Habari wana Jf!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo,
Mimi ni mpenzi wa bisahara za Masafa yaani kununua huku na kuuza kule, ninapenda biashara za jumla. Nataka nikikuletea unanipa changu...
Ninaomba kusaidiwa mchango wa mawazo tatizo ni nini mpaka muda huu nimefilisika kabisa. Mwisho ndani ya miaka mitatu nimefilisika maduka 5. Ambayo nilikuwa nalipia kodi laki 5 kwa mwezi.
Nina...
UTANGULIZI
Mahindi ni zao muhimu la chakula, na ni aina ya nafaka inayotumiwa zaidi kama chakula,uhususani katika matifa ya Afrika, na yamekuwa yakitumika zaidi na nchi zilizopo kusini mwa jangwa...
Wakuu poleni na shughuli!
Ee bana kuna ndugu yangu ameniahidi kunitoa kwenye umasikini,kaniahidi kunikopesha USD 15,000 ili nifungue biashara ya kuuza vifaa vya majenzi.
Sasa nauliza wakuu kwa...
Tangu nimalize masomo ya elimu yangu mwaka juzi nimekuwa nyumbani tu bila shughuli yoyote.
Kwenye tembea tembea nimefikiria nianze kuuza ile miwa ya kukata na kuweka kwenye vifuko.
Kuna mtu...
SOVEREIGN WEALTH FUND
Kwajina lengine huitwa social wealth fund.
Huu ni mfuko wa serikali ambao husaidia kuepuka athari zinazo sababishwa na nchi kuwa na rasilimali kama mafuta, gas, madini nk...
DUTCH DISEASE
Huu ugonjwa ni effect ya resource curse.
Dutch disease ni ugonjwa ambao unatokea kwenye nchi ambayo imebarikiwa na rasilimali kama mafuta, gesi, madini nk
Huu ugonjwa unatokea...
Nauza PS4 CONSOLES mbili, makochi mawili na TV aina ya ONLING inch 32
Habari wakuu...kutokana na mambo kuwa mengi, na hivyo nimeshindwa kusimamia biashara ya PLAY STATION, nauza vitu hivyo kama...
Kama wewe ni mfugaji Basi karibu hapa tuweze kupeana ujuzi wa ufugaji bora pia kutatua changamoto tunazokumbana nazo kwenye mabanda yetu.
Waswahili wanasema
Cheni ina nguvu tu kama kiunganishi...
Personal Fınance,
Hili ni somo muhimu sana ambalo kila mwanadamu angeweza kuliishi basi tungekua tumefanikiwa kuwa na uhuru wa kifedha kwa asilimia kubwa sana.
Personal Finance ni uwezo wa...
Hi there, I hope upo poa wherever you are...
So, last time nili-post a thread kuhusiana na Jinsi ya kuwa freelancer (Be your own boss working from home), nilipata meseji na replies on how to be...
Kwema wadau kuna jambo nimefikiria nikaona niwashirikishe wadau je kwa mikoa ya simiyu shinyanga au mwanza kuna uwezekano wa kubadilishana bidhaa vijijini kwa mikoa tajwa hapo juu.
Mfano nikaenda...
Labda nitolee mfano nachokifanya mm alafu tuchangie ili hili japo liwe sawa.
Mfano.
Mimi mfanyabiashara wa ASALI naishi Kibaha ila ninawateja Tanzania nzima.
Mara nyingi wamekua wakinipigia simu...
Kwa siku za karibuni mtaani tumeshuhudia kupanda kwa bei ya bidhaa mbalimbali kuanzia pembejeo za kilimo (mbolea), sukari, mafuta ya kupikia, mafuta ya vyombo vya moto kwa maana ya dizeli na...
Najua hili sio jukwaa la uchumi ila kutokana na unyeti wa jukwaa hili maana naamini ndio jukwaa linaloongoza kutembelewa zaidi na watu mbalimbali mmoja wapo Mimi
Sasa kama mada inavyojieleza...
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu, nina 1.5m nafikiria kufungua Saloon ya kiume maeneo ya Kimara. Je zipi ni changamoto zake na faida za kufanya biashara ya namna hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.