Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Mambo vipi wadau Naomba ushauri kuhusu njia rahisi ya bei nafuu kutuma mzigo CANADA tofauti na POST OFFICE sababu wana bei kubwa sana Pamoja na EMS.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Biashara ni kitendo cha kubadilishana vitu. Mfumo wa ajira ulikuja ili kupata watu wa kusaidia kazi watu wengine ambao wanafanya biashara fulani.😃😃😃😃 Kama sikosei mfumo ulianza kipindi cha...
4 Reactions
5 Replies
690 Views
Wakuu kwema, naomba tujadili hili tuweze kuongeza maarifa. Hivi inawezekana kuomba kuonyesha kipindi chako katika kituo fulani cha TV au kusikilizwa redioni? Kama jibu ndiyo; 1. Gharama kwa...
2 Reactions
2 Replies
696 Views
Nimefikiria kuufanya huu mchongo wa kusambaza pocket za sigara kwenye maduka ya rejareja . Hivyo naomba kufahamu bei wanazouza pocket za sigara kwenye maduka ya jumla (Mawakala) pamoja na bei...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa trader yoyote mwenye simplified price action msaada tafadhalini nahitaji kuiongeza kwenye confluence yangu.
1 Reactions
41 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza tangu 2017 inflation rate imefikia 4.8% and expected to reach 4.9% at the end of this year. Hii ina maana gani 1. Nguvu ya manunuzi imepungua sana kwahiyo hakuna mzunguko...
3 Reactions
60 Replies
3K Views
Hello wana jamvi, Matumaini yangu wote ni wazima asubuhi ya leo na ni siku nyingine alietupa Mungu kwa ajili ya mapambano, they say every new day as new opportunities. Mimi ni mchimbaji wa...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Though originally unknown to the general public, Bitcoin has recently attracted lots of attention in the financial world over the last few years. This is an auto trading platform that has an...
1 Reactions
6 Replies
947 Views
Habari kwa wakuu wote wana jamii, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, nimepata mtaji na nimewaza kuanzisha biashara na katika kuwaza biashara nimeona kuwa biashara ya usafirishaji ndiyo...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Kuna shule moja inaitwa Olduvai sec IPO Moshi Kilimanjaro. Majengo yake yako imara na Ina vyumba vyakutosha vya madarasa, maabara, dinning hall , mabweni, kiwanja Cha mpira , maji all the year ...
8 Reactions
39 Replies
2K Views
Habari za asubui waungwana,Husika n kichwa cha habari hapo juu Nahitaji nifanye biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai..,Je inaweza nitoa ikiwa mtaji wangu Almost 5Mill,Na athar zake ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu natumai mko poa, Mwenyezi Mungu anaendelea kutuwezesha kuwepo mpaka wakati huu. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, Bila kuwachosha nina wazo la kufanya biashara ya madini ila sijui...
5 Reactions
54 Replies
8K Views
Salute wakuu, Baada ya kutulia na kufikiri sana, nikapata wazo la kufungua biashara ya vitu vya electronics sijui kama nipo sahihi. Vitu hivyo ni kama: Flash drive Memory card USB wire Charger...
14 Reactions
70 Replies
18K Views
Habarini wana_JF, Nataka kufanya biashara ya kuuza screen protector za simu na cover za aina mbalimbali ila nahitaji kujua. Kama kuna yeyote anafanya hiyo kitu anipe uzoefu pia kama kuna muuzaji...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
Ni ukweli usiopingika kwamba sekta ya mafuta na gesi imefungua fursa kwa wawekezaji wakubwa na wadogo katika taifa letu, na kutoa mwanya kwa wale wanaotaka kuwa wajasiriamali katika sekta hii...
7 Reactions
66 Replies
9K Views
Nahitaji kujua ni mtaji kiasi gani inayo hitaji ili kuanza biashara ya kuuza vinywaji kwa bei za reja reja
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Na saboso JR Kampuni nyingi za kibiashara, wajasiriamali na wafanyabiashara kwa kawaida wamejaribu kufungua biashara zao na kuwekeza kwa kasi kubwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha miundombinu bora...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeona DSE wana mfumo wa kuuza na kununua hisa online. Huwa natamani sana kuingia kwenye huu uwekezaji maana naweza kuweka pesa zangu ndogondogo huko badala ya kuzitumia ovyoovyo. Siwezi kwenda...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Hakuna ubishi kwamba fursa za kilimo Tanzania ni kubwa na soko la bidhaa za kilimo duniani ni kubwa na la uhakika na pia halina dalili za kufifia kutokana na ongezeko kubwa la idadi ya watu. Hata...
1 Reactions
1 Replies
647 Views
Habari za asubuhi ndugu na jamaa zangu, Ni asubuhi nyingine nakuja na ombi kwenu. Je ni solar gani au mfumo gan wa solar naweza kuutumia dukan yenye wastan wa taa 2 au 3 zenye mwanga mkali...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom