Kwa kweli airtel ni matako kwa huduma mbovu zaidi.
Kwa sasa ukitumiwa sms 1 injirudia zaidi ya mara mia na ukiomba msaada wanakwambia tunalifanyia kazi.
Huyo diamond ndiyo kaja kuyaleta haya au...
Habari wadau,
Nina plan ya kuanzisha kituo cha radio huko Tanzania,
Ninoamba mwenye idea ni process zipi napitia mpaka kumaliza mchakato mzima na gharama husika, na Itachukua mda gani?
Nikipata...
Habarini wakuu.
Hivi mtu mwenye basic technician certificate in medical laboratory science anaweza kufungua maabara na akaoperate? Je taratibu zake zipoje
Msaada wa maoni na experience yenu..
Jana kule Mtwara kumefanyika tamasha la wasafi ambalo limeacha historia kwa kufurika watu kwa kiasi ambacho haijapata kutokea watu kujaa namna ile kwenye uwanja wa Nangwanda.
Pia kule wilaya ya...
Hii biashara ina faida sana, ukiwa na vyumba 10 kwa 20,000 chumba kimoja na vyote vikapata wateja, una uhakika wa 200,000 kwa siku. Nyumba hizi hustiri wengi wenye uwezo wa kati na wa chini...
wakati natafuta saa ya kuagiza mtandaoni kupitia ebay nikakuta saa ya hii bei.
ikabidi nitafute feedback zake huyu muuzaji kama ni tapeli lakini inaonyesha yupo vizuri
hii ndio feeback
Samahani mwaka huu nimeanzisha biashara ya kuprint picha,passport size, copy na scanning hivyo nilijaribu ku install Adobe photoshop lakini nikagundua pc yangu haina uwezo wa ku run Adobe...
Baada ya Waungwana CRDB kushusha riba hadi 13% sasa wamekuja na masharti ya watumishi wanaotaka kukopa kuhamishia akaunti ya mshahara huko!
Sasa hii ina ulazima gani kwa watumishi wa Serikali...
Habari za muda huu wakubwal!!
Naomba kupata ushauri kidg
Kama ninahitaji kuwa na
biashara & huduma ifuatayo ninahitaji mtaji kiasi gani (kiasi cha chini kabisa).
Kuuza vifaa vya simuu
(Betry...
Kwakweli mama anaupiga mwingi sana kuelelekea golini kwake.
Kama hauna kazi, na unashinda kijiweni.
Na hauna mtaji wa maelfu ya pesa.
Chukua sahani kubwa hapo nyumbani (yanaitwa masinia ya...
UVCCM_ TAIFA
MEI 14, 2022
ONGEZEKO LA MSHAHARA:
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN akubali ongezeko la 23.3% kwa Kima cha Chini cha Watumishi wa Umma Nchi...
Molii products inakuletea
Home made chill (pilipili) bei ni elfu 5,000.
Garlic paste(vitunguu swaumu) 6,000/=.
Peanut butter 5,000/=
Products zetu ni nzuri sana ukizitumia hautoacha
Kwa maelezo...
Jamani kama title inavyo sema, ninaomba mwenye kumiliki au mwenye kujua duka lolote linalouza vifaa vya ujasiriamali jijini MBEYA tuwasiliane. [emoji120][emoji120][emoji120]
Wakuu leo nimekuja tena kwenu, kupata maujuzi. Natumai mko poa na tunaendelea kuisoma namba, mafuta bei juu...! Nchi ina zizima kwa kilio cha wengi.[emoji24]
Wa kubwa bila kuwapotezea muda wenu...
Natumaini muko powa kabisa... nina milioni 10 hapa ambayo nimeikusanya kutoka katika biashara yangu ya Nafaka nafikiria kufungua tigopesa hapahapa kwenye duka la Nafaka... sasa ambao munaijua...
Habari Waktu
Nimekuja kwenu natafuta business partner ambae atawezesha kifedha katika wazo langu la biashara.
Biashara ni ya viatu vya kike
Nina eneo makumbusho ambalo nimeshajenga banda...