Nairobi, December 04th, 2017, By Pascal Mayalla Trademark East Africa launches women and trade drive.
Taasisi ya TradeMark, East Afrika, imezindua mpango kamambe uitwao Women and Trade Drive...
Habari zenu wakuu na poleni na majukumu yenu ya kazi.
Nianze kwenye maada husika kuna wazo nimelipata nataka kuanzisha ufugaji wa kuku wa kienyeji mixer kanga eneo ninalo nimelinunua mwaka jana...
Habari waheshimiwa.
Ndugu yenu apa nina swali nataka kujua kuusu site za BIASHARA mtandaoni kama vile Kariakoo mall nk.nataka kujua nazo zinalipiwaa?? Na ni Kiasi gan??
Au la bidhaa inayouzwa...
Habari waheshimiwa
Kama kichwa Cha habari kinavyosema nataka kufungua online business ambayo nitadeal hasa na all computer na vifaa vyake km ram na disk,flat screen nk..
Na mimi nipo DSM...
Habari wakuu!
Aise Kwanza niseme tu kuwa maisha Ni magumu mno Tena kwa upande wa wasomi. Dogo kamaliza chuo kapewa kianzio ila Sasa hivi hata mwezi tu hajamaliza tayari mtaji kaumaliza.
Ombi...
Habari wakuu,
Nafikiria kuanzisha biashara ya kukopesha kama ka microfinance kadogo lakini nibaki na dhamana.
Kwa mfano una simu au laptop unakuja unaicha ofisini (baada ya kujaza form ya...
Naomba kufahamu mambo ya kuzingatia unapohitaji kununua kizima moto (Fire extinguisher) kwa ajili ya nyumba ya kulala wageni (Guest house).
Mfano:
Kimoja kinatosha kwa nyumba yenye vyumba...
Watu wengi sana wamewahi peleka documents zao ili wapate uwakala wa MPESA, TIGO PESA NK. Lakini TILL zao zilipotoka waliuziwa watu wengine. Maana now unachukua documents zile zile unaambiwa Till...
Habari wana JF,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26, ni mhitimu wa Shahada ya Electrical & Electronics Engineering. Katika moja ya Chuo Kikuu hapa mjini Dar es Salaam kama ilivyo kawaida ya...
Natafuta eneo lililochangamka kiasi kufanyia biashara ya Mobile money, kama ww ni owner au unaweza kuniconnect na owner, nitashukuru.
Mm ni mkazi wa Temeke so naprefer maeneo around Temeke...
Hii kitu huwa najiuliza sana kwanini wamasai wanapenda zaidi biashara ya kutembeza sandoz (sandals) kuliko biashara zingine?
Siku za nyuma nilikua naamini wao ndio wanazitengeneza kumbe sivyo nao...
Habari wakuu,
Juzi asubuhi Jumamosi tarehe 26/05/2018 nilikua naangalia kipindi cha Clouds 360 on Saturday kinachoendeshwa na Siza na Gibson George.Mheshimiwa balozi wa Tanzania Comoro...
Habari wakuu narudi tena kwenu. Nipo kwenye process ya kuanzia catering services. Nilikua naomba mwenye ujuzi anisaidie nataka kuwa nanunua nyama kwa bei rahisi machinjioni hivyo naomba kujua...
Wakuu naomba ushauri wenu.
Nawezaje kuokoa walau pesa kadhaa kutoka ktk mshahara wangu? Ninapokea laki sita na nusu tu na nipo single sijapanga ninaishi home.
Home hawanitegemei hata kwa...
Ndugu wanajukwaa, kama kuna mtu au kampuni inayopima maeneo ya dhahabu nahitaji mawasiliano, nahitaji kujua kiwango cha dhahabu, umbali na taarifa zingine za kijiolojia katika eneo husika. P...
Being a man in a society is not easy. Many things are expected of you. You need to take good care of your family and more so be a role model. Being a man needs one to at least have some money that...
Wasalaam wakuu wa jamii forum. Kipekee kabisa nipende kutoa pole kwa familia ya Hayati Mzee Mkapa na Watanzania wote kwa ujumla kwa msiba mzito na mhimu kwa taifa.
Pamoja na huzuni na majonzi kwa...
Habari wakuu .
Nimepata changamoto ya kuhamisha fedha kutoka Skrill kwenda Visacard ya bank ya Equity. Transaction was failed!
Na nilipowauliza ndio wakaniambia bank husika haisapoti Original...
Habari,kampuni ya SACAMA interprises inayohusiana na usafirishaji,inatafuta magari kwa anzia tan 20 na kuendelea kwa shughuri za usafirishaji....rate Ni nzuri zenye manufaa....hivyo Kama unagari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.