Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Habari zenu Wadau. Poleni na mihangaiko ya kila siku ya utafutaji riziki Nimekuja jamviin kuwaomba ushauri Mimi nina uwezo mkubwa sana wa kucheza mchezo wa Drafti. Lengo langu nataka nibadilishe...
1 Reactions
66 Replies
12K Views
Hapo kijijini kwako ni bidhaa gani iko bei ya chini na inapatikana kwa wingi? Mfano:- Kuku Mayai Maharage Mahindi Viazi Vitunguu Mchele Pumba za mahindi Mbuzi Ng'ombe Kondoo Kitimoto Bata Ngano...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Ngoma inazidi kuwa ngumu kupanda kwa ngano sijajua kama vita hii ya Ukraine inahusika ila kama inahusika wale mashabiki wa hii vita msije kuja kulalamika hali ya maisha ngumu mkaanza kumsingizia...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Msaada wakuu nimemaliza chuo naishi mbeya mjini Biashara gani naweza kufanya kwa 1mil
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Nataka kufungua mradi wa kuuza simenti aina ya dangote mkoa wa pwani. Kwa wazoefu, naomba kujua Bei ya simenti kiwandan kwa Sasa ikoje, gharama za usafiri au kama kiwanda kinasafirisha mzigo kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wadau. Kwa wenye uzoefu na hizi mobile money watuambie kiwango cha mwisho ni kiasi gani? Je inawezekana kwenye line moja kuweka milioni 5 kwa siku. Na ukamtumia mtu hiyo milioni 5 kwa...
1 Reactions
5 Replies
15K Views
Nina idea ya hiyo biashara soko lipo Ila mtaji changamoto mwenye uhitaji mawasiliano 0677603842
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Napenda kujua ni biashara gani zinaenda sana? Je biashara ya mashatii na blauzi za kike inaenda? Bei za vyakula na gesti zikojee? Naomba kuwasilishaaa
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari za mida wakuu! Kwenye side hustle yangu hapa mjini leo wamekuja ma afisa biashara kutoka kituo cha mapato manispaa, walitaka kuona leseni ya biashara sasa mimi sikuwepo kuna chalii...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa tunaotokea nje ya dar es salaam Kwa yeyote aliyewahi kununua bidhaa Kwa Hawa jamaa na ikamfikia bila changamoto tujuzane. Kuna bidhaa nimeiona nataka ninunue na wanasema wanaagiza Hadi mikoani...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Just imagine muuzaji wa karanga kila anapopita lazima awaonjeshe kwanza mpate testa ndo mnunue au msinunue. Sasa nikajiuliza wauzaji hawali hasara kweli kuonjesha watu mji mzima hata Kama wapo...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Ukimsikiliza huyo bwana hapo analalamikia gharama za kusafirisha container 40 fit umefikia mpaka US dollar 2300-2500 wakati bandari ya Mombasa ni US dollar 1300 anasema kuna hatari ya wateja...
8 Reactions
86 Replies
7K Views
Ndugu wanajamvi, mimi nimejiajiri ktk tasnia ya ufundi ( mechanical Engineer) nimefanya ktk tasnia hii kwa miaka 10 sasa, kwa sasa nataka kushea changamoto na mtu mwingine mwenye nia ya dhati...
0 Reactions
0 Replies
769 Views
SAFARI YA KUTAFUTA PESA. TUMIA NGUVU ZAKO KUPATA PESA. Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe, walisema wahenga. Kubagua kazi ni kauli za wasio na maono. Kuishi bila kazi na kuridhika kuwa...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
NAMNA YA KUTENGENEZA PESA KWA KUTUMIA MAWAZO (AKILI) Mtaalamu Albert Eisteirn aliwahi kusema kwamba asilimia 5% ya watu wote duniani ndio wanaoweza kufikiri Na asilimia 15% ya watu wote duniani...
7 Reactions
15 Replies
3K Views
1.0 Utangulizi Kipeperushi hiki kinatoa maelezo kuhusu taratibu muhimu ambazo watumishi wa umma wanatakiwa kuzingatia wanapohitaji msamaha wa ushuru kwenye vyombo vya usafiri (Magari na...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari za asubuhi ndugu zangu. Kutokana na kukosekana kwa ajira. Nataka kujikita katika biashara ya Vitunguu Sokoni. Nataka kununua kutoka mkoani na kuja kuuza Dar es salaam sokoni. Naomba...
2 Reactions
12 Replies
5K Views
Naona ni fursa ya kujiajiri kupitia kutoa huduma ya kuonyesha mpira, masumbwi, tamthilia pamoja na michezo mingine pia hata matukio mbalimbali, Je mchanganuo wa mtaji wake upoje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Samahani wakuu naomba kuuliza kuhusu biashara ya phone accessories kwa mwenye uzoefu inahitaji mtaji kiasi gani na vitu gani muhimu kuanza navyo.
5 Reactions
17 Replies
7K Views
Miaka ya 90 DHL walikua na ofisi mikoani na waliajiri vijana wa kupeleka mizigo kwa wateja. Vijana walipewa pikipiki kubwa na walifanya kazi kwa ufanisi. Amazon ni kampuni kubwa, ukiweza...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom