Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kwa hapa Dar es salaam kuna mzunguko mkubwa sana wa watu kwa 800,000 maeneo ya Mbagala naweza fanya biashara gani ninaweza kuingiza walau 20k au 15k faida kwa siku? Ushauri wenu please guyz
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, Nataka nianze kuuza ugali na dagaa mchele wale wa kukaanga, nitaweka na kachumbari kunogesha au mboga za majani. Nimefikiria ugali na nyama ya kukaanga lakini nimeona itanikost sana...
5 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari za humu wanajukwaa Naomba kuuliza kwa wale wazoefu wa kununua bidhaa mbali mbali online hasa ALIEXPRESS je maana sijawah kuagiza kwenye platform hii mm huwa natumia KIKUU kuagiza vitu...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Naomba kufahamu kama kuna uwezekano wa benki kuwezesha biashara ambayo ndiyo inaanza kwa namna ya wao kama benki kutumia mkataba wa makubaliano ya kibiashara kati ya kampuni yangu na ya China...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wana JF, Ninaomba kupata mawazo au majibu ya swali hili. Ninawazo la kujenga jengo dogo la biashara mkoa mmoja hapa Tanzania. Nina eneo tayari kikwazo ni fedha na option iliyopo ni mkopo...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Ndege ya shirika la ndege la Uholanzi (Royal Dutch Airlines, KLM) Boeing 777 ikishusha abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) muda mchache baada ya kutua uwanjani hapo leo...
8 Reactions
21 Replies
4K Views
Kama mtu yeyote anayefanya biashara ya umachinga stand ya mabasi ya Mbezi mwisho? Naomba kujua utaratibu upoje, muda mzuri wa kuanza umachinga ni saangapi? Natanguliza shukrani. [emoji120]
0 Reactions
0 Replies
498 Views
Inawezekana kabisa siku ambayo ulifungua akaunti yako ya Facebook, Instagram au hata WhatsApp ulikuwa na lengo na kuchati na washikaji, ndugu na watu wengine wengi. Hukufikiria kuhusu kutengeneza...
9 Reactions
24 Replies
15K Views
SMS MARKETING STRATEGY (Mkakati wa masoko ya ujumbe mfupi) SMS Marketing ni Tanzu ya masoko yakidigitali ambayo hutumia ujumbe mfupi(kwenye simu) kufikisha ujumbe kwa wateja au wahitaji wa huduma...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari za leo wadau! Husika na kichwa cha nyuzi hapo juu. Naomba kujua kwa hapa Dar es Salaam - Kariakoo Ni Sehemu gani naweza kupata vyombo vya nyumbani kwa bei ya jumla ya chini. Nahitaji...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Uwekezaji unao fanywa na asilimia kubwa ya sisi Watanzania haitupi kuweza kushindana huko Duniani na mataifa mengine. Tumekuwa na aina za uwekezaji ambazo sana ni kwa ajili ya Familia zetu na sio...
8 Reactions
25 Replies
4K Views
Poleni na majukumu kuna rafiki yangu amenipa hii habari ni kama sijaamini vile ina maana kuna utapeli mpya mjini au ni hivi nasikia 80% ya mizigo inayoingizwa na hawa wafanyabishara inaagizwa na...
13 Reactions
84 Replies
16K Views
Mambo, Mtu ambaye anaagiza mizigo china na anamtumia mchina kufunga mzigo please naomba msaada wa hiyo connection, au hata mwenye marafiki wa china.
0 Reactions
7 Replies
651 Views
Msaada wanajamvi naomba kujua naweza kupata wapi yebo yebo Kama hizi hapa chini na bei ya jumla jumla wanauzaje?
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za wakati huu ndugu, Wengi tunafahamu kuhusu Mikopo, kuna wanaokopa vyakula dukani kwa mangi, kuna wanaokopa mikopo ya mishahara, magari, nyumba au hata biashara katika benki na taasisi...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Greetings JF massive! Karibu tena katika darasa la leo ambapo leo ni siku mahususi kwaajili ya biginners wanaotaka kuanza kufanya kazi kama Online freelancer lakini hawafahamu Online freelancer...
19 Reactions
56 Replies
18K Views
Habari zenu wanajamii forum! Kama kichwa cha habari kilivyo nipo hapa kuisaidia umma Wa watanzania kuhusiana na biashara hizi ambazo zimeibuka ivi karibuni kwetu huku lakini ila huko nje ni...
10 Reactions
394 Replies
36K Views
Kila Mmoja anafahamu kuwa msimu wa siku watu hununua mahitaji mbalimbali. Naomba tusaidiane. Ni biasahra gani ya msimu huu wa siku mtu anaweza kufanya?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tanzanian fintech startup NALA has raised US$10 million in funding as it plans aggressive expansion across Africa in 2022. A past winner of the Ecobank Fintech Challenge and Seedstars Tanzania...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Toleo la TECNO CAMON 19 ambalo lililozinduliwa rasmi katika soko la Tanzania mapema mwezi Julai, ni mahususi kwa ajili ya wadau wa mitindo ili kuondokana na changamoto mbalimbali zinazohusishwa na...
9 Reactions
19 Replies
3K Views
Back
Top Bottom