Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naweza kuanzisha biashara ya chips kwa mtajii wa laki tatu? Kama inawezekana ni kwa njia zipi? Na kama haiwezekani biashara gani inaweza kufaa kwa huo mtaji? Msaada tafadhari!
5 Reactions
30 Replies
7K Views
Katika ulimwengu wa biashara wa kisasa, matangazo ya bidhaa na huduma ni moja ya njia bora za kuvutia wateja na kujitangaza. Hata hivyo, kuna mwelekeo mbaya unaozidi kuonekana miongoni mwa...
3 Reactions
12 Replies
183 Views
Kwenye maisha yako avoid sana kuto kuja kutia huruma kwa watu waliofanikiwa... Siku zijazo ndani ya mwaka huu kuna watu watakuja kwa wale walioamua kuwekeza ndani ya Beastborne Ecosystem na...
1 Reactions
12 Replies
398 Views
Huu ndio ulimwengu ambao umebeba Utajiri usipsahaulika ukimiliki Hatimiliki zake... Teknolojia ya Blockchain ni ulimwengu kamili ambao unajitegemea kama unataka kujifunza inatakiwa uuzurie...
2 Reactions
8 Replies
174 Views
Habar wakuu leteni uzoefu wenu,Niko katika biashara ya vinywaji na chakula kwamiaka Sasa ,mshidani wangu yuko mita50 tuko ofisi yangu, Sasa Kila nkifanya ubunifu wakibiashara basi ataiga,nkiigiza...
6 Reactions
28 Replies
688 Views
Salaam ndugu zangu. Nawatafuta jamaa wanaosafirisha bidhaa za shambani, hassan viazi mviringo kwenda nchini Comoros, kwa anayejua naomba anipe information zao. Ninatanguliza shukran.
3 Reactions
0 Replies
61 Views
Kwa wadau wote wa biashara ya dhahabu, hasa wale waliobobea katika ununuzi na uuzaji wa dhahabu kwa wingi (Broker na Dealer). Nimekuwa nikifikiria kuanzisha biashara ya ununuzi wa dhahabu hapa...
1 Reactions
10 Replies
580 Views
kitabu hiki kinaeleza mambo yafuatayo 1.ni jinsi gani masikini wanaweza kuukimbia umasikini kwa kuchukua hatua madhubuti . 2.kinafundisha nidhamu na kanuni za pesa kiundani. 3.kinafundisha jinsi...
3 Reactions
33 Replies
398 Views
Habari wadau! Kama hutumii mbinu hii katika biashara bado wewe sio mfanya biashara bali mjaribu biashara.katika biashara hakuna kitu muhimu kama” BRANDING”,unapoamua kufanya biashara jambo la...
14 Reactions
26 Replies
994 Views
Habari, nimeona taarifa nyingi sana na watu kujiunga katika uwekezaji wa kampuni inayoitwa F.I.C football Club Investments. Je, ni sehemu sahihi au ndo Kalynda mpya na Mr. Kuku Tena!
3 Reactions
32 Replies
20K Views
Wasalam mabibi na mababu, Kama mnavvojua wilaya ya handeni - Mkata kwa sasa ni sehemu inayokuwa kwa kasi sana. Kuwepo kwa Ofisi za Halmashauri Mkata, Hospital kubwa ya wilaya, Lakini yote kwa...
3 Reactions
25 Replies
588 Views
Habari wananzengo. Nina fedha ya kitanzania Tsh 1,000,000/= nataka niiwekeze mahali nipate elfu tano Kwa siku. Nipe mawazo wajumbe lengo langu mtaji upo palepale. Mimi nakuwa muwekezaji yeye...
21 Reactions
157 Replies
9K Views
Tunasema ili uweze kufanyikiwa kwenye kitu chochote kile ni lazima uwe na “Model ya kujirudia inayokupa MATOKEO wanayoyataka walengwa wako kila mara” Yaani… Lazima uwe na kitu, bidhaa, huduma...
7 Reactions
13 Replies
2K Views
Unapambana Biashara Ikue, Lakini Gharama ya Mkaa Inashusha Faida... Una Mpango Gani? Fikiria hivi kwa Kg 5 za Mkaa Utaweza Kupika Chakula Cha Kilo 30 kwa Wakati Mmoja ? Hii Inawezekana Kama...
1 Reactions
1 Replies
98 Views
“AquaGold” ndio samaki sato ni dhahabu ya majini.. Katika ufugaji wa Samaki nchini Tanzania samaki jamii ya sato imeonekana kuwa na tija sana kutokana na kuwa na watumiaji wengi zaidi sokoni, kwa...
1 Reactions
8 Replies
225 Views
Wakuu, nataka niwe napata faida ya Tsh 2000 Kila siku.. niwekeze Tsh ngapi UTT AMIS..? 2000/= kwangu inanitosha kabisa.
5 Reactions
36 Replies
2K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Kati ya UTT AMIS (Unit Trust of Tanzania) na CRDB Bank (kupitia hisa au mifuko ya uwekezaji), chaguo lako litategemea malengo yako ya uwekezaji, kiwango cha hatari unachoweza kuvumilia, na faida...
2 Reactions
16 Replies
435 Views
Kitabu cha "Jinsi ya Kuendelea Kuwa Masikini" kinatoa mifano na ushauri kuhusu tabia na maamuzi yanayoendelea kuwafanya watu kubaki kwenye umasikini. Hiki ni kitabu kinachokosoa mtindo wa maisha...
12 Reactions
36 Replies
480 Views
Wakuu nataka kuja Geita vipi wakuu naweza pata mwangaza kidogo chocjote mtu anafamu? Aidha lodge bei nafuu, mishe nknk
4 Reactions
93 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…