Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Naomba kuanza kwa kuweka bei za mazao mbalimbali kwa mkoa wa Iringa kwa mwezi February. 1. Mchele super Tsh2000-2200/ kg 2. Mahindi Gunia Tsh 70,000 3. Maharage ya njano Tsh2000/kg 4. Vitunguu...
0 Reactions
5 Replies
37K Views
E-commerce itaenda kuwa mustakabali wa ulimwengu wa biashara na siku zijazo uwezekano wa biashara hii kuwa chini ya kampuni ya Amazon ni kubwa Kutokana na ukubwa wa biashara hiyo ya Amazon...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa Naomba kupewa ufafanuzi wa mambo yafuatayo 1)Jina la biashara 2)Trade/service mark 3)Jina la kampuni Naomba nipewe ufafanuzi katika mambo yafuatayo ~Je jina biashara...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Mnaendeleaje wapendwa? Samahani naomba kufahamu kati ya Chunya na Ubaruku ni wapi panafaa zaidi kwa biashara ndogondogo kama mitumba na migahawa. Pia ni wapi pana maendeleo zaidi ya kijamii?
2 Reactions
57 Replies
10K Views
Biashara Gani Nzuri kufanya kijana wa sasa ambaye ana degree zake na mtaji wa kujibana ili asisumbuliwe na mamlaka mara kwa mara na kuua mtaji
1 Reactions
3 Replies
402 Views
Recently Tunduma imekuwa katika topic za conversations kuhusu ukuaji. Kwa walio huko au wanaoufahamu huu mji, watupatie kiundani kasi ya maendeleo, fursa zinazotekelezwa, utamaduni, uchumi na...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Naomba mnieleweshe. Kama mtu anataka fungua kampuni A na B ina maana lazima awe na bank acc mbili na kila moja ifanye kazi kivyake. Je, inawezekana hizi kampuni mbili zika sajiliwa chini ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini wapendwa katika Bwana. Nauliza kama kuna wanaofahamu soko lasamaki wadogo nchi 2, nachi 2¼ wakukaangwa namafuta yamawese pamoja nachumvi, Samaki wakutoka tabora ugala. Kama kuna...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari za muda na wakati huu wapendwa Nimewahi kusikia kuwa hii aina ya Bank account (Nmb chap chap Account) huwa haina makato kabisa labda wakati wa Ku withdraw tu Lakini naskia ukiwa unafanya...
1 Reactions
5 Replies
23K Views
VITU VINAVYO ATHIRI SUPPLY 1. SUBSIDIES and TAXES Subsidies ni ruzuku ambazo hutolewa katika uzalishaji wa bidhaa flani, Taxes ni kodi. Bidhaa ikipewa ruzuku za kutosha na ikaondolewa au...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
TheGrio ya Marekani waitaja nchi ya Tanzania kuwa miongoni mwanchi tano zinazofaa zaidi kwa utalii 2022 barani Africa wakati wa kipindi cha baridi, TheGrio, Chaneli maarufu zaidi...
16 Reactions
152 Replies
10K Views
Leo nimeona nitoe idea ambayo naamini vema kwa namna moja ama nyingine inaweza kuwasaidia waTanzania kadhaa. WAZO: BIASHARA YA SAMAKI AINA YA DEGERE 1. Ufafanuzi Samaki aina ya degere ni sangara...
20 Reactions
42 Replies
7K Views
Nataka hamia Arusha Ngaramtoni,nataka kujua bei ya kiwanja cha kuweza jenga nyba ya vumba sita inaweza kuwa kiasi gani? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za usiku ndugu zangu, Nimekuwa nikichanganya vitu hivi viwili. mfano tanzania inataka kununua ndege marekani inatakiwa ibadili Tsh kwenda usd ili iweze kufanakisha internation trade si...
1 Reactions
9 Replies
739 Views
Hello friends, nafikiri ni wakati wa kufanya visivyo fanyika kwa mazoea. Hii biashara ni promising, kutokana kuongezeka kwa ujanja ujanja kwa generation hii ya watoto wanaopenda good times. Pia...
11 Reactions
23 Replies
5K Views
Kama kichwa Cha habari hapoo juu kivyoeleza hivi Kuna mtu amaesha wah fanya Amazon FBA humu au kwa Tanzania 🇹🇿 inawezekana
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Jamani hivi mnaelewa kweli vifurushi vya Voda vinavyolika yaan unajiung GB1 kwa shilingi 2000 baada ya saa kimeisha..nisaidieni mtandao gani uko nafuu ktk vifurushi vya mb hawazili mb
3 Reactions
20 Replies
2K Views
SUPPLY Kwenye uchumi Supply ni zile bidhaa ambazo muuzaji yupo teari kuziuza kwa mda husika, kulingana na bei ya soko. Mfano 1 : Muuzaji wa saa, anaweza akawa ametengeneza jumla ya saa 100...
2 Reactions
3 Replies
534 Views
Umekua ukitamani sana kufanya promotion kwenye Instagram sema shida kila ukifanya hola Yani ukifanya hola [emoji1] Instagram ni Moja wapo ya platform ambayo inawasaidia sana wafanyabishara...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
PRICE ELASTICITY OF DEMAND Hapa tunaongelea jinsi gani ambavyo bei ya bidhaa inaweza athiri uhitaji wa hio bidhaa (demand). Inaeleza jinsi tabia ya mteja inavyobadilka kulingana na bei ya...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom