Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari za muda wakuu, Napenda kujua taratibu za kuagiza simu China na South Korea maana kuna chimbo nimepata ya kupata Refurbished phones kwa bei kitonga sana ila nmejaribu kuwasiliana na ARAMEX...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza anahitajika mfamasia Location : kibaha Mshara maelewano Kwa aliye tayari Ani pm chap
0 Reactions
0 Replies
498 Views
Kipo ubungo riverside eneo la makoka, kipo karibu na barabara kubwa na kimejengwa mabanda mawili ya wapangaji yenye vyumba viwili viwili,,kinafaa pia kujenga flemu za biashara. Mwenye uhitaji DM...
0 Reactions
7 Replies
581 Views
Mimi nahitaji kufanya biashara kutoa vitu zambia kuleta tanzania (vitu kama vitenge). kwa anayefahamu utaratibu naomba msaada nijue cha kufanya.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Naombeni msaada kama Kuna mtu anafahamu Wanapouza Vifungashio Kwa Bei ya Kiwandani kama vile chupa nzuri za kuwekea bidhaa au Kopo kama za kuwekea mafuta ya kupakaa mwilini iwe...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kutokana nafumuko wa bei za bizaa katka masoko je pesa ya Tanzania imeshuka au imepanda thamani na kwa nini?
0 Reactions
0 Replies
346 Views
Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. Akinwumi Adesina amesema kwenye mkutano wa mwaka wa benki hiyo uliofanyika tarehe 24 mwezi huu huko Accra, Ghana kuwa benki hiyo itakusanya...
1 Reactions
0 Replies
524 Views
Habari za jioni wakuuu,mimi ni mfanyabiashara wa nguo aina zote huwa nanunua mzigo wangu Kariakooo, nataka kufata mzigo China gharama zikoje. Natakiwa niwe na sh ngapi ili niweze kununua mzigo wa...
3 Reactions
65 Replies
31K Views
Anaeelewa hii kitu anijuze. wanakupa task za kufollow unaingiza dola moja per day. Pia Kuna levels. VIP 0 ni bure na ndio unaingiza dola moja per day na huwezi withdraw mpaka zifike 148 usd VIP...
0 Reactions
2 Replies
708 Views
Wadau, Naitwa Fredrick Mboma. Ni Mjasiriamali. Kuna sheria ndogo mpya inayoitwa Microfinance (Non-Deposit Taking Microfinance Service Providers) GOVERNMENT NOTICE NO. 679 Published On 13/9/2019...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Kama kuna swali lolote waweza uliza nitakujibu ipasavyo.... Karibuni....
6 Reactions
33 Replies
30K Views
Habari! Kama kuna mtu yeyote anauza rice cooker used kwa bei rafiki ya awamu ya sita, naomba anitafute. Bei elekezi ya mwaka wa fedha ni 30000/= Pesa ipo kwenye mfuko wa Shati hapa... Chap kwa...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Wakuu habari, Nauliza kama thread inavyosema. Unaweza kuweka pesa kiasi gani kwa mkupuo Watu wa benki wasishtuke na kuanza kukuuliza maswali kwamba umezitoa wapi unafanya kazi gani nk...
6 Reactions
52 Replies
6K Views
Habari wana JF Kumekuwa na sitofahamu kwa wachimba visima, haswa pale unapohitaji kuchimbiwa kisima, kila mmoja anataja gharama zake kwa anavyojisikia!. Hili ni tatizo! Napenda kufahamu kuhusu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Red Bull ni kampuni ambayo kama umefanikiwa kuona mojawapo ya matangazo yake ya kibiashara huwa yako very interesting. Inaonekana kwenye issue ya marketing wako serious na wanachokifanya. Mwaka...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
CAT usd 170,000/=, Liugong usd 112,000/=, Sany 117,000/=, Tata usd 111,000/=, Backhoe Usd 67,000/=. Serious buyers please contact 0754 889 999
0 Reactions
4 Replies
439 Views
Kwa mtu mwenye mtaji wa Tsh. milioni 11 afanye biashara ipi kati ya zifuatavyo itakayomlipa maeneo ya Arusha? 1. Hardware(cement,white cement, gypsum biard+powder, mikanda ya gypsum+screw...
3 Reactions
25 Replies
12K Views
Katika maisha upepo ukivuma usikinzane nao uelewe nature yake na uenende nao sambamba ili usikupige mweleka...muhimu ni kushabihiana nao. Cryptocurrency tunataka au hatutaki ndio nature ya digital...
10 Reactions
81 Replies
15K Views
Kipo mbezi beach kina ukubwa mita za eneo 19,000, near ocean ,near bagamoyo road,umeme,maji etc vipo Bei 1.5M,$ 0672134789
0 Reactions
0 Replies
286 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…