Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Vfd ni mbadala wa efd machine ambayo imeizinishwa na tra na imepewa kibari cha kuhudumia wananchi Ni rahisi kutumia na haina gharama unaeza toa risiti popote ulipo kidigital kwa njia ya simu...
0 Reactions
4 Replies
402 Views
KAMA KICHWA CHA UZI KINAVYOJIELEZA: Karibu tuweze kushare fursa mbali mbali zinazopatikana nje ya mipaka ya nchi yetu ya TANZANIA. Uzi huu ni maalumu kwa wote wenye roho nyeupe na mawazo chanya...
14 Reactions
403 Replies
56K Views
Habari za January wakuu? Natafuta Toyota Crown; Majesta, Athlete or Royal Saloon....njooni na prices Natanguliza Shukrani
2 Reactions
3 Replies
608 Views
Wakuu habari Mimi ni software engineer by profession, nimetengeza software na Application za simu kwa ajili ya hospitali, clinics na medical center) ni aina ya software ambayo inatumika...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Wakuu Habari za mida, naomba kufahamishwa maduka yanayouza soap base Kwa Dar Kwa anayefahamu. Asante in advance!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Badilikeni watu wa mikoani yani mtu kitu kimoja unataka bei ya jumla. Maana ya jumla ni mzigo mkubwa ambao unanunua kwenye duka la jumla sio la rejareja. Hii tabia inazidi kukua sana
3 Reactions
10 Replies
878 Views
Nina pesa kiasi fulani. Sitaki kufanya biashara wala kuziweka kwenye benki kwenye akaunti za kawaida za kutunza pesa. Nimefuatilia benki kadhaa kwa nia ya kuweka "Fixed deposit" lakini riba zao...
1 Reactions
11 Replies
954 Views
Habari za wakati huu wana Jamii Forums, kheri ya mwaka mpya. Naomba msaada wenu kujua sehemu ninayoweza kupata mtu anaechinja nguruwe na kuuza kwa bei angalau 5000tsh maana nahitaji na mimi...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari Mimi ni kijana nataka mjasiliamali nataka kuanzisha kiwanda kidogo cha kukoboa nafaka kwa garama nafuu sana naomba ushauri bei ya mota pamoja bei ya kinu cha kukoboa na kusaga na kifaa...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Tunatoa ofa ya punguzo la 60% katika usaidizi wa; -Usajili wa Kampuni kwa Tsh 100,000 -Usajili wa jina la biashara kwa Tsh 10,000 -Kuupdate taarifa za Kampuni na kutuma returns BRELA kwa Tsh...
2 Reactions
2 Replies
424 Views
If you need this product call 0747744895 (Nahitaji watu seriously) Product Description Diameter of Inner Circle of Pressing; 10mm Power; Different Model Different Power Applicable; Peanut...
0 Reactions
3 Replies
370 Views
Naomba msaada kwenye hii sehemu baada ya kujaza nice class ambayo service yangu imo natakiwa kuweka nice class description Ni zipi hizo? Mfano nice class yangu Ni 42 Kwenye nice description...
0 Reactions
4 Replies
879 Views
Ninayo laki Saba na nigraduate shahada ya ualimu nahitaji biashara ushauri wenu tafadhari
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Takwimu za Forbes zinaonyesha khali ya bwana Musk kuzidi kuwa tata ? Je, tuna yapi ya kujifunza regarding that this man is a legend who revolutionized rocket science?
5 Reactions
139 Replies
6K Views
Ni mwanafunzi wa chuo first year fulani hivi Dar, nina pesa laki 6 ambayo ninafikiria sana nifanye biashara ila wazo haliji yani. Najua kuna ambao walianza chini labda wanaweza nishirikisha nini...
7 Reactions
65 Replies
7K Views
Habari.. Naomba msaada kwa mwenye ufahamu juu ya kuagiza mapochi au mikoba ya kike kutoka China au mataifa mengine
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini za wakati huu wana JF Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu nina miaka takriban mitatu mtaani sjabahatika kupata ajira so nikawa najichanga changa kwenye mambo yangu nikapata kama 2.2 M...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
Uzoefu wenu unahitaji upatikanaji wa vitambaa, zipu, nyuzi na vitu kama hivyo. Pia spear za bicycles upatikanaji na bei zake. Tafadhali msaada waugwana
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Habari ndugu wana JF Nataka nianze biashara ya uuzaji wa dagaa lakini kwa kuwasafirisha nje ya nchi nikilenga Congo na Comoro. Hivyo kama kuna watu humu wazoefu wa biashara hizi naomba msaada wa...
0 Reactions
16 Replies
38K Views
Wakuu habari zenu Nina uhitaji wa mkopo wa haraka ili niweze kufanikisha biashara yangu na nisipoteze watena hivyo ninahuitaji wa haraka wa mkopo kiasi cha milioni 1.4 au 1.5 (milioni moja na...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom