Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habar wapendwa humu JF Bila kupoteza muda katika pulukushani za maisha kuwa magumu kuna wakati unaona the only solutions ni kuchukua mkopo katika taasisi za fedha mbalimbali ili kufungua ofisi...
167 Reactions
524 Replies
136K Views
FURSA YA USHIRIKIANO: NATAFUTA BIDHAA ZA KUUZA KWA MAKUBALIANO YA MALIPO BAADA YA MAUZO Maelezo: Habari, Jina langu ni Ramadhani Juma Kimweri, mjasiriamali mwenye nia ya kuendeleza biashara kwa...
4 Reactions
11 Replies
576 Views
Habari zenu wakuu! Ninatumaini mko pouwa asee, ninashida moja juu ya ufahamu wangu juu ya Bima ya Mkopo ambao mtu akichukua mkopo Bank. Hii Bima ya mkopo imekaaje au sheria inasemaje kuhusu hilo ...
0 Reactions
5 Replies
234 Views
Wakuu hii ni mada maalum ya kupeana mbinu, updates na kushea uzoefu kwenye biashara hizi za minadani au magulio. Nina plan na mikoa ya nyanda za juu kusini kibiashara. Nataka kupeleka mitumba...
8 Reactions
37 Replies
1K Views
Are you serous with your business? You’re provider of quality Service Ofcourse but nobody recognizes you indeed. Why don’t you portfolios your hand work online on #bishoo . It’s free to list your...
0 Reactions
0 Replies
103 Views
SU VASTIKA SOLAR INVERTER SU-VASTIKA Inverter kutoka India zenya ubora wa hali ya juu Kwa sasa zinapatikana dukani kwetu zipo size kwanzia 850VA hadi 5500VA Warranty ipo.. karibu sana ndugu...
1 Reactions
11 Replies
437 Views
Habari za muda huu waungwana. Kuna hii gari ndogo inayo fahamika kwa jina la Daihatsu Mira (year 2007/2008). Nimeipenda jinsi ulaji wake wa mafuta ulivyo mdogo kulinganisha na gari nyingi ndogo...
5 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari za asubuhi waku, Niende moja kwa moja kwenye hoja. Tuna mradi wa ubunifu wa kufuga wadudu kwa lengo la kubadilisha taka hai kuwa bidhaa zenye thamani kama mbolea na chakula cha mifugo...
0 Reactions
8 Replies
211 Views
Habari za mda huu Nina million 1200000 wazo la biashara nililolipata ni kununu a pikipiki ya laki 8 alafu pesa inayobaki ninunue nguo za ndani za wadada na vigauni vikali niwe nawatembelea...
7 Reactions
27 Replies
597 Views
Hi Great Thinkers. Hii dunia imejaa distractions amabazo sometimes zinaweza kukupotezea malengo y'ako. Sasa Kwa wale wanaojitafuta na hustlers unazani ni vitu vipi vimekupotezea malengo.yako...
9 Reactions
29 Replies
808 Views
Habari wasakatonge wenzangu. Leo asubuhi nilikiwa ghetto maeneo ya Troyes street hapa jijini Pretoria. Nikaona isiwe tabu ngoja nizame mitaa yangu ya zamani nijaribu kicheki na washkaji wa...
7 Reactions
54 Replies
10K Views
Habarini nina shida na dawa za malaria ALU au maarufu Mseto. Mwenye nazo anicheki ajipatie hela yake ya kula mwaka mpya! 0672473087
1 Reactions
3 Replies
173 Views
Kariakoo ni fursa kubwa ya kiuchumu kwa Tanzania. Soko hili linazihudumia nchi jirani za EA na za kanda ya kusini kam Congo, Zambia, Rwanda, Malawi, Zimbabwe n.k Kama tungekuwa tunaliona hili kwa...
6 Reactions
11 Replies
462 Views
Kama nilivyosema ninataka nianzishe biashara ya ps ama Playstation wengi wanavyoiita ila kumekuwa na makampuni mawili yanayoproduce deki tofautitofauti za games ambayo ni PS ya Sony na X BOX ya...
2 Reactions
9 Replies
327 Views
Wakuu Naomben mawazo yenu, mimi sihitaji zile official business sijui unafungua duka unauza, hapana Ningependa nipate ile michongo flan unakuta unaenda labda kununua bidhaa sehem flani na...
12 Reactions
61 Replies
2K Views
Wazee mpooo! Hiz raba mara ya mwisho tulipata tenda mwanza tukazituma. Kali sana na kuzugia zugia zinafaa Size kuanzia 32 mpaka 43 Boksi zinakaa 24 na kila moja inauzwa elfu 10 kwa mchina so...
34 Reactions
436 Replies
19K Views
Poleni Na majukumu mazito ya hapa na pale wakuu. Mimi nauhitaji wa Playstation 4 aina ya slimu kama kuna mdau anapajua mahali ambapo Consoles hizo orijino zinapouzwa anisaidie bei isizidi laki 5...
2 Reactions
23 Replies
569 Views
Blue Ocean Strategy ni nini? Blue Ocean Strategy (Mkakati wa Bahari ya Bluu), ulioanzishwa na W. Chan Kim na Renée Mauborgne, ni mbinu ya ubunifu wa biashara na ukuaji. Badala ya kushindana kwenye...
0 Reactions
0 Replies
236 Views
DAVID KIHENZILE: SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA BANDARI KATIKA MAZIWA MAKUU Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile amesema kuwa Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia...
0 Reactions
0 Replies
104 Views
Hello everyone! I am a Google Analytics professional. I specialize in helping businesses optimize their online presence through data-driven insights. I offer services such as website analytics...
2 Reactions
3 Replies
168 Views
Back
Top Bottom