Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kampuni yenye nguvu zaidi Duniani na kwa bahati mbaya unaweza usiwe unaijua, kwa jina ni BlackRock. Hadi sasa Kampuni hii ina manage Mali zenye thamani ya Dola Trilioni nane( USD 8 Trillion)...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Wana jf nataka kununua gari mnadani natumia kampuni ya real Motors sasa weniambia nifanye bid halafu nitoe advance ya dollar 1500 ambayo itakuwa included kwenye manunuzi kama nikipata gari...
1 Reactions
29 Replies
6K Views
Poleni na mapambano ndugu wana JF Husika na kichwa cha habari Katika pita pita zangu za hapa na pale wakuu nimeona nifanye biashara ya mkaa (ni wazo ila niko finishing stages ni execute idea)...
14 Reactions
39 Replies
9K Views
Toka nianze harakati za kusaka gari mtandaoni kila gari naona ya kawaida yani nikipata gari zuri bhs inakasoro inanikata mzuka. Nimetembelea web zote za kuimport japani ila sijaridhika. Toka jana...
2 Reactions
23 Replies
5K Views
Naomba Ushauri na wazo la biashara ambalo nitakifanya kukuza uchumi binafsi na kipato ili kuwaangalia watu wa muhimu karibu yangu.
1 Reactions
35 Replies
14K Views
Kwema humu wadau poleni na majukumu mimi ni mkazi wa wilaya ya Meatu mkoani Simiyu nilikua naomba kujua je gharama za kuchukua vilainishi vya magari kama oils (total au Castrol), grease, cc...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Mwenye uzoefu wa muziki wa bongo flavor especially ambaye anajua jinsi makampuni ya ku-promote muziki wa bongo flavor yanavyofanya kazi hasa na wasanii wanaoibukia. Naomba uzoefu hatua kwa hatua...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Nina mtaji wa 1M nipo Kigamboni mitaa ya kwa Urasa. Biashara gani inaweza faa kwa mtaji huo. Msaada wenu plz [emoji1545]
2 Reactions
85 Replies
20K Views
Habari wadau. Nategemea kufungua kibanda cha kuuza vifaa vya umeme maeneo ya Mkuyuni Mwanza hivi karibuni. Kwa mnaojua machimbo ya kupata mzigo wa uhakika kwa bei nafuu naombeni msaada wenu...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mwenza wangu nilimpa mtaji afungue biashara kwa kuwa anapenda sana urembo akaona afungue biashara ya duka la urembo, cosmetic na mavazi. Lakini anapitia changamoto ya kukosa wateja inaweza ipite...
7 Reactions
54 Replies
5K Views
Kama Kuna mtandao unaujua ambao watu wananunua picha za nature n.k anisaidie jina lake yaani watu wakiipenda picha yako labda ya mnyama au beach au miti wakiupload wanachangia kiasi fulani maisha...
1 Reactions
5 Replies
727 Views
Habari za jumapili, Leo nataka tuzungumze pamoja faida za kuwa mzalishaji wa kwanza wa bidhaa na kuingiza sokoni. Ukweli ni kwamba biashara ndio muhimili wa uchumi wa Dunia, Serikali nyingi zina...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini wadau, Kama kichwa kinavyojieleza wale wote wenye idea ya hii (heat press machine) ambao wanaoifanya hii biashara au waliokwisha ifanya hii biashara ya t-shirts printing tupeane angalau...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Wenye uzoefu na kuagiza mzigo ali express, inachukua siku ngapi kwa parcel ndogo kufika Tanzania??
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Je, kuspons matangazo ya biashara twitter changamoto zake na namna ya kufanya kuweza kuweka tangazo naombeni wadau wajuzi mnielekeze,
0 Reactions
0 Replies
348 Views
Habari wana JF. Nimekuwa nikifanya biashara ya grocery kwa mda sasa sema changamoto kubwa ninayokumbana nayo ni wingi wa madeni(nadai wateja), sasa nikawa nafikiria pengine nikihama eneo na...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau, Natafuta machimbo ya kupata vifaa vya simu kwa bei ya jumla kwa kariakoo, vifaa navyotaka: Covers Earphones Chargers Protectors Batteries LCDs Msaada wenu wadau
3 Reactions
14 Replies
4K Views
Hivi inaingia akilini mtu akikuambia VODACOM hawapati faida? Tangia wauze IPO kwa shilingi TSH 800/, Share zao hazijawai kupanda tena mpaka leo zimesimama kwa TSH 770/ na haziuziki. Hakuna mtu...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
NAHITAJI MTU WAKUFANYANAE BIASHARA MOROGORO KILOSA, Biashara ya mazao na nguo, nataka awe mwenyeji wa Morogoro. Mimi nipo Dar. Tuwasiliane tuongee 0755102030
0 Reactions
3 Replies
968 Views
Habari za wakati huu; Katika biashara kuna kukosea.Hii ni kama ilivyo katikamaisha ya kawaida.Kukosea ni sehemu ya ubinadamu.Kila kosa huwa lina gharama na matokeo.Haya yanaweza kuwa mabaya sana...
2 Reactions
0 Replies
553 Views
Back
Top Bottom