Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Guest yangu iliyopo Ukonga Dsm mapato umefika sana. Kila nikihoji naambiwa hakuna wateja kitu ambayo usiamini. Naambiwa kuna tea bulb ambazo ni camera unaweza unanishiwa kwenye simu yako unaona...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Wadau wote wa jukwaa la uchumi, wapambanaji wote, waumini wote wa kesho bora, wafuasi wa mawazo chanya, timu ya JF na wadau wengine , kwa niamba ya film Evigt_water tunawatakia christmas njema na...
5 Reactions
10 Replies
447 Views
Rejea hapo juu mimi nimeamua kujihusisha na kuagiza bidhaa kwa jumla kwa wastani ambao si zaidi ya piece 50 kwenye product ndogondogo kama saa,usb n.k. Naomba kujuzwa suala la shipping katika...
2 Reactions
51 Replies
22K Views
Nataka kufungua duka la bidhaa za nyumbani Vibali gani vinahitajika na process zipi hasa zitanipa changamoto?
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wanaJF. Mimi nimenufaika na mkopo kutoka benki fulani...sasa marejesho yako ni 16000/= kwa siku ni kwa muda wa miezi 18. Ila biashara nayofanya kwa siku ninaweza kupata 20000/= ambayo...
1 Reactions
7 Replies
586 Views
Miti hii inauzwa pamoja na shamba Ina ukubwa wa hekta kumi+ Kuna miti iliyofikia umri wa kupasua au unaweza subiri miaka miwili Mawasiliano piga +255623496947
0 Reactions
5 Replies
410 Views
Licha ya Serikali kuagiza vifaranga vya kuku 62,730 wa mayai vilivyoingizwa nchini virudishwe Ubelgiji, inadaiwa hadi sasa bado havijaondolewa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...
1 Reactions
6 Replies
955 Views
Habari za jioni wadau? Nina mengi ya kushare nanyi kuhusu safari yangu ya kutafuta maisha ndani ya mkoa wa Kagera niliyoianza mwezi wa nane mwaka huu 2022. Ila kwa ufupi naomba niseme tu kuwa...
0 Reactions
9 Replies
623 Views
Natafuta mwenye kampuni ya clearing and forwarding ambayo iko registered na haidaiwi chochote tuongee biashara. Njoo Dm
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Kutokana na hali kubana (hela kuwa ngumu) wateja wa kona baa Afrika Sana kwenye biashara pendwa wamesambaratika na wamebaki kutumia sabuni na mikono ili kuendana na kasi. Hongera Hongera sana
23 Reactions
342 Replies
68K Views
Mimi ni kijana nliehitim chuo mwaka huu nmeamua nijiajiri kuuza chips biashara hii nataka nikaifanyie Morogoro coz maisha yangu nataka nikaishi huko. Naomben USHAURI kwa wazoefu na wenyeji wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habar wanajamvi, Tumefikia 99.54576788887% kuumalza mwak , Tuombean afya njema sasa na baadae tukiwa hai Nauhitaji wa pikpk tvs 150cc Hlx /used sina ela ya kununua mpya hilo ndilo chaguo langu...
0 Reactions
0 Replies
301 Views
Leo nimekaa nikaanza kutafakari hili, nikajiuliza mtu anafungua kiwanda cha kutengeneza viberiti, analipa wafanyakazi, analipa kodi ya serikali pamoja na vitu vyengine, ananunua materials...
12 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimefanya manunuzi ya simu NOKIA mwezi mmoja uliopita na taarifa ikaja kama IN TRANSIT na ikajiandika namba moja kwenye andishi kwa maana ya idadi ya order niliyoifanya ila baada kama ya wiki...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari, Je, unaweza nishauri nifanye kitu gani naweza pata angalau 300,000 ndani ya muda sio mrefu sana? Nahitaji kuanzisha biashara ndogo ntayoimudu maana nahisi kuchokwa nyumbani. Umri unaenda...
0 Reactions
2 Replies
357 Views
Habarini wajameni, kuna mtu humu ashawahi kununua bidhaa aliexpress halafu zikatumwa kupitia speedaf? Mbona naona kama wanazingua? Maana nimeagiza mzigo wamekaa nao sipigiwi simu wala nini...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Mkesha !!! Mkesha !!! Kutakuwa na mkesha mkubwa wa kufurahi na kumshukuru Mungu ktk viwanja vipya vya Family n Fun swimmingpools… njoo wewe na familia yako ule ufurahi na kumshukuru Mungu kwa...
0 Reactions
0 Replies
328 Views
Gari ipo Arusha Haina tatizo lolote, kila kitu ni kizima Bei 15M Mawasiliano: 0621846107
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jf natumain wote ni wazima mimi nina langu leo nataka ushaur wa kufikilika nina mill5 nataka nianzishe biashara na biashara ya kwanza nmeifikilia n kununua bajaji na kuwa dereva mwenye lakin...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Habari wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Mimi ni kijana wa miaka 25, naishi Mafinga-Iringa (na ndiyo nyumbani) nilipozaliwa. Sasa baada ya kuhitimu chuo miaka miwili...
4 Reactions
28 Replies
4K Views
Back
Top Bottom