Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Mfanyabiashara mashuhuri wa Kitanzania, Edhah Abdallah, kupitia kampuni yake Amsons Industries (K) Ltd, amefanikisha ununuzi wa asilimia 96.4 ya hisa milioni 362.96 za Bamburi Cement, kwa jumla ya...
1 Reactions
5 Replies
328 Views
Habari wakuu 4G Router TP Link Archer MR400 inauzwa Bado mpya imetumika muda mchache tu.. imenunuliwa mwaka huu Tarehe 8/02. Imenunuliwa 220,000/= risiti ipo. Njoo na OFFA yako CALL au WhatsApp...
2 Reactions
3 Replies
729 Views
Habari Wana JF Naomba ushauri kwa wenye uzoefu wa biashara ya vitenge hususani jijini Dar es Salaam.
0 Reactions
1 Replies
218 Views
KARANGA KUBWA KUTOKA MALAWI Bei 25kg 105,000/= Maongezi yapo kidogo zipo tani 300 Location Moshi Kilimanjaro Namba 0682 761740. Karibuni wateja.
2 Reactions
7 Replies
320 Views
Jamani nataka kufanya biasha ya kuuza ving'amuzi vya azam je, ni wapi naweza kuvinunua kwa bei ya jumla? Naomba msaada mwenye kujua
0 Reactions
2 Replies
257 Views
Naomba mchanganuo wa gharama za kupata mashine ya kukoboa na kusaga fully Kwa DSM kwa mahitaji ya kijijini hasa iwekwe mkoa wa Tanga,karibuni wadau wazoefu kwa ushauri mnipe mwanga wa upatikanaji...
1 Reactions
3 Replies
576 Views
Ningependa kushare nanyi sababu mbalimbali zinazowafanya wafugaji wengi wa samaki kutofanikiwa katika hii biashara yenye Tija na Rahisi kufanya. Huu ni mwaka wangu wa Tano toka nimeanza kufuga...
26 Reactions
64 Replies
46K Views
Wakuu kwema? Mm sijambo Nilikuwa natafuta scientific reason ya kubadili mawazo yangu ya kupeleka biashara maeneo ya kusini na kuchagua eneo jipya la kupeleka biashara. Mpango wa biashara ni...
2 Reactions
14 Replies
462 Views
Ninataka nikatafute CD nianze biashara ya kuweka movies, nisaidieni majina ya movies kali sana za siku za hivi karibuni zinazovutia sana watu wengi. Aksanteni nyote!!
0 Reactions
9 Replies
396 Views
Salaam, nikienda direct kwenye point nilikua nahitaji baiskeli ya kuchaji design kama hii, sio lazima iwe ivo ivo kama kwenye picha ila iwe ni ya kuchaji na unaweza ukanyonga na pedeli , nipo dar...
4 Reactions
13 Replies
541 Views
Ni nini tofauti kati ya Majina haya yanapotumika katika baiashara mbalimbali: Kampuni, Entreprises, Investiment, groups, Limited (Ltd) Nini Faida yake katika biashara Utaratibu wake wa usajili...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Wakuu, Si wote tunaweza kwenda China kufuata mizigo hasa hii midogo midogo ya matumizi ya kawaida na pengine biashara. kwa miaka takribani mwili nimekuwa nikiagiza kupitia hawa jamaa wanaitwa...
2 Reactions
8 Replies
567 Views
Nenda zako hadi Karume pale. Hakikisha saa kumi kasoro inakukuta Karume. Mida hiyo wananafungua mabaloo ya mitumba grade one. Viatu ambavyo utavipata kwenye maduka ya Mwenge na kinondoni kwa...
68 Reactions
76 Replies
6K Views
Wakuu msaada kwa wale wanaofahamu faida ya biashara ya kuuza nyama ya ngurue ikoje na vip changamoto zake nina mtaji wa laki 2. Vifaa ninavyo. Asanteni.
9 Reactions
35 Replies
2K Views
Ndugu zangu, natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi.
8 Reactions
97 Replies
2K Views
Habari wakuu, Huwa naisikia UTT Amis kupitia mifuko yake ambayo ipo takribani sita, wekeza maisha, watoto fund, umoja fund, bond fund etc. Je, kuna mdau yoyote ambae ni member wa UTT anipe...
10 Reactions
462 Replies
124K Views
RAIS MWINYI: KUSHUKA KWA DOLA KUTAPUNGUZA BEI ZA BIDHAA. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kushuka kwa thamani ya dola nchini ni faraja kubwa...
0 Reactions
1 Replies
234 Views
Mm n kijana wa kitanzania, npo maeneo ya Nyegezi Mtaa wa Nyamazobe, ninahitaji kufungua biashara ya kuweka movies na nyimbo mbalimbali, 1. Naombeni ushauri wenu wadau kuhusu vitu vya msingi...
0 Reactions
3 Replies
495 Views
Back
Top Bottom