Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Mimi ni kijana mwenye umri wa 30 ninamtaji wa milion 8 .Nilikuwa naomba ushaur, muongozo na jinsi gani ya kufanya biashara ya nafaka kupeleka nije nchi .Asanteni
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari wadau. Nimeamua kununua bajaji ili kujikimu na maisha. Hapa nilipo Bajaji ni nyingi na biashara imekuwa ngumu mno. Vipi we ukwapi na biashara ya Bajaji imekaaje pande hizo? Nipo tayari...
8 Reactions
48 Replies
10K Views
Hizi ndege zinauzwaje?Bei yake ipoje?
3 Reactions
59 Replies
15K Views
Wakulungwa wenzangu Baada ya hizi sikukuu za mwisho wa mwaka kupita nimefanikiwa ku-save cash kidogo. Sasa nimekuwa nikifatilia changamoto mbali mbali za wafanyabiashara ndogo ni pamoja na...
0 Reactions
4 Replies
831 Views
Habari wana JF, Nina ndugu yangu ana gari ya kubebea mizigo ya tani 7, amepaki tu nyumbani. Anaomba ushauri, anawezaje kutumia kwenye biashara ya kusafirisha mizigo ili apate kipato? Kwa yeyote...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu, Nataka kufanya biqshara hiyo pamoja na kujifunza na graphic designing je inalipa kwa Dar es Salaam? Nb: naomba kuelezewa kwa kirefu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tukiwa tume uanza mwaka mpya kampuni ya simu ya TECNO iliojizolea umaarufu hasa kwenye uuzaji wa simu janja zenye ubora kwa bei nafuu inatarajia kuzindua toleo jipya kwenye mtiririko wake wa simu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari.. Nina ka ofisini , huu ni mwezi wa 3 tangu nianze hii biashara ya mayai. Sasa kwenye hii frem niongeze bidhaa gani nyingine , ? inayo endana na hii ya mayai. Sent from my Infinix...
5 Reactions
56 Replies
5K Views
Habari wakuu Mimi ni mjasiliamali ninayeanza, niko na kampuni ya Madawa iliyosajiliwa na nyaraka zote zipo, na ninapatikana Dar es Salaam. Kuja kwangu hapa ni kutafuta mtu ambaye atakua tayari...
0 Reactions
8 Replies
793 Views
Wengi huwa ni vijana wadogo tu wapo kwenye 20s hasa wahitimu wa degree na diploma. ni tabaka tofauti na wauza simu wengine, wao hujitofautisha kwa kuuza simu zenye brand zinazotrend ulaya na...
9 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari wakuu, Katika harakati za kujikwamua kiuchumi zipo njia mbalimbali ambazo mtu anaweza kuzitumia ili kufikia malengo. Yaweza kuwa kwa kutumia jitihahad kubwa au kwa kwa kutumia maarifa ya...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu kheri ya mwaka mpya, Nakiri kua sisi tulio humu tunatofautiana maarifa pamoja na jicho la kuiona fursa. Mimi hapa Naomba mwongozo, Nina account "page"Facebook inayo jihusisha na maudhuhi ya...
1 Reactions
20 Replies
827 Views
Habari.. Nimeamua niwe winga wa kuuza vitu online kariakoo. Yaani mimi niwe napost kwa mitandao kutafuta wateja halafu nauza kwa bei ya Jumla. Swali langu ni.. 1. Je, ni Sehemu ipi kama...
5 Reactions
35 Replies
5K Views
Kamishna wa Sera wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Elijah Mwandumbya, akizungumza jijini Dodoma na wanahabari kuhusu Kongamano la kwanza la Kodi Kitaifa lenye lengo la kuongeza ushiriki wa wadau...
0 Reactions
6 Replies
683 Views
Nina kiwanja kikubwa chenye ukubwa zaidi ya sqm 1000 Dom maeneo ya msalato. Kiko plain, and few meters kutoka main road. Kwa Sasa Sina nguvu ya kipesa kufanya project ya ujenzi. Naombeni ushauri...
1 Reactions
5 Replies
496 Views
Nataka anzia biashara hiyo tatizo cjui km hela ang inatosha au vp
0 Reactions
3 Replies
887 Views
Habari wana JF, Baada ya mihangaiko ya hapa na pale ya kutafuta chochote ilimradi mkono uingize kitu kinywani, nimejikuta najiuliza sana haya maswali kuhusu pesa ya Tanzania - Je, ni kampuni...
10 Reactions
64 Replies
42K Views
Habari wanajamvi nimerudi tena hustler mkomavu. Mwanzoni mwa mwaka niliweka nadhiri ya kutembeza biashara kutokana na mtaji kuwa finyu nilianza na mtaji wa 42,000 kwa kuwa baadhi ya vifaa...
12 Reactions
103 Replies
21K Views
Tangu mwaka 2017 tumekuwa tuki-export bidhaa zetu kwenda South Africa na India zaidi ambapo ilikuwa zaidi ya 10% ya exports zilienda katika nchi hizo. Huku nchi za falme za kiarabu zikipata chini...
0 Reactions
1 Replies
644 Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Kila ninapotembelea taasisi mbalimbali ambazo ili uhudumiwe unahitajika utoe utambulisho unakutana na vitambulisho vilivyosahaulika. Hivi...
1 Reactions
1 Replies
331 Views
Back
Top Bottom