Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habarini ndugu! Naomba msaada:- 1. wa kujua gharama za kuagiza TOYOTA PREMIO toka Japan na Ushuru wake kwa sasa. 2. Ni Premio ya injini ipi itanifaa maana niko Wilayani Serengeti na barabara si...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Kuna mtu anauliza taasisi ipi inatoa mikopo kwa wastaafu na terms zikoje.
1 Reactions
6 Replies
707 Views
Habari JF, Mimi ni mwanachuo ninaesoma chuo fulani hapa Dar es Salaam, naomba ushauri wenu wapendwa. Yeyote mwenye wazo zuri la biashara ambalo haitoathiri muda mwingi wa masomo naomba nijue, na...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
1 Reactions
1 Replies
336 Views
Hivi ni biashara ipi I natembea vizuri Kati ya restaurant Saloon ya kike na ya kiume Bodaboda (pikipiki) Bar Na duka la reja reja
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Elon Musk tajiri Mpya wa Twitter amesema watu ambao wako Verified huko Twitter watalipia Tsh 19,000 kwa mwezi na sio Tsh 46,000 tena. Wakishindwa kulipa wataondolewa Verification badge ( Blue...
13 Reactions
136 Replies
5K Views
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba (katikati) akifurahi jambo na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa (wanne kulia) wakati wa ufunguzi rasmi wa Mashindano ya taifa ya...
0 Reactions
1 Replies
692 Views
Habari wana jamvi, poleni kwa harakati za hapa na pale. Kwa wanaoteswa na MAPENZI hii pole haiwahusu, wanawake wapo 31M wanaume 30M iweje uteswe na mtu mmoja? Nirudi kwenye lengo husika la huu...
4 Reactions
55 Replies
4K Views
Habar wana Jf. Nahitaji kufahamu nimefungua BONUS Account ya NMB, wiki 3 zilizopita, Sasa nimepata matatizo je, naweza nikadroo pesa hizo kabla miezi mi3 haijafika, mana walinambia wanatoa...
0 Reactions
25 Replies
14K Views
Mpaka sasa nipo katika biashara kwa kipindi cha miaka mitano sasa nina uzoefu kiasi chake ila nilichojifunza cha kwanza elimu inahitaji Sana katika ufanyaji wa biashara. Kuna umuhimu mkubwa hata...
36 Reactions
75 Replies
19K Views
Tunatatua changamoto yako ya kudai madeni yako kwa kudai madeni yako kwa niaba yako. Tupe kazi upate muda wa kufanya mambo mengine. Tutafanya kazi kwa uhakika zaidi. Tupigie 0782396666 Wakazi...
0 Reactions
2 Replies
310 Views
Afisa Mkuu wa Uwendeshaji wa Benki ya CRDB, Bruce Mwile (wapili kulia) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mashine mpya na ya kisasa ya kuweka pesa ( Deposit ATM) katika hafla fupi iliyofanyika...
6 Reactions
22 Replies
4K Views
Ndugu wadau habari zenu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Mimi nipo Geita najishughulisha na biashara ya madini ya dhahabu offisi ni ya watu so Mimi ni msimamizi na wakati mwingine...
6 Reactions
36 Replies
6K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa la Biashara, Uchumi na Ujasiriamali. Naomba kujua top brands za karatasi zinazotumika na kukubalika sana hapa za Tanzania. Nikisema brands namaanisha hizi Rotatrim...
0 Reactions
0 Replies
406 Views
Wakuu Nina goli ninauza vitu used mfano majembe, nyundo, nyaya za umeme used, swichi used, pasi za mkaa used Na makorokoro mengine wapendwa nahitaji sapoti yenu ya hali na mali Nimeyumba...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani naombeni msaada wenu. Mimi ni mtumishi wa umma. Nilichukua mkopo katika taasisi ya kifedha inayoitwa maboto. Lakini kila nikitaka wanipe balance yangu ili niwalipe hawataki hivyo naomba...
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Habarini wanajamvi wenzangu, Vijana wenzangu, wadogo Zangu na wakubwa Zangu, ndugu jamaa na marafiki nimekuja jukwaani humu kuomba msaada kwa yeyote ambaye anaweza kunipatia ushauri juu ya...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Wizara ya Viwanda, Biashara kupitia TanTrade kwa mara nyingine inaandaa Maonesho ya Saba (7) ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yaliyopangwa kufanyika tarehe 3 - 9 Disemba, 2022 katika Uwanja wa...
1 Reactions
2 Replies
615 Views
Habari za asubuhi? Kuna mtu yeyote anawajua hii Japanese car exporter? Kwa hapa Tanzania. Na je sifa yao ikoje.
0 Reactions
1 Replies
490 Views
Back
Top Bottom