Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Twende moja kwa moja kwenye kisa. Rafiki yangu kaniomba ushauri kuhusu huyu bidada. Huyu rafiki alikodi fremu maeneo yaliyochangamka karibu na soko kwa ajili ya kupika na kuuza supu. Wateja wa...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
Natumai mpo salama ma bibi na ma bwana.! Kichwa cha uzi cha husika, nilikuwa na wazo la hii biashauri miaka 3 iliyopita lakini sikulifanyia kazi nalo likafa kwenye akili yangu. Juzi nikiwa mkoa...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari Kwanini taratibu za mikopo ya Halimashauri ambayo inatokana na 10% ya mapato ya halimashauri husika inalazimisha vijana watakaokopeshwa au kwenda kuomba ni lazima waende kivikundi na kuja...
12 Reactions
60 Replies
4K Views
Yeye: habari. Mimi: Salama karibu Yeye : Asante huku aangaza nje ya mabango yaliyo nje ya milango, nakuuliza M-pesa ipo au hakuna. Mimi: ipo unataka ku...? Yeye: Aah sawa ili atoe 15,000...
0 Reactions
4 Replies
851 Views
Kusema la kweli hali mtaani imekuwa hatari, nimeshuhudia biashara nyingi zinafungwa, kuna mshikaji wangu alikuwa na office ya uwakala mitandao ya simu, kafilisika kabisa kafunga banda lake miezi 3...
7 Reactions
47 Replies
4K Views
Habarini wakuu Naomba kwa pamoja tujumuike hapa tupeane idea mbalimbali kuhusu uwekezaji ama biashara hii ya Real Estate tuone tunaweza kufaidika vipi ama kutajirika vipi kwa uwekezaji huu wa...
2 Reactions
0 Replies
722 Views
Wauza maua sasa ni wakati wenu huu ku-export Maua huko Uingereza kufuatia msiba wa Dunia. NB: Air Tanzania badala ya kupakia waombolezaji wasiolipa nauli, pakia maua tukauze London.
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Hili ni wazo simple, kwa mtu simple. Kuna wale watu ambao tayari mjini wanatafuta hela ya kula tu na kulipa kodi, basi hili ni wazo poa kwa ajili yako. Kwakuwa ndiyo unaanza, Nunua maharage...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
“Trading is one of the oldest concepts on the planet and that’s an advantage to your new business. You don’t have to reinvent the wheel. What you have to do now is create a written set of...
3 Reactions
1 Replies
653 Views
Mara nyingi ninapokutana na wamiliki au wakurugenzi wa makampuni (Business Executives), huwa nawauliza ni njia ipi huwa wanatumia kujijenga sokoni "market leading branding" wengi wanasema...
3 Reactions
0 Replies
622 Views
Je una changamoto ya kuandaa mahesabu? Je unapata shida ya kuwasilisha kodi kwa wakati? Fatilia huu Mkasa John alikua mfanyabiashara maeneo ya kariakoo alikua na tatizo la jinsi ya kuandaa...
0 Reactions
0 Replies
440 Views
Naomba msaada wa mawazo. Nina ofa ya shamba. Ni benki gani naweza kuitumia kupata mkopo?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Nahitaji kufanya biashara ya mitumba alie na uzoefu nahitaji msaada please.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wanaouliza app inaitwa 'Spending' Na unaweza kuweka mapato pia na mwisho ndani ya mwez ukajua kama umeingiza au umekula mtaji Kuna msemo "Biashara bila Budget utawalalamikia wachawi na chuma...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Habari wana Jamii Forums, Changamoto iliyopo mtaani sasa hivi ni tatizo la kupata wateja na kuongeza mauzo kwenye biashara limekua ni swala gumu sana, jobless wengi wanaanzisha Biashara na...
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Habari wanajukwaa hili la biashara! Nimekuja kwenu mnisaidie hatua za kufuata kabla sijafungua biashara nataka nifungue duka ambalo nitauza bidhaa zifuatazo Vipondozi aina zote, vitenge, madera...
5 Reactions
37 Replies
3K Views
Naomben msaada, mimi sijawahi kufanya biashara yoyote ile. Nimemaliza kidato cha nne 2019 na nilikuwa nasoma chuo lakina nimesitisha kwa sababu mbalimbali. Naombeni msaada wenu, nina mtaji wa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Haka ka pub sikaelewi kiukweli kinoma ila hakuna piskali inauma sana napoteza hela !
0 Reactions
1 Replies
604 Views
Habari, Asee Samahani Anaejua Machimbo mazurii Ya Nguo Haswa Zile zinazopendwa Na wanachuo Kwa Dar[emoji120] Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
660 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…