Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Niliondoka geita miaka miwili iliyopita, pakiwa ni pakawaida sana, lakini baada ya miaka miwili nimekuta gorofa za kutosha, nyumba za maana, mitaa ina lami, watu wanadrive ndinga kali kali, yani...
0 Reactions
7 Replies
633 Views
Wakuu hivi mshahara wa bank teller ni kiasi gani kwa sasa CRDB nimepata mchongo hukoo..Nimemaliza chuo juzi Bcom Finance UDSM
0 Reactions
50 Replies
20K Views
New update . . . . 25.12.2022 Merry Christmas and Happy New Year 2023. Umewahi kusikia kuhusu CMC Marketplace? . . CMC Marketplace ni mfumo wa Soko la kutegemeana kwa wale wanaoamini kufanikiwa...
5 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari wana JF. Naomba msaada kwa mwenye uelewa wa jinsi ya kujisajili na kufanya biashara kama 'Dropshipper' katika Amazon. Nawasilisha.
0 Reactions
1 Replies
492 Views
Ukisema bei halisi utaona Mtanzania kubagain ni bora useme bei kubwa tu. Halafu kuna katabia siku hizi mtu anakuomba bei jumla hata kitu kimoja unataka bei ya jumla umeona wapi. Maisha ya zamani...
4 Reactions
3 Replies
462 Views
Wakuu habari naomba kuuliza vyuma vifaa vya paa la petro station vinauzwa sehemu gani Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
698 Views
Habari Wana JF, Mimi ni mwanabiashara kutoka Nairobi, Kenya. Ninafanya biashara katika sekta za Ujenzi na Real Estate. Katika pilka pilka za kibiashara, nimekuja kuugundua mji wa Mafinga. Mji wa...
14 Reactions
92 Replies
9K Views
Habari, Kama inavyojulikana mkoa wa Dar es Salaam ndio mkoa mkubwa kwa biashara.ukianzisha biashara yoyote inatoka ila kuna kuzidiana. Thread hii ni ya kusuggest biashara zinazotoka sana na...
4 Reactions
6 Replies
3K Views
Nawasilisha, uzee mwisho chalinze na haswaa ukiwa na mabumba ya kufa mtu. weka akili vizuri mambo haya yanawezekana
0 Reactions
3 Replies
666 Views
Habari wana JF Nimekaa nikawaza biashara ya kuuza gesi kwa kupima kutokana na kiwango cha pesa mtu alichonacho. Kutokana na maisha kuwa magum mtaani sometimes unakuta mtu ameishiwa gesi kwenda...
3 Reactions
32 Replies
4K Views
Unapofanya uamuzi wa kuanza biashara yeyote unahitaji kujitengenezea kipato kizuri. kwa kuzingatia ubora na utofauti wa bidhaa unazoziuza. Unaweza ukapata wateja wengi na biashara yako ikakuwa...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habar wana JF? Msingi mkubwa wakufanikiwa katika maisha nikuweka akiba. Kipindi nipo Shule nilikua na-save kiasi cha pesa ninacho pewa kwaajili ya matumizi ya shule kila siku nyumbani nilikua...
36 Reactions
240 Replies
51K Views
Salaam nyingi sana wana JF, Ni ukweli uliowazi kwamba, kadri miaka inavyozidi kusonga mbele, teknolojia nayo inakua kwa kasi sana, mitandao ya kijamii nayo inashika kasi kuendana na mabadiliko...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Adje wakuu? Aliyewahi agiza gari china na ikafikaaa kupitia Alibaba.com anipatie mrejesho na utaratibu mzima mzima upoje, nipo kwenye mazungumzo ya mwisho na Muuzaji
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwaka unaisha leo ndio tunafunga Nov kesho ndio 1st Dec zinabaki siku tu sio mwezi tena wala miezi tufunge 2022 and if God wish ikimpendeza tuingie 2023 tukiwa na Mipango na mikakati mipya ya...
29 Reactions
19 Replies
3K Views
Nahitaji mtu mwenye KAMPUNI ya ujenzi ambayo kwa sasa haifanyi kazi tupatane namna ya kufanya kazi
1 Reactions
3 Replies
794 Views
Habari wadau wa biashara na ujasiliamali. Labda nitangaze interest. Nimefungua biashara yangu ambayo inahitaji sana kupokea malipo ya awali kabla ya kutoa huduma na nikaifikiria PayPal. Katika...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Habarini wakuu Ni mfanyabiashara na mwajiriwa wa kampuni moja ya mawasiliano Tanzania. Nina shida na million 6 kwa marejesho ya kuanzia miezi 10. Naamini baadhi yetu ni wazoefu wa mikopo. Wapi...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari wana jamii forums Kuna baadhi ya watu wanaifanya fx industry kuonekana kama ni kitu scam,kumbe ni wajinga baadhi ambao ni walala hoi wanaifanya hii game ionekane ni wizi,wanajifanya ni...
3 Reactions
28 Replies
5K Views
Wakuu mimi nakiri mimi ni mzoefu kiasi katika kuagiza bidhaa mtandaoni ila hii kwangu ni ngeni. Nimeagiza vitu kadhaa vimekuja na tracking namba inayoanzia na TZ001, Posta wenyewe nimeenda...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom