Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kodi ni muhimu sana ili kufadhili shughuli za serikali, huduma kwa umma kama vile barabara na mashule, Usalama wa Jamii, Afya na Mengineyo. Sasa kama hata hayo kuanzia Elimu (Mikopo na Shule...
0 Reactions
5 Replies
514 Views
'Ninahisi' TZS ipo pegged kwenye USD bila sisi kujua. Ninasema hivyo sababu toka TZS ipande thamani ghafla dhidi ya USD basi graph za currencies nyingi duniani zimeonesha TZS ikiongezeka thamani...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Wapendwa wa familia kubwa ya JamiiForums. Waswahili wanasema KIZURI KULA NA NDUGUYO. Tunaingia kwenye zama za biashara na manunuzi mitandaoni, yaani muuzaji na mnunuzi hamfahamiani kabisa bali...
6 Reactions
260 Replies
31K Views
Nyaraka za zabuni (Tender documents) ni mkusanyiko wa nyara-ka zinazoandaliwa na taasisi nunuzi kwa lengo la kuwaalika wazabuni wenye sifa za kushiriki katika mchakato wa zabuni ambapo hatimaye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF tupo hapa kukumbushana mambo kadhaa kuhusu maswala ya uwagizwaji wa magari. Unapotaka kuagiza gari ni vema kujua gharama za kodi linapofika bandarini itakufanya ujipime mfuko...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
MOLD ZA MIKANDA YA GYPSUM Tangazo: Unatafuta vifaa bora vya kutengenezea mikanda ya Gypsum? Chagua bora, chagua Kirame Group! Tunapatikana kwa huduma zote zinazohusiana na gypsum, pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
176 Views
Hello wana JF, chuo hivi punde, na nina pesa taslimu 300,000 je, nifanyie nini? Kuku naweza fuga,ila interview kila mara mkoani
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari humu JF?. Dunia inaenda na wakati kwa kila Jambo. Basi hata maswala ya kifedha pia kutakuwa na mabadiriko makubwa. Siku si nyingi dunia itahamia kwenye matumizi ya sarafu kidigital. Yaani...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Habar wanaJF naombeni ushauri ni crytocurrency ipi nikiwekeza kwa mtaji wa laki moja baadaye inaweza nipatia pesa kwa kipindi Cha miak 2 Naombeni ushauri, na mapendekezo please!!! Asanteni sana...
0 Reactions
3 Replies
714 Views
Ndugu zangu mnaopambana na maisha Leo nawaletea fursa Kwa vijana wanawake na wanaume ambao mna Leseni ya udereva mnaweza kuendesha gari/pikipiki. PIKIPIKI ni ajira acheni maneno ya Lema aliesema...
32 Reactions
168 Replies
20K Views
Biashara ya mbao nahitaji mtaji kiasi gani?
0 Reactions
1 Replies
389 Views
Nimefikiria kuanzisha biashara ya kuchomelea (welding) mageti, milango, madirisha na mambo mengine. Naomba kujua baadhi ya mambo. Kwanza jinsi au wapi kwa kupata mashine na vifaa vingine vya hiyo...
2 Reactions
16 Replies
11K Views
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50. Aisee huyu mtu anaakili...
34 Reactions
255 Replies
8K Views
Bila shaka mko vizuri, Nahitaji kujuzwa juu ya leseni ya kununulia madini, je gharama yake ni shilingi ngapi na niaina gani ya madini?
0 Reactions
61 Replies
21K Views
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu mwaka 2024 mwezi wa nane. Nimesoma mambo ya uhandisi wa mashine zote za Hospital, Kwasasa naishi maeneo ya Nyegezi Mwanza mtaa wa Nyamazobe. Nina kiasi cha Tshs...
4 Reactions
19 Replies
862 Views
Nimepata fursa ya kufika eneo la MAGHALANI -MTWARA. Eh bwana eeh nilichokishuhudia imenifanya nijiulize mara mara mbili mbili kwa nini MTWARA mpaka sasa ipo nyuma kimaendeleo namna hii. Yani...
15 Reactions
225 Replies
6K Views
Bihashara ya mtandaoni imekuwa kubwa sana lakini sio watanzania wengi wanajali kuhusu hilo shida ni nini hasa?
2 Reactions
2 Replies
210 Views
Eneo linauzwa lipo Goba njia nne barabara ya kuelekea Madale lina faa sana kwa ajili ya kujenga sheli ya mafuta au Kujenga maduka makubwa. Eneo lina ukubwa wa sqm 4800 na ndani ya eneo kuna...
2 Reactions
6 Replies
360 Views
Wadau, nimeanzisha shamba la nanasi heka 5, three years ago, maeneo ya Misigi( 17 Km from Chalinze). Sasa lina maximum production. Changamoto yangu ni soko. Nahitaji masoko ya Arusha, Moshi...
3 Reactions
12 Replies
517 Views
Back
Top Bottom