Habarini business moguls!
Tupeane information kuhusu uwekezaji katika sekta hizo mbili, nini kinahitajika, faida na hasara zake ( changamoto) kwa ujumla!
Na je kuna project gani zilizopo...
Ujamaa shop
Kama una mtaji mdogo, unaweza kufanya biashara hii huku ukijitengenezea 'brand' 'ujamaa shop'
Tembelea vijiji 2 au zaidi kutokana na nafasi uliyonayo
Anzisha maduka madogo madogo...
Huku kwetu sabuni ya kufulia unapimiwa kwenye kikombe cha chai kama huwezi kununua ndoo au box zima. Vile vitenge vitatu vinavyouzwa Karume na Mnazi Mmoja huku vinauzwa kipande kimoja. Ukiweza...
MONOPOLY
Neno monopoly maana yake ni muuzaji mmoja (single seller).
Huu ni muundo wa soko ambao muuzaji wa bidhaa ni mmoja tu.
Vitu vinavyoweza kusababisha kuwepo kwa monopoly ni kama...
Wafugaji wengi hupenda sana kuwachapa ng'ombe wanapowaswaga.
Hii imesababisha pindo ng'ombe wanapochinjwa kwa ajili ya nyama kuharibu ubora. Hivyo nyama nyingi sehemu ya fimbo zilipotua huwa...
Wakuu, ni week sasa kila liquor store ninayoenda hapa maeneo ya Mbezi na Kimara kutafuta valuer naambiwa hakuna.
Meneja mauzo wa kampuni husika jitafakari sana kama unatosha kwenye hiyo nafasi...
Palipo na nia pana njia
Ni ndoto yangu ya muda mrefu ya kuwa na kampuni kubwa ya mabasi ya usafirishaji abiria.
Hivyo basi pamoja na maombi yenu ninaomba pia tusaidiane kushirikishana je ni ruti...
Biashara ni ngumu hasa usiposimamia mwenyewe.
Kuna rafiki yangu wa karibu nlkua natamani nipate sehemu nzuri nimuweke kwa ajili ya ufugaji jambo ambalo lingekamilika mwaka huu.
Cha kushanganza...
Wakuu
Poleni na majukumu na karibuni tuzichambue fursa zinazopatikana soko la kariakoo na namna nzuri ya kizitumia.
*Udalali
*Kubeba mizigo
*Kuongoza wageni
*Kujitolea dukani kwa mtu (kufanya...
Wakuu nimekuwa nikipokea ujumbe mwingi sana toka Voda unaotaka nijiunge na huduma yao ya bima.Jana wakaenda mbali zaidi wakanipigia simu,walisema wana bima ya Ajali,Kifo,na matibabu.
Nilivutiwa...
Wanadau
Naomba kujua majina ya maa agents wa kisafirisha mizigo kutokea china kuja Tanzania.
No zao
Ofisi zao kwa hapa Tanzania
Na bei zao mara nyingi zikoje?
Nawakilisha
Wakuu kwema? Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, nahitaji kujua vitu mbalimbali kuhusu Kahama.
Nimewahi kufika hapo miaka ya 2017 ila sikukaa sana licha ya kwamba niliona mji umechangamka kiasi...
Wakuu habarini, mimi ni mmoja wa wanaohangaika sana na malipo ya mtandaoni yakihusisha paypal account kwani tunajua kwamba account zilizotengenezwa tanzania hazina uwezo wa kupokea pesa, kakini...
Wakuu, Katika soko la kariakoo, kama kichwa kinavyojieleza, naweza kupata fremu ya aina gani, katika eneo gani, etc kwa budget ya 1m to 1.5m kwa mwezi.
Karibuni.
Wakuu.
LUANDA - The Secretary-General of the African Continental Free Trade Area (AfCFTA), Wamkele Mene, said on Monday that Africa will soon have a new trading standard with the development of the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.