Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hivi unawezaje kusomea kozi za biashara na kuwastudy wakina Robert kiyosaki au Elon musk wakati kuna matajiri waliofanikiwa katika ardhi yetu, wenye mbinu za kuweza kufanikiwa katika dunia ya...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu habari za jioni naomba kuuliza kwa Dar ntapata wapi duka linalouza ream kwa bei ya Jumla
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Big supermarket name Napenda kujenga big supermarket Iringa, nataka watu wakija kununua wanaingia ndani ya duka na kujipatia wanachotaka kwakuwa itakuwa big supermarket. Nataka jina la hiyo...
4 Reactions
83 Replies
5K Views
Hodi humu Natafuta patner wa kufanya nae biashra ya nafaka mwenye uzoefu na biashara hio. Mtaji upo wa 100M. Yeyote mwenye proposal nzur ya biashara ya nafaka aje dm au ashare apa. Proposal...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Salam Wakuu Kama heading inavyojieleza, Nipo mkoani, Je ninawezaje kutumia fedha hi niliyonayo kufikia malengo yangu ndani ya muda tajwa?
4 Reactions
66 Replies
4K Views
Habari zenu wapendwa ,, Naomba msaada wenu kwa walioko kilombero morogoro kuhusu biashara ya kununua mpunga na kukoboa Kisha kuuza na sio kuweka stock. Ni mtaji Gani unafaa kuanzia ili kupata...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini waku. Kwa wajuzi naomba kuuliza hivi process na gharama za kupata license kwaajili ya real estate broke, agent au developer zikoje? Nimepita kwenye website ya wizara ya ardhi lakini...
1 Reactions
2 Replies
400 Views
Habari za Leo Mimi ni mjasiriamali kutokana na changamoto hii ya mgao wa umeme naomba kupata msaada wa kujua sehem ambayo naweza pata generator kwa Bajeti ya 200k kwa ajili ya barber shop nipo DSM...
0 Reactions
1 Replies
418 Views
Naomba ushauri kutoka kwenu, jambo lipi linalipa kwa haraka na kwa mtaji mdogo nijenge vyumba vinne vya kulala kisha nipangishe au nijenge fremu nne kisha nipangishe kwa ajili ya biashara .Naomba...
0 Reactions
5 Replies
643 Views
Heri ya sikukuu ya Uhuru upi Vodacom mnanitakia na familia yangu? Kumbe tuko kifungoni au kwenye ukoloni tusioujua sie? Angalia
2 Reactions
5 Replies
358 Views
Bei ni 25,000,000 Engine na kila kitu vipo safi kabisa Mawasiliano 0752725614
1 Reactions
0 Replies
420 Views
Juzi katika pitapita zangu sokoni Kariakoo nimeshuhudia matukio yakushangaza yanayofanywa na hawa jamaa ambao tshirt zao mgongoni zimeandikwa KAWASCO. Kwanza wanatembea kwenye kikundi cha watu...
5 Reactions
7 Replies
960 Views
Salaam wakuu, Kadri unavyotembea ukakutana na changamoto ndivyo kichwa kinavyofikirishwa. Last week nilikuwa sehem flan nikafikwa na changamoto iliyonifanya niwaze kitu kilichonifanya nianze...
0 Reactions
10 Replies
12K Views
Wakuu, Mwishoni mwa mwaka jana Mdogo wangu (Mwanafunzi wa chuo Kikuu Ardhi) alinitumia ujumbe Uliosomeka " Bruv! Nimepata platform ya kupiga pesa, Sure am telling you bruv am gonna be a great...
29 Reactions
248 Replies
38K Views
Miliki kampuni yako sasa CSR BUSINESS AGENCY Tupo kwaajili ya kutimiza ndoto na malengo yako.
0 Reactions
2 Replies
319 Views
Mara nyingi ninapoenda ATM hukuta risiti watu wamesahau pale pakuchukulia risiti. Inasahaulika sana kwakuwa ndiyo ya mwisho. Pengine kadi nazo zingekuwa za mwisho zingesahaulika sana na ndiyo...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu .... naomba mwenye uwelewa wa hivyo vitu viwili anieleze Tofauti yake ni nini hasa ?! sssssssssssssssssssss
1 Reactions
84 Replies
30K Views
Wakuu nahitaji ushauri na pia maoni kuhusu hili, Naitwa Eliud Novat naishi Dar es Salaam. Nina ujuzi wa kutengeneza logo na napenda sana digital designing lakini tangu nijue nina huo utaalamu...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Habarini, Nimepata kibanda (eneo la biashara) katika kongamano la Mwamposa litakaloanza siku ya Alhamisi - Jumamosi katika viwanja vya Kisongo Magereza. Bidhaa gani zipo hot sana niweze kucheza...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Dawa ya kuondoa madoa kwenye nguo MALIGHAFI -Chloride acid(cassium hyperchlorite) robo kilo -maji masafi lita10 -ndoo au pipa -mwiko mrefu au mti mnene wa kukorogea JINSI YA KUTENGENEZA -andaa...
5 Reactions
19 Replies
11K Views
Back
Top Bottom