Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Biashara ya kununua na kuuza ardhi ni mojawapo ya njia bora za kuingia katika sekta ya uwekezaji wa mali isiyohamishika. Hata hivyo, kwa mtu mwenye kipato kidogo, changamoto ya mtaji inaweza...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
anahitajika exporter coffee
0 Reactions
1 Replies
145 Views
Today's 2nd withdrawal 🔥 MPYA KABISA! FURSA YA KIPEKEE YA KUWEKEZA! 🔥 Kuna platform mpya na ya kibunifu inayokupa nafasi ya kuwekeza na kufaidika! 🚀 Hii ndo nafasi yako ya kuanza mapema na...
2 Reactions
5 Replies
426 Views
Wakuu habari, ni muda gani naweza kuuza vipande kwenye mfuko wa UTT liquid Fund au mfuko wa Ukwasi, je naweza kuuza hata baada ya mwezi mmoja au miwili baada ya kununua ama ni mpaka meiezi mitatu...
0 Reactions
4 Replies
322 Views
Wahuni wanachakachua sana maji ya chupa ya Kilimanjaro. Mimi nina zaidi ya mwaka mzima sinywi maji ya Kilimanjaro. Maji yangu pendwa kwa sasa ni Dew Drop. Je wewe unakunywa maji gani?
10 Reactions
98 Replies
3K Views
Salaam wakuu, Naomba wakuu mwenye uzoefu na biashara ya vyuma chakavu anieleweshe jinsi ya kupata vibali kimoja baada ya kingine na leseni pamoja na bei zake. Kwa mfanyabiashara mdogo tu mwenye...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza diesel iliyothibithswa na yenye Vibali vya EWURA, nauza Lita 2600 tshs Sharti: Ili tufanye biashara lazima uwe unanunua kuanzia kuanzia Lita elfu 50 kuendelea Eneo: Dar-Es-Salaam...
3 Reactions
3 Replies
346 Views
Nimeona huko mtandaoni wataalamu wakielezea sababu za Tsh kuimarika dhidi ya dola. 1. Wanadai kuwa kwa sasa ada zote za utalii zinalipwa kwa Tsh. Kwa hiyo watalii hao wanatakiwa kutumia dola...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Mchele super kabisa Bei:2800 Location: chamazi jirani na uwanja wa azam complex 0682528220 Delivery ipo
2 Reactions
0 Replies
147 Views
Providing strategic solutions to projects in the following areas: 1) Education (primary, secondary and intermediate colleges providing various certificates) 2) Community based programs or...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Hello wanjamii Kwa mtu yeyote ambaye anafaham sehem ambayo ipo sehem nzurii Kwa car wash hapa JIJINI DAR es salaam anifahamishe. Kuhusu vigezo Nataka iwe sehem ambayo ipo road inafikika kirahis...
5 Reactions
9 Replies
445 Views
Wadau wenzangu hapa JF kina Babalao na wengineo naomba mnisaidie ili niweze kuanzisha Microfinance yangu Dsm ninatakiwa niwe na nini, na utaratibu gani nifuate. WADAU WANAOHITAJI UFAHAMU WA...
0 Reactions
287 Replies
135K Views
Bulk SMS ni huduma ya kutuma ujumbe wa maandishi kwa watu wengi kwa wakati mmoja kupitia simu za mkononi. Huduma hii inatumiwa na makampuni, mashirika, au hata watu binafsi kutuma ujumbe mfupi kwa...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Habari za Leo Wana jamvi. Hivi simu hizo wanazotuambia wanaagiza from Dubai Korea Japan n.k hivi Zina uhai wowote au tunapigwa tu. Nataka ninunue Samsung note 10 au Aquos R6 hiz wanazosema ni...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Nataka niweke kama milioni 40 hivi kwa miezi mitatu, je itawezekana? Ni mfuko upi mzuri?
0 Reactions
8 Replies
466 Views
ᴅᴀꜱ ᴍᴏʙɪʟᴇ ᴇꜱꜱᴇɴᴛɪᴀʟs ᴍᴀᴢᴏᴇᴢɪ ꜱᴏꜰᴛ 📞0622962627 ɪᴘʜᴏɴᴇ ʙʀᴀɴᴅ —-ɪᴘʜᴏɴᴇ x ɢʙ 64 ʙʜ 100 ᴄʟᴇᴀɴ ᴅxʙ ᴘʀɪᴄᴇ 450,000/=✅ ——ɪᴘʜᴏɴᴇ x ɢʙ 64 ʙʜ 100 ᴄʟᴇᴀɴ ᴅxʙ 400,000 ɴᴏ ꜰᴀᴄᴇ 💔✅ ——ɪᴘʜᴏɴᴇ 11 ᴅᴍ ʙʜ 100ᴘʀɪᴄᴇ...
0 Reactions
6 Replies
840 Views
Wakuu hiv karibuni Shilingi ya Tanzania inaimarika Sana dhidi ya Dola. Leo jion ilikuwa USD 1 = Tsh 2375 Lakin Kwa nionavyo kuimarika huku ni Kwa muda Tu na January mwishon au February USD 1...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Kuna watu nikiwemo na mimi wameagiza mizigo yao toka July hadi sasa hivi November hawajapokea na matumaini kama watapokea au imepotea haijulikani, huduma kwa wateja hawapokei simu au majibu...
12 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wakuu. Kwenye Jamii yetu watu wengi ni watumwa wa pesa yaani unakuta mtu anafanya kazi kwa bidii sana hadi anakosa muda wa kukaa na familia yake yote sababu ya pesa. Sisemi ya kwamba...
3 Reactions
23 Replies
821 Views
Je, wewe ni mjasiriamali na unajiuliza ni vipi utaongeza ubora wa bidhaa zako na kuongeza mauzo. Leo Digital Sprayer tunalo jibu la maswali yako. Tumekuletea huduma ya uchapaji(printing) na...
0 Reactions
1 Replies
172 Views
Back
Top Bottom