Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Natafuta mtu anayehitaji kujifunza+kuwa dalali wa -nyumba -viwanja na -magari SIFA KUU -awe mkazi wa dodoma mjini ITAPENDEZA ZAIDI MWENYE -piki piki yake hata kama ana gari ndogo kwaajili ya...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Jaman habari, nilikuwa naomba ushauri kidogo kuhusu mada hiyo hapo juu. Nataka niwe nawatengeneza wadada kucha kope na kubana nywele, mimi ni mdada nina huo ujuzi na watu wengi hili eneo nikija...
4 Reactions
16 Replies
905 Views
Bidhaa za Afrika kama vile kahawa ya Ethiopia, divai ya Afrika Kusini, maparachichi ya Kenya, n.k. zinatangazwa kwenye Maonyesho ya kimataifa ya Uagizaji bidhaa ya China (CIIE). maparachichi ya...
0 Reactions
5 Replies
635 Views
Wakuu kuna kuna anayemjua broker ambaye anaSPREAD ndogo chini ya 5 naomba nitajie plz!
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Vijana wenzangu tusikate tamaa tuongeze juhudi, maarifa, na kumtegemea Mungu kwa sana kila kitu kinawezekana chini ya jua[emoji3508]. Wengi wao walio fanikiwa hawakukata tamaa walikutana na...
1 Reactions
2 Replies
413 Views
Tukio la ajali ya ndege Bukoba la jana linafanana sana na tukio la ndege aina ya Douglas DC-3C iliyotokea katika uwanja wa Kilwa Masoko Airport (KIY) mwaka 1964. Ndege hiyo ilikuwa ikitokea...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Kichwa cha habari kinaongea hapo juu, Wiki mbili zimepita ambapo wakulima waligoma kuuza mazao yao kutokana na madai ya kwamba bei haikuwa rafiki kwa wakulima hao. Hali hii imepelekea wanunuzi...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Wadau Naomba kujua ukweli kuhusu biashara ya Vanilla ambayo inatangazwa sana na jamaa wa Vanilla International wa Vanilla Village wa kule Njombe. Kwa mahesabu ambayo wamenipa naona faida yake...
5 Reactions
37 Replies
11K Views
Hello wadau!! Changamoto zozote unazozipata katika shughuli zako za Kila siku usizichukulie kama matatizo Bali ni sehemu ya kukufanya kuzidi kuwa Bora maradufu ya ulivyokuwa. Straight to the...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Wazoefu tufahamishane yafuatayo kuhusu biashara ya asali mbichi: Ipi njia ya kuifahamu asali nzuri? Upatikanaji wa asali, wapi inapatikana nzuri na kwa wingi? Bei ya kununua kwa mzalishaji sh...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
SIO habari tena kwamba Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cochin, mojawapo ya viwanja vya Ndege vyenye shughuli nyingi zaidi nchini India na kwa upande wa msongamano kimataifa, unatumia nishati ya...
0 Reactions
1 Replies
378 Views
Habarini wanajamvi, Ni matumaini yangu kuwa nyote mnaendelea vizuri. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu mimi ni mdau mkubwa wa biashara ya samaki wabichi hawa na ninatamani sana...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Waheshimiwa, Tangu nikadiriwe mwaka jana sijalipa kodi hata awamu moja. Kiuhalisia nikienda kuomba ofisini kwao, ni lazima nipigwe penalty. Ninazo debit numbers za awamu nne kutoka kwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello wana JF, Iatia hasira sana, tangu ni nunue his hiyo bank mwaka 2015 kwa tshs 500 mpaka leo haijawahi panda na zaidi inashuka leo hii ths 380 kwa hisa. Naona hii bank itakuja ishia na...
0 Reactions
7 Replies
833 Views
Wakuu nataka kufanya biashara ya miwa ya kukata na kuweka kwenye vifuko. ko nlikua naomba kwa anaefahamu anijuze kama ntachukua vijana wa kuniuzia niwape mtaji na kokoteni kwa siku huwa wanaleta...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni kipi bora zaidi kwa kijana jobless kati ya Mtaji wa 5 Million au Mshara wa shilingi 350,000 kila mwezi. Chagua kwa makini alafu tupe sababu
2 Reactions
9 Replies
672 Views
Kati ya Miki hii miwili (Riyadh Vs Jeddah) wapi Pana fursa za kibiashara? Hususani kuuza bidhaa za vyakula (nyama ya mbuzi, samaki toka Tanzania?) Mwenye uelewa naomba muongozo!
1 Reactions
5 Replies
507 Views
Wakuu khabarini za junapili mwenye deki tupu ya omtheater yenye blotooth USB DVD Na hdi aje Na ofa mm nzuri.whts ianzie 1000 Na kuendelea.
0 Reactions
5 Replies
514 Views
Yaani dah kipindi Cha nyuma ilikuwa ukiweka tangazo la kuuza kitu hapa JF hata nusu saa haipiti kitu kinachukuliwa Lakini saivi hali imekuwa tofauti [emoji23][emoji23] Mimi niliweka tangazo la...
7 Reactions
31 Replies
2K Views
Shirika la Ndege la Precision Air nchini Tanzania limeongeza idadi ya safari zake kati ya Dar es Salaam kwenda Hahaya-Anjouan Comoro hadi mara 3 kwa wiki ikiwa ni wito uliotolewa na Balozi wa...
0 Reactions
3 Replies
959 Views
Back
Top Bottom