Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari za mchana wanaJF!! Lengo la huu uzi ni kupeana mawazo na mbinu za jinsi ya kukaa katika mfereji wa pesa iwe kiuchumi, kibiashara au kiujasiriamali. Nawasilisha kwenu.
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Salaam wakuu. Kama kuna mtu humu anapatika au ana mtu yupo Rukwa Kamsamba ajitokeze. Kuna issue muhimu natamani tudiscuss
1 Reactions
5 Replies
746 Views
1. Elewa hitaji la mteja Kamwe huwezi kumhudumia mteja vizuri bila kufahamu hitaji lake. Mara mteja anapofika katika biashara yako hakikisha unafahamu na kuelewa vyema anahitaji nini kabla ya...
7 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari wakuu Leo nimeenda bank branch ya NMB nikawaomba wanifanyie hesabu ya milioni 40 kwa muda wa mwaka, wanadai hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida Sasa just imagine unawapa...
36 Reactions
142 Replies
14K Views
Binafsi hua nashangaa sana sipingani na kupanda kwa bei ya mafuta lakini hua nashangaa mchakato unavokua Mara nyingi EWURA ndio hutangaza bei mpya lakini sijawahi kuona wakitangaza bei mchana...
2 Reactions
13 Replies
905 Views
Matumaini yangu u mzima wa afya.. mimi ni kijana wa kiume kwa sasa naishi Iringa mjini, Kihesa ila bado sio mwenyeji sana wa hapa. Dhumuni la andiko langu ni kuwaomba wakazi na wenyeji wa Iringa...
0 Reactions
2 Replies
984 Views
Habarini wapendwa; Nna ndugu yangu yupo Marekani anahitaji nimtumie sato pamoja na dagaa wa kigoma,mana ana siku nyingi hajaja huku amezimisi, pia aweze kuangalia na namna ya kuwa namtumia afu...
2 Reactions
1 Replies
760 Views
Naandika kama mdau na mzoefu kwenye kada husika Kuna wengi wetu hapa hawana ufahamu wa ulimwengu wa magari na biashara yake inavyofanyika... Hii sio kesi wala huwezi kuwabeza kwakuwa si kila mmoja...
8 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari wadau, ninahitaji mfanyabiashara wa asali au mfugaji wa nyuki ambae ana vibali stahiki vya kuuza na kusafirisha maana nina wafanyabiashara wapo kenya wanasafirisha asali kwenda dubai n.K...
4 Reactions
35 Replies
5K Views
Sera za kigeni, za mataifa mbalimbali ma kubwa kwa madogo kwa kuzingatia maitaji yao kiuchumi na kimaendeleo zimejikita katika, kutengeneza uhusiano mzuri kwenye uwanja wa mahusiano ya kimataifa...
0 Reactions
1 Replies
403 Views
Maisha ya biashara na ujasiriamali kila unapoamka inapaswa upashe akili moto kuongeza ile 500 uliyoipata jana leo upate 1000 na kesho kutwa upate 1500 Hiyo ndio inatwa biashara na ujasiriamali...
38 Reactions
71 Replies
14K Views
Guys. Najuwa wengi tunapitia changamoto ya udhaifu wa uchumi lakini naomba kuongea na wewe kijana unae waza na Kufikiria nini ufanye na wapi uanze[emoji26]., anza apo apo na kwa icho...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Za jioni wapendwa katika bwana. Samahanini kama ntawakwaza akina mama/dada/bibi waliomo humu. Scenario1. Unakuta baba ana biashara kubwa hiki na kile.. unakuta mama labda nae anapita pita...
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Naomba kuuliza, Hivi kwa mtaji wa sh laki moja na nusu, naweza anzisha biashara gani inayolipa na yenye uwezo wa kunipatia faida ya hadi 20, 000 kwa siku! Msaada tafadhari!! Lakini isiwe network...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakuu nawasalimu Wakuu nimeona fursa katika biashara ya maziwa natamani sana kufanya biashara hii Biashara hii haswa natamani kuwauzia viwanda vinavyo sindika bidhaa hii Kama vile Asas , tanga...
7 Reactions
31 Replies
5K Views
Tatizo la tabia na character kutofautiana
0 Reactions
0 Replies
197 Views
Habari JF Kuna kijana wangu amepata Bajaji ya mkopo. Sasa Kuna kijiwe huku kigamboni gharama za kujiunga Ni 50,000/= Na mzunguko wa kawaida Sana. Lakini anasema kupitia Bolt na Uber Ni bure...
0 Reactions
6 Replies
874 Views
Habari JF Naomba msaada Nina tafuta Kampuni au mtu yoyote mwenye ujuzi wa ujenzi wa Banda zuri la Kuku lengo Ni kufuga Kuku wa kienyeji kwa Biashara Naomba msaada Nipo mwanza naomba msaada Sana.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu, Ninatamani kufungua carwash lakini sijui lolote juu ya hi kazi, naomba kufahamu vitu gani muhimu vinatakiwa, mtaji kiasi gani, changamoto zake, faida zake na mambo mengine muhimu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…