Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hivi ni kweli. 1 Zambian Kwacha equals 142.40 Tanzanian Shilling
7 Reactions
51 Replies
4K Views
Tuanze na hii! Ni nzuri kwa mkazi wa DSM FUGA BROILER mwenyewe! Wakishakuakua unaanza KUWAKAANGA eneo la stand unaweka na tundizi uchwara zile za mabibo za 50 50! Usisahau na...
15 Reactions
57 Replies
6K Views
Jamani ndugu zangu wa jf, naomba kuuliza. Ninahitaji kuanzisha native application ambayo inavitu complicated kiasi ndani yake. Je, nitafte kampuni initengenezee App, ama nitafte developer wa...
0 Reactions
1 Replies
445 Views
Wakuu habari? Kuna kitu nimenunua kariakoo ila sikupewa risiti ya mashine nimepewa ya mkono. Je, wakati wa kulipa kodi mwisho wa mwaka naweza kuitumia hii risiti kama njia ya kuonesha gharama...
0 Reactions
10 Replies
677 Views
Uhitaji wa Kuku wa Kienyeji na Ndege pori unazidi kukua jijini huku upatikanaji wa Bidhaa halisi ukizidi kuwa Hafifu sana sokoni. Hapa ndiopo napata wazo namna ya kuazisha Shamba dogo la kuhifadhi...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Wapo watu wanajivunia kuwa na mawazo ya biashara ila hawana mitaji; ukiomba wakushirikishe wazo lao, wanakataa wakihisi unaweza kuchukua wazo lao na kulifanyia kazi. Unakuta miaka nenda rudi...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Napenda kuuliza kwann kila Biashara inayo tangazwa umu ina krashiwa ___________________ Watu wengi wamekua wakiwakatisha tamaa wafanya Biashara unakuta mtu anatangaz biashar yake na mtu anakoment...
0 Reactions
1 Replies
409 Views
Binafsi nimekaa chini nikafikilia nimeona biashara ya mavazi ni biashara nzuri mno mno mno Sana hasa ukiwa unachukua kutoka kwa wazalishaji (kiwandani) unakuja kuuza Kama retailer utapiga...
2 Reactions
5 Replies
513 Views
Ipo Uvinza Kigoma ni nahitaji kuanzisha biashara lakini sijui nitaanza vipi naombeni mnipe maujuzi kwa wale wataalam wa biashara[emoji1317][emoji1317]
0 Reactions
2 Replies
395 Views
Husika na kichwa cha mada hapo juu Kwa yeyote anayejua ushuru wa bidhaa hapo juu kwa kuagiza kutoka nje naomba msaada. Natanguliza shukurani
1 Reactions
2 Replies
924 Views
Msaada kwa mtu mwenye uelewa wa biashara ya vitu vya jumla (matumizi ya nyumbani) namaanisha duka la jumla,. Naomba muongozo kwa anayefanya au mwenye ufahamu na hii biashara, nilipo ni mkoani...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Heri kwenu sote wanajukwaa mlioalikwa kwenye uzi huu kama nilivyonena hapo juu. mimi ni kijana nipo kuomba ushauri juu ya biashara ya kufungua duka la spear ya vitu vya kieletronics kama ambayo...
3 Reactions
57 Replies
10K Views
Habari za jioni wakuu... Ninaomba msaada kuhusu namna ya kufungua blog kwa ajili ya kuingiza kipato. Vitu gani muhimu nahitaji kuwa navyo na aina gani ya content ni nzuri? Ahsanteni!
0 Reactions
2 Replies
836 Views
Wakuu kwema Nimepewa idea ya kuwa na kiwandq kidogo cha kukamulia mafuta ya alizeti na nafaka zingine kama pamba na mbegu za maboga Kwa mujibu wa mdau anasema inaingiza pesa nzuri sana...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Kilo Mia na Saba no shilling 71000 hapa hapa Tunduma nauli kwa Tani mpaka holili ni lak 2nakumi dar ni lak na 20 kwatani boss wang
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyoonyesha naomba kujua hivi haya mahindi mabichi ya kuchoma na kuchemsha wanayouza barabarani wanayanunua wap endapo ukiwa Dar na kwa bei gani?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kuwa sehemu ya kuvutia wawekezaji katika wilaya au kata yako: Wale wa mikoani wasaidieni hawa wa dar wajue fursa zilizopo mkoani kwako za kiasi cha mtaj wa kuanzia laki tano(500,000/=) mpaka...
7 Reactions
40 Replies
7K Views
Naendelea kuwakumbusha wapambanaji kwenye uwanja wa biashara. Usifunge biashara. Ukiona hali ni tete tuwasiliane kwanza kwenye email: dodomadaressalaam@gmail.com Pia, wale wenye ujuzi uliotukuka...
0 Reactions
8 Replies
655 Views
Naomba kusaidiwa aina za machine,Bei na wauzaji wa mashine ya kukumua mafuta ya Alizeti
1 Reactions
7 Replies
39K Views
Back
Top Bottom