Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wadau katika kutaka kujikomboa kimaisha nimeona Alibaba.com kununua mzigo na kusafirisha hadi BONGO siyo gharama kubwa ,issue ikabaki kwangu je wazee wa Kaisari -TRA hapo ndio kikwazo mara...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ya upande wa huko rafiki yangu, bila shaka unaendelea vizuri kabisa. Mimi nakusalimia hapa kutoka mjini Morogoro. Leo nimeukumbuka ujumbe mmoja ambao niliwahi kuusoma siku za nyuma...
28 Reactions
23 Replies
4K Views
Wadau naomba mwenye uzoefu au anayefanya Kazi na Taasisi za kifedha anisaidie ku-suggest Taasisi ambayo haina longolongo kutoa mkopo wa biashara kwa haraka na uhakika. Nimejaribu Taasisi mbili...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwema wakubwa, Naomba niende moja kwa moja kwenye swali. Nina wazo naona ni potential ambalo litasaidia watu wa hali ya chini vijijini nataka nikasajili Ngo kwa level ya kitaifa then nitekeleze...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari Waungwana! Nina 10M nifanye biashara ipi kwa mji mdogo wa Katoro? Hiyo hela itahusisha gharama za pango + maandalizi yote ya frame. Biashara itakayosimamiwa na mtu wa jinsi ya kike kwa...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Namna ya kupata mtaji wa kuanzisha biashara ndogo au kuongezea palipopelea. Mtaji na pesa ya kuendeshea biashara yako ni kama damu na oksjeni kwenye mwili wako. Kuna namna mbalimbali za kupata...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni mfanyabiashara chipukizi, napatikana Tanga. Natafuta wanunuzi wa zao la ngwara au fiwi jamii ya maharage na choroko. Nina gunia zisizo pungua 8 store. Pia itapendeza kupata mawasiliano...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Hali ya Mfumuko wa Bei ya bidhaa muhimu ikiwemo chakula kwa jiji la Dar es salaam imezidi kupanda kwa kasi licha ya maeneo mengi nchini kuwa kwenye msimu wa mavuno. Hapa chini ni bei za mazao ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu na wazoefu wa hii bishara naombeni kupata mawazo yenu kuhusiana na hali ya hii biashara kwa sasa. Nimewekeza mtaji wa karibia 6m lakini kamishen bado nikitoa gharama nabaki na 200k...
7 Reactions
47 Replies
16K Views
Natumai nyote ni wazima wa afya. Wakuu hawa watu wanaoitwa wazungu ni wana kodi hadi kero aisee yan hizi tunazolalamikia sisi ni cha mtoto. Kuna mtu huko marekani kashinda bahati nasibu ya $1.28B...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu natarajia kuwa na safari ya Kampala mwanzoni mwa mwezi wa kumi na mbili . Lengo la safari hii ni kuangalia mazingira ya biashara kwa ujumla ikijumuisha gharama za vitu, usafiri...
2 Reactions
385 Replies
75K Views
Kwenu Rais Samia, VP Mpango, Mwigulu, Mafuru, Benki Kuu, Makamba na Mulamula. Kwa Ufupi, Serikali Mlishauriwa na Wabunge kuhusu namna ya kukabiliana na suala la bei za Mafuta kupanda...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF? Naomba mwenye muongozo au ufahamu wa kiwanda cha kuchakata kuku au sehemu kilipo kwa hapa Tz angalau nikapate Elimu ya uendeshaji, Bei za mashine na soko. NB: Kuku ninao...
0 Reactions
4 Replies
840 Views
Ipi huduma bora na nafuu kati ya hizo? Je, DHL huwa wanachaji gharama unapopokea mzigo? Mzigo wangu NI bahasha tu ya documents. Ninaipokea kutoka Afrika Kusini.
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wasalaam Kama heading inavyosema naomba kujua ni vitu gani vya kuanza navyo kwenye biashara ya spare part za Tv Radio, Computer nk.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari ndugu wote haswa wajasiriamali wa Dodoma mimi nimtafutaji kama walivyo watu wengine kwa sasa niko Arusha ila mambo huku hayaniendei vizuri kabisha, ila ktk kuongea na watu vijiweni wengi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninampango wa kuuza bidhaa mbali za electronics kama vile simu za mikononi, laptop, flash disk, camera n.k. Ili niweze kufanikisha hilo ninaombeni msaada wenu kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya soko...
0 Reactions
91 Replies
37K Views
Ndugu Zangu Nimeanza Kufanya Biashara Ya Kuuza Suruali za Mtumba Kutoka Dar Naenda Kuuza Moro - Dodoma. Naombeni Mawazo ya Kukuza Biashara Yangu Kwa Wazoefu Wa Hii Kazi.🙏🙏🙏 Niwe Nafanya Nini Au...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za kushinda wana JF Nilikua naomba kuuliza wale wanaofanya biashara Kariakoo kama vile viatu, nguo, vitengee na urembo katika soko la Kariakoo. Wanapataje patajee mali je ni Cash au Mali...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom