Nakusalimuni wakuu.
Binafsi nina ndoto za muda mrefu sana za kufungua Biashara ya kuuza dawa za binaadamu yani Pharmacy kwa rejareja hapa jijini Dar es salam.
Naomba maoni yenu wakuu, ni kiasi...
jamani kwa aliko katavi au mwenye ndugu uko katavi mpanda mimi niko ukuu mkoani naskia biashara ya mtumba inalipa ukoo katavi sana kwa mwemye kukuwa kuhusu hili naomba anijulishe.. njo dm unijulishe
Ndugu zangu Leo nime ona ni Waletee wale ambao wana angaika na Biashara vyao rituel iyi ya White magic ili kuwasaidia
Na wao pia wa endelee katika maisha
Kuna Watu ambao wana amini kuwa mpaka...
Nimepambana ndani ya miaka 3 nimefanikiwa kupata milioni 6 Sasa nilikuwa naomba ushauri ni taasisi gani ya kibenki au yoyote ile ninayoweza kwenda kudeposit kiasi hicho cha fedha na baadaye kuvuna...
Habari zenu wapendwa nauza korosho za kuokwa na mbichi kutoka mtwara
1kg 20000
1/2kg 10000
1/3kg 5000
Tupo Dar es salaam .kimara baruti
Delivery ipo kila ijumaa kwa gharama ya 2000 tu,mkoani pia...
Wanabodi,
Leo ni Tarehe 7 mwezi wa August, kesho ni tarehe 8 August, siku ya Sikukuu ya Wakulima ya Nane Nane, Tanzania licha ya uchumi wetu kutegemea kilimo, hatujawahi kuwa na Benki mahasusi ya...
BASHIR YAKUB, Wakili.
0714047241
Naishitaki Tigo, Airtel, Vodacom na Halotel. Kwa mujibu ya Sheria Namba 12/2003 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania mashtaka ya aina hii natakiwa kuyaandikia...
Naomba ushauri kati ya kununua soundbar au hometheater ipi itakua ni nzuri zaidi kwa matumizi yangu? Maana nahitaji moja wapi kati ya hizi na sijui utofauti wake! Na no vitu gani vya kuzingatia...
Habari Wanajamvi
Naomba mnisaidie jambo moja kwa watu wenye uelewa na hili swala la mambo ya wakala wa huduma za kifedha katika mitandao ya simu na huduma za Kibank.Mimi nafanya huduma hizi jambo...
Mwenye uhitaji wa kufungua biashara ya uwakala wa Bima, Insurance Agent na umekwama sababu ya cheti cha bima.
Nitafute nikupatie maana na kwangu hakina msaada.
Ndugu zangu niko na gari aina ya Raumu nataka nitumie walau nijipatie riziki naomba mwenye kujua sehemu ambayo ina njia nzuri alafu kuna changamoto ya usafiri anielekeze humu nikafanye hapo kazi...
Naomba kufahamishwa kwa wenyeji wa Dar es Salaam, mashine za kuchajia betri za magari zinauzwa kiasi gani? Zipo za aina tofauti kuna zinazoingizwa toka nje ya nchi na zinazotengenezwa na...
Naomba mwenye ufafanuzi wa namna ya kupata mkopo kuanzia kiwango cha 10m na kuendelea wa biashara na riba yake per one year anisaidie au anipe ufafanuzi ili niweze angalia kama naweza kufanikiwa...
1. Mteja Mwaminifu (Loyal customers).
Hawa ni wateja ambao wanachukua asilia chache sana ya wateja wako wote wa kilasiku. Lakini ndio wanao fanya manunuzi kwa wingi Zaidi katika biashara...
Jambo ndugu zangu Kuna jambo ambalo linanitatiza Saana.
Mimi katika maisha yangu Nina ndoto ya kufunguwa restaurant nyingi katika Bara la Africa iyo ni ndoto yangu
But Kuna jambo ambalo...
Kama kuna mtu aliwahi kuwasikia au mwenye uelewa mkubwa juu ya uwekezaji wa "UTTAMIS" naomba atupe elimu maana nasikia ni uwekezaji mzuri sana kwa malengo ya baadae na haijalishi kipato cha mtu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.