Msaada jamani, hivi kati ya Kahama na Geita ni sehemu gani nzuri yakuwekeza biashara kwa mtaji wa 2m maana nimefika hapa Buzuruga nina option mbili tu nichague sehemu moja.
Tafadhali msaada wa...
Naomba kujua kama Kuna mtu ambaye anaweza kunisaidia niweze kupata maji ya hill litre moja maana kwa huku maeneo ya Mbezi mwisho yamekuwa adim Sana pia na Soda za Pepsi.
Kipindi cha nyuma hapa...
Kwanza kabisa, mapambano yaendelee siku ya kufanikiwa ipo tu, tusikate tamaa.
Mfano huu utajumuisha Biashara nyingi Sana, kwa hiyo wewe mwenyewe utakuwa unalinganisha na Biashara yako.
Naomba...
Allef Vinicius
Do you want to have a better financial life? Of course, you are; I assume that is why you are reading this. But the point is, if you are reading this, you have seen the title of...
Habari wakuu. Aisee mimi Kuna kitu bado sikielewi hasa kuhusu haya masuala ya utalii wa ndani.
Unakuta sehemu kiingilio cha serikali ni kidogo tu, tuseme kutembelea kivutio A ni 2000 au 2500 na...
Unakuta vijana wengi pesa wanazopata huishia kununua vitu vya luxury ambavyo ni liabilities na sio asset!
Ukiona unamtazamo huo basi hayo mawazo huleta umasikini. Vitu kama magari na huna kipato...
Bei ya mafuta imefika 105 USD kwa pipa Tanzania tutafute mafuta Yetu.
Kufuatia Mzozo unaoendelea kati ya Ukraine na Urusi bei ya mafuta imepanda na kuvuka dola mia moja kwa mara ya kwanza tangu...
Wakuu habari za asubuhi,
Naomba kujua anayefanya biashara ya Dagaa wa Nyama wale wa Zanzibar. Vipi, hapa kwa Dar soko lipoje wanapendwa?
Nikitaka mzigo na chukulia wapi kwa jumla na je, mtaji...
Hello wana Jamii forums,,,
Kwanza nianze kwa kuwasalimu,,na kuwapa pole kwa mihangaiko ya hapa na pale...Kwa kifupi mimi ni kijana mpambanaji,,nina deal na uchimbaji wa feldspar huku maeneo ya...
Niaje Mabroo na Masista. Maisha yanaendelea poa, mimi niko Kahama hapa kuna mishe nilikuja kufanya ila mda siyo mrefu nageuza kurudi A Town, aka A City, Geneva of Africa, City of...
Wakuu kwema?
Kama mnavyojua kipindi Hiki ni kipindi Cha mfumuko wa hatari duniani more kutokana na changamoto mbalimbali za kidunia
Sasa tulioweka akina zetu Benki thamani yake zinaporomoka huku...
Hello Wanajukwaa wa JamiiForums hivi karibuni tumeshuhudia bidhaa zote muhimu zikipanda bei kwa kushtukiza yaani imekuwa kama surprise ya kila siku. Bidhaa kama mikate, mafuta- unga- yaaani hata...
Lengo kubwa la mataifa ya magharibi ni kuiangusha kiuchumi Urusi ili hatimaye idhoofike kijeshi.
Kufikia lengo hilo walimpata rais msanii na mchekeshaji Zelensky wa Ukraine, ambaye walimvimbisha...
Kuna uwezekano ukaanza biashara na mtaji wa laki 1 na uku bado unasoma.
Dah na kama upo ni biashara gani maana maisha ya kuwa tegemezi some time yanachosha. kama inawezekana ushauri wako plz na...
DEFLATION
Hiki ni kipindi ambacho bei za bidhaa hushuka, na hufanya thamani ya pesa kuongezeka.
Hapa ndio unajikuta ukienda sokoni na 10,000 unanunua mahitaji yote ya week na change inabaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.