Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kama unajijua una pesa za mawazo nakushaur usije ukathubutu kuziweka pesa zako bank eti kuzihifadhi utakuja kujuta, hali ni mbaya Sana serikali inakwapua pesa za walalahoi bila chembe YA Huruma...
5 Reactions
72 Replies
4K Views
Serikali inapoendelea kukopa, jamii inaathirika vipi? Je, waziri wa fedha yuko sawa sawa kujitokeza adharani, na kukiri kuwa wataendelea kukopa na hakuna atakaeathirika? Mchango wangu kuhusu hii...
6 Reactions
12 Replies
946 Views
Ni takribani siku moja sasa toka nifungue kibanda umiza maeneo ya hapa kijijini japo sio kijijini sana ambacho nilikipa jina la "VPN ARENA" Nimeweka both dstv na azam bila kuchelewa nikarusha...
26 Reactions
86 Replies
17K Views
Unajua kuna msemo unasema ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, ndio graduates wengi ambao hatuna kazi tunapitia hiyo hali yaani hatuna haki kabisa, now tumekuwa jalala la matusi sii la Saba, fm4...
99 Reactions
195 Replies
21K Views
Wanasema mjini akili. Miaka kadhaa nilikuwa napambana kukuza mtaji kwa kukopesha watu kuanzia elfu ishirini mpaka elfu hamsini kwa marejesho ya kila siku. Pale Kariakoo kuna watu hawana mtaji ila...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Habarini wana JF, Juzi kuna jambo limenitafakarisha sana nmeenda dukani haya maduka ya bidhaa za rejareja ni barabaran kuna maduka kadhaa na kuna banda la chips na salon. Nmefika kwanza nmemkuta...
12 Reactions
96 Replies
4K Views
Habari JF, Kuna mkopo nimechukua bank fulani hapa nchini, marejesho yake ni kwa wiki, muda niliopewa ni miezi 18. Je, nitumie njia gani kutunza kumbukumhu ili ukifika muda wa kumaliza mkopo...
0 Reactions
13 Replies
620 Views
USIACHE AJIRA KABLA YA KUJITATHIMINI KWANZA: hapa namaanisha ujiulize je ajira yako inakupa furaha au inakukera na unaenda tu ili uweze kukidhi mahitaji yako ? na je ukijitathimini ukiwa uzeeni...
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Heshima mbele, Natambua kuwa, JF kuna wataalamu na wenye uzoefu mbalimbali. Naomba ushauri namna ya kuanzisha biashara hii. Natanguliza shukurani Sawa ngoja nijaribu maana mimi si mtaalamu wa...
0 Reactions
81 Replies
33K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) akifanya mazungumzo na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Visa International, Alfred Kelly kuhusu ushirikiano baina ya taasisi...
0 Reactions
10 Replies
840 Views
Salam wajomba na mashangazi, Kumekuwa na tabia ya watu kutaka kuumwambfy ujasiriamali/biashara na kuufanya uonekane ni bora zaidi mara elfu moja ya ajira lakini ukichunguza kwa makini...
17 Reactions
59 Replies
13K Views
: Mteja ni nani? Mteja ni mtu yeyote anayenunua bidhaa au huduma inayotolewa na biashara fulani. Mteja ni mtu muhimu sana katika biashara yoyote. Lengo la kuanzisha biashara ni kupata wateja...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za leo! Napenda leo tuangazie makala hii juu ya taratibu za kufunga kampuni ya biashara hata kama imekuwa katika shughuli za kibiashara kwa miaka mingi Wafanyabiasha wengi hupenda kufanya...
2 Reactions
2 Replies
6K Views
Jamani naomba kuwaletea ukweli huu: makaa ya mawe ndiyo nishati inayoongoza duniani kwa kutoa umeme hasa katika nchi zilizoendelea ikifuatiwa na hizi zingine za nyuklia, maji na hata non...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wakuu, nataka nianze rasmi biashara ya kufata kaa na kuja kuwauza hapa jijini Dar Nimefanya utafiti wa kutosha kuhusu upatikanaji wake wanapatikana hasa Mtwara, Lindi na sehemu za karibu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Je, unaweza nufaika vipi Kama ukiwa umamiriki radio mtandaoni?
1 Reactions
5 Replies
642 Views
Biashara ambayo faida ni ndogo kuliko matumizi ni biashara yenye afya? Mfano ukifanya mauzo, zaidi ya asilimia 60 hadi 70 inaenda kwenye matumizi kama maligafi n.k, na hakuna uwezekano wa...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Hivi TRA wameondoa calculator ya magari used kwenye website yao au mimi simu yangu ina nongwa?
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za jioni wakuu. Nijielekeze Moja kwa moja kwenye topic. Haiitaji kuwa msomi kuelewa ukifanikiwa kipesa maishani ni jambo litakalokusaidia kufurahia maisha na kupunguza sana stress za...
2 Reactions
36 Replies
6K Views
Biashara hazijawahi kuisha chini ya jua ni vile tu unavyoamua kuchukulia mambo na kujichukulia wewe upo vipi,leo nataka nimsaidie mtu mmoja mahali flani kuichambua hii biashara ili kama alikua...
56 Reactions
96 Replies
17K Views
Back
Top Bottom