Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naombeni wazo la biashara kwa mtaji wa 2.5m Karibuni
0 Reactions
6 Replies
1K Views
๐‡๐š๐›๐š๐ซ๐ข ๐ฐ๐š๐ง๐š ๐ฃ๐š๐ฆ๐ข๐ข ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ค๐ข๐œ๐ก๐ฐ๐š ๐œ๐ก๐š ๐ก๐š๐›๐š๐ซ๐ข ๐ค๐ข๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐š, M๐ข๐ฆ๐ข ๐ง๐ข ๐ฆ๐ ๐ž๐ง๐ข ๐ง๐š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ฅ๐ž ๐ฐ๐š๐ณ๐จ๐ž๐Ÿ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐›๐ข๐š๐ฌ๐ก๐š๐ซ๐š ๐ก๐ข๐ฏ๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐ญ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐ฆ๐ข๐ฅ 2 ๐ง๐ข๐ง๐š๐ฐ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐›๐ข๐š๐ฌ๐ก๐š๐ซ๐š ๐ข๐ฉ๐ข ๐ข๐ฅ๐ข ๐ง๐ข๐ฐ๐ž๐ณ๐ž ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ข๐ค๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐š๐ค๐ฐ๐ž๐ฅ๐ข...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari zenu wana Jamiiforus, Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu ninaomba kujua taratibu za kuanzisha zahanati, kwa vipengele vifuatavyo:- (i) Ujenzi wa jengo-Ninamiliki kiwanja chenye vipimo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa sisi ambao tumekuwa tukifanya biashara ya kusambaza vifungashio kwa watumiaji Kama vile magengeni, madukani nk baada ya hili katazo la mkuu wa mkoa la vifungashio vya plastic imepelekea sisi...
0 Reactions
15 Replies
791 Views
Wakuu tupeaneni support kwenye biashara zetu. Natengeneza matangazo kwaajili ya biashara yako, karibu nikutengenezee. Pia kama kuna deal yeyote tushirikishane wakuu tusitengane [emoji119] Nina...
1 Reactions
5 Replies
421 Views
Mambo ni vipi majamaa. Kitambo kidogo ila tu wazima. Wenzangu wa 2016 mpo active kweli? Hahaha Nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania.. niajeee.. Ebhana eh, katika pitapita zangu hapa na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau? Nashida na vifaranga vya broiler kwa yoyote anae fahamu wapi nitapata naomba mawasilianao.
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Hafla ya uzinduzi wa Eneo la Viwanda la Huawei imefanyika jana jumanne wiki hii katika mji mkuu wa Angola, Luanda, na kuhudhuriwa na rais wa nchi hiyo, Joรฃo Lourenรงo. Kwenye hafla hiyo, Angola na...
0 Reactions
0 Replies
399 Views
Habarini wadau. Nimeombwa ushauri na mdau wangu, anayo taasisi ya elimu inayotoa kozi mbili. ameniomba ushauri kua katika taasisi yake anataka kuongeza kozi za kilimo na mifugo, na kozi nyingine...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimeshajaribu kufanya biashara nyingi sana nikafeli sana nilikata tamaa nilipofeli lakini baada ya muda mchache nilitamani tena kufanya biashara nkaingia nikafeli sana nikarudia . Nimejifunza...
14 Reactions
22 Replies
2K Views
Nauliza wataalamu ni haki kuingia VAT kwa mtaji wa mil 15 lkn mauzo ni mil 110 kwa mwaka
7 Reactions
101 Replies
7K Views
Nataka kuanza biashara ya supermarket je, inalipa naomba mawazo yenu kwa wale ambao washawahi kuengange na hiyo biashara.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Heshima yenu brothers and sisters. Baada ya kumaliza chuo na kusota mtaani kidogo niliajiriwa na private company kuanzia 2013 hadi 2018 kampuni ilipofirisika na kufunga shughuli zake nchini...
10 Reactions
41 Replies
5K Views
Natafuta sehemu ambazo nitanunua dawa kwa bei ambayo nitauza kwa bei ya jumla na pia kwa rejareja ila nipate faida nzuri. Na pia natafuta sehemu ambayo nitapata vipodozi ambapo wale wanaouza...
0 Reactions
2 Replies
430 Views
Jinsi ya kuingiza bidhaa za viwandani za vyakula. Kama mafuta ya kula na vinavyofanana na hivyo kutoka kenya. Ni nini unapaswa kufanya kabla hujaenda kuchukua na baada ya kununua unapita vipi...
3 Reactions
9 Replies
771 Views
Hakuna haja ya kufunga, kuzima taa na kuegesha mabasi wakati tunashughuli ya kukimbiza UCHUMI wa TANZANIA. Kwanini miji kama DAR ES SALAAM, MBEYA, MWANZA, ARUSHA, KAHAMA, MAFINGA, TUNDUMA BORDER...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Kama kuna nia ya kweli ya kuimarisha chumi za nchi za Afrika Tanzania ikiwemo, tujipange na kuwa na mikakati badala ya kujenga hofu ya kununuliwa au kunyanganywa miradi mikubwa na Wachina au nchi...
2 Reactions
1 Replies
384 Views
Jee Tanzania bado tupo Kwenye Uchumi wa Kati,.?
0 Reactions
1 Replies
277 Views
Kuna biashara nyingi zinakuwa hazivuki mpaka, kwenda kuuzika kwenye nchi zingine. Hii inawezekana labda ni kutokana na kutokujua pa kuanzia. Lakini kama nia ipo, ya kupeleka bidhaa yako nchi za...
6 Reactions
1 Replies
550 Views
Naona kuna dhana kuwa promotion ni fadhila au ziada. Sio kweli. Promotion ni mbinu za kuokoa hasara na pia kulazimisha kuweka hela kibindoni katik muda Fulani. Huku ukimlazismisha mteja kujipanga...
3 Reactions
3 Replies
888 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ