Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naomba kusaidiwa jinsi ya kuingia hazina portal nmejiresta ila baada ya hapo kila nkitaka kuingia inagoma inanambia access denied na wananambia invalid login nkijarbu nkuforgot password ili nianze...
1 Reactions
0 Replies
192 Views
Nina mtaji wa laki na nusu, naomba kujuzwa wapi wanauza mashuka ya mtumba kwa bei rahisi ninunue kwa lengo la kuja kuuza mtaani kwetu.
2 Reactions
13 Replies
495 Views
Hadi sasa hivi vijiti vya kuchokonolea meno (toothpik) vinatoka China na maeneo mengine ya huko Asia, sisi hatujaweza kuvitengeneza hapa licha ya kuwa na malighafi tele ya kutuwezesha kutengeneza...
3 Reactions
14 Replies
282 Views
Leo tuzungumze kidogo kuhusu mfumo wa malipo unaowekwa kama kigezo cha biashara kufanyika. Wateja wako makini wanajiuliza, “Letter of Credit inaweza kutumika?” Hii ni jambo la msingi kwa...
4 Reactions
3 Replies
328 Views
Habari wanaJF NInahitaji mtu mwenyeji wa zanzibar, awe anauelewa kidogo na taaratibu za kiserikali zanzibar. Call 0693410889
1 Reactions
3 Replies
132 Views
Napenda kuwasanua vijana na madini haya Mikoa ya shinyanga na wilaya zake pamoja na tabora na wilaya zake baadhi pia umeanza uvunaji wa mpunga tokea mwezi wa4 mwanzoni mpak kuendlea!! Manunuzi...
12 Reactions
50 Replies
6K Views
Wakuu habari. Katika kujiongeza nataka nianze biashara ya kununua nafaka hasa mahindi, mpunga na maharage na kuja kuuza kwa jumla Dar. Naombeni mwongozo kwa anayejua masoko makubwa nayo weza...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
kwa wauza mitumba popote mlipo naomba elimu nianze na nguo gani zinazo toka haraka na zabei ya chini naomben ushauri
1 Reactions
6 Replies
307 Views
Do you want to start any of the following 70 businesses? • Precast Concrete Products (Cabro) Making • Maize Milling • 15 Unique & Untapped Ideas • Quarry • Motorcycle Spare Parts Retail •...
1 Reactions
0 Replies
120 Views
Mafanikio Yako Yanaanza Hapa – Usiache Fursa Hii Ipotee! Unakabiliwa na changamoto zinazokufanya ushindwe kufurahia maisha au kufikia malengo yako? Niko hapa kukusaidia! 🔥 Kwa Afya Yako ya...
3 Reactions
11 Replies
384 Views
Nipo Kibaigwa Dodoma natafuta mtu ambae yupo dar es salaam au Morogoro ambae atakua ananiuzia na kunitumia kwa njia ya basi bidhaa zifuatazo 1. Bahasha no. 3- original na ya kawaida 2. Blubendi...
5 Reactions
15 Replies
630 Views
MECHANICAL KEYBOARD BLUE KEY K68 price 120,000/= Wired Call or WhatsApp 0692562259 📍Kijitonyama opposite shishifood Delivery available
0 Reactions
0 Replies
131 Views
Habari zenu wapendwa. Samahani mimi nina kero ya mlipuko wa ushuru wa wafanya biashara malipo ya ushuru yamekuwa mengi halafu hayana kichwa wala miguu sijui wenzangu mnalionaje ushuru ulioniuma...
7 Reactions
10 Replies
413 Views
Kwema Wakuu! Nimemsikia ndugu yangu ngara23 akilalamika mwezi mzima wa Tisa, na sasa tumeingia mwezi wa Kumi bado anaendelea kulia. Kariakoo mawinga kabla mteja hajafika tayari wanakuwa na bei...
41 Reactions
244 Replies
8K Views
Habari Wana jamii forums Mimi ni kijana wa kitanzania na pia ni muhitimu wa chuo kikuu Cha Iringa. Nilipokuwa masomoni nilibahatika kukutana na Idea mbalimbali za kutafuta pesa na hii yote ni...
7 Reactions
432 Replies
19K Views
Habari za humu Wana familia,Mimi ni mgeni humu ndani,Nina mtaji mdogo Sana kima cha laki3 ndoto yangu nifanye biashara ya kununua na kuuza nguo na viatu vya kike,,nimejaribu za kutembeza napata...
2 Reactions
0 Replies
327 Views
TRANSPORTER CAR RENTAL. 1.Our company dealing with hiring luxury cars for *Tours trips *Wedding *Sendoff *Offices trips *Airport trips pickup and drop off *Funeral *Private uses For more...
1 Reactions
5 Replies
710 Views
Kabla sijakwambia ni STRATEGIES gani ningeenda kuzitumia ili kujenga hiyo brand… Naomba kwanza nikwambie maana sahihi ya BRAND ili uweze kunielewa vizuri huko mbele. Huwa napenda kuelezea brand...
8 Reactions
16 Replies
1K Views
Watalawa hawawaambii ukweli huu kwamba Hizi aina ya Idea/wekezaji/biashara zetu wabongo hazitupi nafasi hata kidogo ya kuja kushindana huko Duniani one day yes. Huwezi kuja kushindana Duniani...
16 Reactions
30 Replies
832 Views
Wakuu mimi ni afisa mtendaji Nimepangiwa kazi huko Korogwe vijijini kijiji cha mpale, Huku nilipo nina biashara zangu bado changa , nataka kuihamishia huko korogwe saiv nipo Dodoma. Natamani...
1 Reactions
18 Replies
407 Views
Back
Top Bottom