Leo nimeenda kukodisha mbao.
Yule jamaa nimemuachia 30,000/- kwa mbao 20! Jamaa ana mbao nyingi tu Kwa ajili ya kukodisha. Nimefikiria unaweza kuanza hii biashara hata Kwa mtaji usiozidi bei ya...
Habarini wakuu,
Natumaini wote hamjambo! Pole kwako wewe hali yako ambaye haiko vizuri!
Naishi mkoani Mbeya nasimamia Biashara ya Hotel ipo Iyunga, kiufupi usimamizi huu najikuta mpaka nakata...
Ukikuta bidhaa ya Tanzania nchini Kenya inakuwa imelipiwa ushuru mkubwa sana ama wakati mwingine biashara za Tanzania zinazuiwa kabisa Kenya, ni kwa nini? Kwa anaejua sababu tafadhali
Kama hujawahi ingia hili chimbo naomba uje ununue hata soda kwa elfu 4 ujifunze maisha watu wanaishije watu, wana spendije.
Hapa Heineken inauzwa 8500, Serengeti lite 7000. Heineken bucket...
Habari wakubwa
Naomba niseme tu nimechoka kukaa nyumbani kuwa kula kulala, maisha ya kukaa nyumbani yamenichosha natamani na mimi nianze kujitegemea nianze kulipa kodi, ninunue chakula kwa pesa...
Kwa leo nitaongelea viatu 'used'/mtumba
Kuna siku nilitembelea duka moja la viatu vya mtumba mkoani Arusha; hivyo viatu vilikuwa vinatoka Italy, kuuliza bei, naambiwa sh. 185,000/=.
Hapo nikawa...
Inawezekana una kaela kadogo; labda umepata kama mshahara, au kuuza kitu n.k, na ungependa pesa yako ikuzalishie na isipotee.
Unaweza ukawekeza kwenye haya makundi:-
Wauza mishikaki
Wauza...
I wish niwe na biashara kabla ya mwaka huu kuisha. Moja ya biashara inayo trend kichwani mwangu ni duka la vinywaji. Yani niuze vitu vifuatavyo.
Bia
Pombe kali kama K. vant na konyagi. Soda zote...
Habari za wakati huu Wanajamvi wenzangu.
Mimi ni mfanyabiashara, sasa Naamini humu kuna wafanyabiashara, au waheshimiwa wahusika wa maeneo ya mwenge.
Ningependa kujua yale majengo mapya, maduka...
Habari ndugu zangu nina mtaji wa milion mbili nataka kufungua biashara ya nywele bandia nikimaanisha wiving, rasta, mawigi na vitu vidogo vidogo vya urembo wa akina dada kama mikufu, hereni...
Yapo mengi umejifunza au unayafahamu. Kuhusu wateja katika biashara yako. Sababu biashara ndogo zinawahitaji zaidi wateja kuliko wateja wanavyozihitaji.
Ila kuna nyongeza katika hayo nayo ni...
Do you often ask yourself these four questions? If my company model is flawed, why aren't my financial resources growing at the same rate? What are the best sources of job inspiration? When will I...
Wakuu salama?
Kwanza kabisa niwashukuru wanajukwaa hili kwa ushirikiano mzuri mlionipa kabla sijaagiza chombo.
Nilikua sina uzoefu wa kuagiza hivyo ilikua mara yangu ya kwanza lakini...
Habari kwenu Wazeeiya,
Kama kichwa cha habari kilivyo. Naomba kupata ujuzi, utaalamu, experience mlizonazo katika biashara hii.
Kwa ufupi tu, ni camp kwaajili ya watalii.
Majibu yenu naomba yawe...
Here comes,
Waungwana kuna hili swala la kufanya biashara iende smoothie,, kuna rafki yangu kanishauri swala la kwenda kwa baadhi ya mashekhe ili tukapatiwe dawa kwa ajili ya biashara iende vema...
Wadau nimekuwa nikitafuta taarifa sana kuhusu biashara ya uvuvi baharini. Hii imetokana na ukweli kuwa nimekuwa nikienda katika masoko ya samaki hapa Dar es salaam na kuona jinsi watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.