Because every business is different, Franklin BMS has a variety of POS options to help you take yours where you want it to go. Whether you run a restaurant, sell retail goods, book appointments...
Mtaji ni 25m, pesa ya kodi ya pango iko mbali.
Zifuatazo ndio ideas:
1: Hardware ndogo
2: Duka la jumla (FMCG, dawa ya mswaki, tomato, etc)
3: Biashara ya mbao toka iringa
Karubuni
Kama kichwa kinavyoeleza,
Nahitaji msaada wa line yangu ya Vodacom Mpesa, line hii niliuziwa na mtu miaka mitatu sasa imepta, aliniuzia nikaendelea kuitumia baada ya yeye kufunga biashara ya...
AVERAGE COST
Kama tunavyofahamu neno average ni wastani, na cost ni gharama.
Hivyo Average cost ni kuchukua jumla ya gharama zote fixed na variable cost (total cost) alafu ugawe kwa idadi ya...
Habari za muda huu wana JF, hongereni kwa mapambano ya kila siku kuifanya dunia kuwa bora na salama.
Mimi ni kijana wa kitanzania mkazi wa Dar es Salaam elimu yangu ni kidato cha sita. Awali...
Kitu kilichonileta na kushtuka kama mnakumbuka miaka ya nyuma china ilihodhi sana dola ya Kimarekani nchini mwao ambapo malipo mengi walikuwa wanataka dola na kufikia mzunguko wa dola ukawa upo...
Kwa siku za karibuni mtaani tumeshuhudia kupanda kwa bei ya bidhaa mbalimbali kuanzia pembejeo za kilimo (mbolea), sukari, mafuta ya kupikia, mafuta ya vyombo vya moto kwa maana ya dizeli na...
Hizi ndizo sababu kuu tatu za kuweka akiba
Dharura. Tunaweka akiba kwa sababu tunajua kuna dharura itatokea na utahitajika kuwa na akiba, dharura sio kwamba hazijulikani hapana, usichojua ni...
"Hbr zenu ndugu zangu, naombeni wenye uzoefu au utafit juu ya mafuta alizeti ya rejareja hii biashara inakaaje,, Asante u" (UJUMBE TOKA KWA DADA CHOLETA)
Wapendwa wenye taaarifa kuhusu hii...
Habari wana JamiiForums, naomba msaada wa mawazo kwa aliyewahi kusafirisha nyanya kutoka Moshi, Iringa, Makambako, e.tc kuleta Dar es Salaam naomba anipe mwongozo wa chochote anachokijua kuhusu...
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Prof. Florens Luoga ambaye pia ni kiongozi wa Jumuiya ya Kimataifa ya Huduma Jumuishi za Kifedha (AFI), ametunukiwa tuzo “Central Banker of the Year” ya...
Vigezo vya kuzingatia?
1. Makato nafuu
2. Huduma nzuri za kiofisi
3. Huduma nzuri za Online payment kama POS n.k.
Bank ya kwanza ambayo naomba usiitaje ni CRDB...
Share your experience kuhusu...
MULTIPLIER EFFECT/ RIPPLE EFFECT
Kwenye uchumi tunasema kwamba, ongezeko au punguzo la kiasi flani cha pesa huleta mabadiliko kwenye system nzima ya biashara.
Waswahili husema pole pole ndio...
Habari wana jamvi
Natafuta koboko au hata ngozi yake nchi 6 x9 na kuendelea kama unaye au unayo bei isizidi laki tano kwa koboko mzima au laki mbili kwa ngozi ndefu na safi...
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeipiga marufuku Linkee kutoa huduma ya taxi-mtandao kwa maelezo kuwa haina leseni ya kutoa huduma hiyo.
Aidha, mamlaka hiyo imewaonya madereva...
Wakuu HERI YA MWAKA MPYA.
Nimeelekezwa kuwa kuna tiles za china ambazo ni Grade1 ambazo ni nzuri na zinapatikana kwa bei nafuu maeneo ya Kariakoo. Hivyo naomba mwenye details juu ya hoja hii...
Habarini wapendwa, uzi huu ni mahsusi kwa ajili ya wote ambao waliwahi kuwa na biashara na huenda zilifeli, hivi sasa wamebadilisha ama wanaendelea nazo zikiwa na mafanikio.
Lengo ni kutoa funzo...
Habarini wana jukwaa.
Natumaini mu wazima wa afya.
Naomba msaada tafadhali kwa mlioko dar es salaam, aka MZIZIMA CITY na mnaOpitapita maeneo mbalimbali kama Kariakoo na Posta na Mlimani City...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.