Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari za wakati huu; Mkoa wa Tabora ni mooa ulioko Karibi na Eneo la Magharibi mwa Tanzania.Ni mmoja katika ya Mikoa ya mwanzoni kabisa kukua.Ni mkoa wenye idadi kubwa sana ya watu ukiwa mkoa wa...
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Wadau karibuni tutumie fursa za biashara hapa mjini MASERU bidhaa za; Vitenge, Batik, mashuka ya kimasai na mfereji maringo maana kina dada toka Ethiopia, Arusha, kigali wamejaa hapa wanapiga...
10 Reactions
71 Replies
15K Views
Imagine nmehitimu chuo, nikakosa kazi si kwa kupenda, sababu kubwa ni kutokua na uwezo wa kusafiri kwa ajiri ya interview hasa ktk mikoa ya mbali Nmejichanga na kupata kihekali kimoja na kufanya...
5 Reactions
37 Replies
953 Views
Wakuu habari? Kuna watu nilikuwa nachat nao wako huko nje, wakawa wananishawishi niingie kwenye hii biashara; wao watakuwa wanachezesha akaunti, na baada ya kama siku saba kuna gawio la faida...
1 Reactions
9 Replies
744 Views
Kuna mtu kanishirikisha Hii ishu ya kuitwa Royal Q , kwa maelezo yake kaniambia Royal Q ni Trading Robot ambalo linatrade sarafu za kidigitali cryptocurrencies , Kinachofanyika mtaji unaweka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ifuatayo ni Orodha ya masoko ya Mitaji/Financial markets ambapo unaweza ukafanya uwekezaji 1. HATI FUNGANI Ni soko ambapo muwekezaji anakopesha fedha kwa kipindi cha mda flani huku akipatiwa...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Happy New Year, Mods tafadhari musidelete post yangu. Tarahe 24 Dec 2024 nilikuwa nalipia Netflix Subscription kwa kutumia Mastercard ya MIXX BY YAS lakini kwa bahati mbaya ikawa rejected...
2 Reactions
21 Replies
578 Views
Habarini za leo wanajamii, Leo nimeona kidogo nitumie fani yangu ya ushauri wa maswala ya biashara na uchumi kuweka mambo muhimu katika uendeshaji wa biashara kwa nchi yetu pendwa ya Tanzania...
71 Reactions
448 Replies
140K Views
Bodi ya Wakurugenzi ni chombo nadi ya kampuni au shirika chenye lengo la kusimamia maslahi ya wanahisa/wanachama kwa kuhakikisha kwamba kampuni au shirika linaendeshwa kwa kufuata misingi na...
0 Reactions
1 Replies
148 Views
Vijana wengi tumekuwa wavivu na waoga hasa linapokuja suala lautafutaji watu wengi wanaamini kufanikiwa kupitia njia za ndugu zao au walizotumia jamaa zao Kuna kitu nataka nikushauri kijana...
11 Reactions
64 Replies
24K Views
Submeter za kisasa kata Umeme na Electrical Installation.
1 Reactions
37 Replies
859 Views
Kuna uzi niliweka humu jamiiforums Nilimruhusu msaidizi auze bidhaa zake ndogo ila zinamlipa kuzidi mshahara wake. Je, nifanye maamuzi gani? Summary / Muhtasari: Msaidizi aliniomba aanze kuuza...
24 Reactions
70 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Kwa wakazi wa jiji la DSM nadhani mtakuwa mnaelewa kuhusu ‘si-so’ or see saw. Sasa, nina wazo la kuanzisha plant ambayo inaweza ku-recycle products za chupa/glass, kama mnavyojua...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Mchanganuo wa biashara ya supu ya pweza Pweza ni mazao ya bahari ya Hindi. Samaki wa aina tofauti, pweza, ngisi, dagaa kamba na kadhalika ni baadhi ya vinavyopendwa na wakazi wengi. Biashara...
4 Reactions
56 Replies
20K Views
Habari mazee ,kitambo sijapost business ideas. Leo nimekuja na wazo moja hivi naona linakuja linakata nikasema niforce kingi nilitoe hivyo hivyo tu, miezi kadha nyuma nilipata hamasa ya kutaka...
15 Reactions
24 Replies
2K Views
WAZIRI MAVUNDE ASIMAMISHA UCHIMBAJI MADINI KWENYE MTO ZILA KIJIJI CHA IFUMBO, WILAYANI CHUNYA-MBEYA ▪️Aelekeza shughuli za uchimbaji madini kusimama kipindi hichi cha Masika kama ilivyoelekezwa...
0 Reactions
0 Replies
151 Views
Kuanza biashara na mtaji wa TSH 200,000/= katika mji kama Dar es Salaam inawezekana kwa kuchagua biashara ndogo ndogo ambazo hazihitaji mtaji mkubwa. Hapa kuna mawazo ya biashara ambazo unaweza...
9 Reactions
6 Replies
8K Views
Teknolojia ya AI na drones inaleta mapinduzi makubwa katika sekta ya kilimo cha misitu, ikilenga kuongeza uzalishaji kwa njia endelevu huku ikilinda mazingira ya asili. Kwa kutumia teknolojia...
0 Reactions
0 Replies
81 Views
Kwakuwa watanzania wengi wajasiriamali bado ni wageni wa masuala ya kifedha na mikopo, sio vibaya tukaelimishana kuhusu huchi kitu. Mazingira ya biashara Tanzania sote twayajua, unaweza lala una...
6 Reactions
49 Replies
2K Views
Husika na kichwa hapo juu, naomba kufahamu wapi nitapata connection kutoka kwa wachina viwandani au kuagizia china nipate kununua pikipiki kwao moja kwa moja bila kwenda madukani kwa bei ya...
4 Reactions
8 Replies
831 Views
Back
Top Bottom