Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kwa muda mrefu sasa, kampuni za kibiashara zimekuwa zikichangia katika miradi ya kijamii. Uchangiaji huu umechagizwa kwa kiasi kikubwa na hoja ya kwamba "Jamii yenye afya na ustawi mzuri...
1 Reactions
2 Replies
666 Views
Wana JF, Naomba kuuliza shughuli zinazofanywa kwenye wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani. Ni miji ipi ipo kwenye hiyo wilaya, utamaduni wa watu wa huko ni upi na ni watu wa kabila gani wanapatikana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (katikati), Mkuu wa Masuluhisho ya Mikopo kwa Afrika kutoka Investec Bank, Rowan King (wapili kulia), Mkurugenzi wa Huduma za Mikopo ya...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu habari za asubuhi, Ninaomba muongozo juu ya biashara ya pilipili manga. Bei, masoko na changamoto zake hasa kwa mikoa ya Dar na Tanga. Natanguliza shukrani za dhati.
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu kuna Aliye mgonjwa humu Kati yetu? Kama yupo namuombea apate uzima wa afya. kwa ninyi msio wagonjwa poleni kwa mihangaiko ya kutwa nzima ya leo. Na wale walio bahatika kutoka kwenda...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Well, lets say you could cut costs, increase customer communication and increase customer satisfaction using social media, would you agree that it could be?These are three key commercial...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Bao la Mantiki (Logic Framework) ni jedwali ambalo huonyesha uhusiano kati ya Lengo Kubwa la Mradi (Project Overall Objective), Malengo Mahsusi ya Mradi (Project Specific Objectives), Matokeo ya...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Utafutaji wa wafadhili kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi (Prospects Research) ni hatua muhimu katika utekelezaji wa Mpango wa Utafutaji Rasilimali Fedha kwa Taasisi (Implementation of Fundraising...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Naweza pokea pesa kutoka nje ya nchi kwa kutumia lain yangu ya tigo? Msaada kwa wajuzi
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari Wana jamii Naombeni kueleweshwa hili swali nililoulizwa ila sijaelewa maana yake Iko hivi.. niliagizaga mzigo Sasa nilivyoenda kulipia nikakutana na rafiki angu wa zamani kumbe anafanya...
0 Reactions
5 Replies
383 Views
Wakuu kama unasetup ruka nayo hapa ndani watu waburudike TAKE THE SETUP AT YOUR OWN RISK NO ONE IS RESPONSIBLE IF YOU INCURR ANY LOSSES BUT YOU
1 Reactions
11 Replies
872 Views
Ndugu zangu Kwema? Nimekua nikiagiza vitu nje lakini nimekua nikitumia njia ya Telegraphic Transfer kufanya malipo. Benki yangu imekua ikinikata takribani US$ 50 kama transfer fees. Sasa kuna...
1 Reactions
50 Replies
14K Views
Hi Wadau kuna anaejua hizi Bonds zinafanyaje kazi ? Faida yake ikoje ? Nimeona zinaendeshwa na jamaa wa Imaan Finance, na performance yake ni ya kuridhisha Jee wenzangu na mimi (low class...
0 Reactions
0 Replies
394 Views
Nawasilimu wote [emoji120] Kuna jambo nimekuwa nikitafakari kichwani muda mrefu sasa,ipo hivi kama ilivyo kawaida kila mtu ana njia yake ya kusaka riziki mfano wengine ni waajiriwa wa serekali na...
0 Reactions
7 Replies
528 Views
Mawazo yenu wakuu, yaani nataka tu kuweka security kwenye Jina la biashara yangu hapo baadae ntakapo ianza rasmi. Lakin nmeona moja ya vitu vinavyohitajika ili kusajili jina la biashara ni TIN...
0 Reactions
4 Replies
856 Views
Ni kwanini Marekani ina viwango vya juu vya umaskini licha ya kuwekeza mabilioni ya pesa kupambana nao? Familia nyingi zenye watoto hutegemea msaada wa chakula cha ziada, Familia nyingi zenye...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za mida hii..?Pole na janga la corona.Tuombe mola wote atunusuru kwa sote.. Niende kwenye mada husika.Wakazi wa Zanzibar na Tanganyika tumekua tukitumia boti za Azam na flying...
4 Reactions
25 Replies
6K Views
Ili biashara ikue na kuingiza kipato zaidi ni bora kufungua branch au kuanza kwa Jina lingine
0 Reactions
7 Replies
730 Views
Natumain u mzima na hujambo Huwa najiuliza je watu wenye apps za kibiashara huingizaje pesa kwa watu kuangalia vidio kwa app zao, au kusoma taarifa? Naombeni kufahamu zaid
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…