Clinical officer ni daktari mwenye elimu ngazi ya diploma. Nina maswali nataka kujua kuhusu clinical officer
1) Je anaweza kufungua duka la madawa (Pharmacy) au mpaka awe na cheti cha mfamasia...
Habarini wanajukwaa, natafuta dry ice kwa ajili ya kuhifadhia lambalamba zangu kuna mahali nimealikwa nikauze. Nina frezer lakini ni kubwa haliwezi kuingia kwenye usafiri wangu na kukodisha...
Wapendwa habarini za wikiendi.
Nina viatu vya mpira wa miguu ila vimeharibika sole, nimejaribu kutafuta sole kwa ajili ya kufanya replacement bila mafanikio.
Nimetafuta online shopping...
Habari wakuu.
Naomba msaada wapi ntapata balo la nguo za watoto na je biashara hii changamoto zake ni zipi? Na niwe na mtaji kuanzia ngapi.. Natanguliza shukrani
NB: Nina msingi kama 150,000...
Ndugu wana jamvi Naomba tumsaidie huyu graduate kuhusu njia anazo weza kutumia kupata mtaji wa kuendesha line zake za UWAKALA m pesa, tigopesa na airtel money.
Naomba usipite bila kusema kitu cha...
Habari za uzima wa JF
kwa anae elewa taratibu za kufungua Tuition/school ya kufundisha forex hapa TZ naomba anielekeze please.
Sitaki povu nataka taratibu kama haujuwi pta kushoto
Watu wengi sana wamekuwa na wana hamasa ya Kujiajiri na hii ni kutokana na sababu mbali mbali za Ikiwemo Mabadilija ya kichumi, Watu kutaka kuongeza vipato vyao na pia Ukosefu wa Ajira.
Kuanzia...
1. DSE have to publish graphic monthly performance, yearly performance and even 5 years performance (Presidential years performance) with elaboration in a Government Gazette or TV , This is very...
Habari wakuu, kutokana na hali ya biashara kuwa ngumu imetulazimu baadhi ya wafanyabiashara kufanya biashara zaidi ya moja kwenye jengo moja ili kuongeza kipato na kupunguza gharama za uendeshaji...
Wakuu habari za muda huu,ni wapi naweza pata chimbo la ubuyu huu uliopikwa kabisa, wanaouza pale Kariakoo sokoni, ule sio ubuyu wa babu ISSA, Ila ukiwauliza wanasema ubuyu wa babu ISSA...
Sijui kama niko sawa ninachokiona kwenye soko la hisa la Dar es salaam kwamba tangia mwaka 2015 soko hili limeenda likishukaa taratibu nikimaanisha bei za share za makumpuni karibia yote. Yaani...
Wadau
Natafuta mtu wa kusimamia biashara ninayotaka kuanzisha ( bidhaa ndogo ndogo) , awe na sifa zifuatazo;
1. Awe na uzoefu na upeo wa kufanya biashara hasa za bidhaa ndogo ndogo
2. Awe na...
Hawa ni watu ambao yani kila baada ya siku kadhaa wanakuja dukani ila hawanunui chochote zaidi ya kukuhangaisha.
- Wanataka bidhaa za juu, utapanda ngazi
-Utaenda hadi duka lingine kutafuta...
Habari wadau..
Naombeni msaada wa ushauri..
Nimepata mgao wa urithi kama milion 30 hivi.... sitaki kuzitumia now na nipo chuo bado nasoma.
Nafikiria kuziwekeza kwenye non risk investment...
Hellow. Mambo vipi wanaJf. Leo nimekuja Tena.
Nimepata wazo la kufanya biashara ya pikipiki used kutoka Dar kwenda mkoani.
Naombeni kupata changamoto, faida na namna nitakavyopata hizo pikipiki...
Wapendwa Mtu ukiwa na mtaji unaotosha kununua pikipiki ili uwe unapata kamisheni ya kila siku na kuwekeza kwenye saloon uwe unapata kamisheni ya kila siku. Je upande ipi una faida na risk ndogo au...
Msaada jamani nahitaj kuagiza Kifaa flan hv kidogo kutoka China ila kuna mtu alinambia lazima niwe na S.L.P yangu ili mzigo wangu ufike hapo. Sasa mimi sina hiyo S.L.P na nahitaj kuagiza. Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.