetu " vyote tuvionavyo vimetokana na...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
TANZANIA imekuwa kiungo muhimu kwanchi zisizokuwa na bandari katika ukanda wa Afrika mashariki na kati. Bandari zake za Dar es Salaam, Tanga naMtwara zimekuwa lango muhimu la bidhaa na biashara...
2 Reactions
0 Replies
746 Views
Mimi ni wakala mpya wa Airtel Money, nilikuwa naomba msaada wa kuelekezwa jinsi ya kutoa hela kwa njia ya meseji, pale mteja anapokuja na kuomba kutoa pesa akiwa amepewa pin ya siri ili atoe pesa...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Habari ndugu zangu. Baada ya kusikia habari kutoka serikalini kuwa na madalali wanatakiwa kuwa na leseni ya biashara ya udalali ndio utakuwa unafanya shughuli zako kihalali. Nimeona fursa hapo...
1 Reactions
27 Replies
11K Views
Habarini wapendwa.. Naishi Sinza Mori.. Nje ya nyumba yetu tuna Fremu, 5 ila moja ipo tupu.. Nilikuwa nataka kusafiri, nikawaza nikodishe nikirudi baada ya miaka 2nianze upya.. Lakini.. nimewaza...
9 Reactions
45 Replies
7K Views
Kuna mambo kadhaa nahitaji kufahamu kutoka kwa Wajuzi wa hizi kazi. Nimeonesha nia ya kutaka kuuza hisa nikapatiwa orodha ya Madalali, sasa nipo njiapanda nitumie kigezo gani kuchagua Dalali...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau, ningependa kujua biashara ya kukusanya chupa za plastic zilizotumika kwa kuwa nimeona kuna fursa katika mkoa niliopo. Dar imekuwa dili sana naona watu wanabeba mizigo mikubwa ya machupa...
0 Reactions
46 Replies
21K Views
PESA NJE YA AJIRA. Wapo watu wengi ambao wanashindwa kufanya biashara japokuwa wana mitaji ya kutosha na hii inatokana na sababu ya kwamba wanakuwa wametingwa na ajira zao.Pale wanapojaribu...
5 Reactions
11 Replies
5K Views
Tupeane tips wakuu, jinsi ya kuingia 2023 kwa focus zaidi katika kutengeneza pesa kupitia ujuzi (skills) ambao hauhitaji uwe na degree wala masters.
6 Reactions
34 Replies
3K Views
Nilikuwa na wazo la kufungua library ya muvi ambapo nitakuwa nauza cd pamoja na kuweka nyimbo kwenye simu nakutoa huduma zingine kama vile kuwaunganisha watu Facebook, WhatsApp, Instagram n.k...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama Uzi unavyosema hapo Naishi Dar es Salaam. Nataka kupata uzoefu ambao utanisaidia na utasaidia kwa watakaofuatilia Uzi huu, kuhusu biashara hii kwa ambao walishaifanya na hata kwa wenye uelewa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Umuofia kwenu. Mimi ni muajiriwa wa serikali katika mkoa huu wetu Dsm, kutokana na changamoto za usafiri nimeona nijiongeze hata na tuk tuk kwanza, hivyo basi kama kuna kampuni inakopesha naomba...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom